Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sayans kimu[emoji1787][emoji1787]Anasema yeye amesoma Political science
Hapa Hakuna ukristo na kitimoto, hapa ni vipengele vya mkataba tu,Mimi mkristo tena mkatoliki. No 1 fan of kitimoto. Nikirudi Tz nitakuita tupige kitimoto kama vipi
Uislam ni uarab hili liko wazi jiulize jinsi wanavyowatetea na mapungufu yote hayo,wanaamini uislam utaenea kwa kasi.Kuna watu wengine akili zao zinawatosha kuvuka barabara tu. Hivi hawa waarabu wakikubaliwa kuna kwá huu mkataba mbovu kabisa waislam watafaidika na nini? Au kuna mambo yako nyuma ya pazia ambayo hatuyajui?
Kuna watu wengine akili zao zinawatosha kuvuka barabara tu. Hivi hawa waarabu wakikubaliwa kuna kwá huu mkataba mbovu kabisa waislam watafaidika na nini? Au kuna mambo yako nyuma ya pazia ambayo hatuyajui?
Masheikh wasihangaike kujadili hilo Tamko la TEC kwani ni Kubwa Kwao ( limezidi ) Uwezo Wao hafifu wa Uelewa. Wao wajikite tu katika kujadili Pilau, Nyama, Ndizi na Sinia.Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Kabisa tatizo elimuHawa Msheikh wana elimu ahera tu lakini elimu dunia hawana ndiyo maana uwezo wa kuchambua mambo kimantiki hawawezi.
Kwahiyo wao wajadili msosi tuMasheikh wasihangaike kujadili hilo Tamko la TEC kwani ni Kubwa Kwao ( limezidi ) Uwezo Wao hafifu wa Uelewa. Wao wajikite tu katika kujadili Pilau, Nyama, Ndizi na Sinia.
Namuombea ashinde urais.Hii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
Hao PhD kila siku mnajisifia ndio wana run hii nchi lakini kila siku linchi linazidi kuwa masikini na matatizo ya kila aina.akili ya madrasa inajadili akili ya PhD very interesting
Mkila rushwa wasiseme!Mkipata korona mnawaomba wawaombee..!!
Jo inaonyesha wapo unaowachimba,wakifika hapa jukwaani nitasogea karibu 😀😀😀TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
Na SIO DINI tu hata Watu mbalimbali itakuwa ni UJINGA KUPINGA WARAKA wa TEC bila kutoa nao WARAKATEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
Naunga mkono hoja.TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
Naunga mkono hoja.TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!