Hahah Bakwata soon watatoa wao kupongeza juhudiHuko kwenye shule ya maimamu hakuna TISS.
Naona jamaa wamefumua mule mule. Kama wanamuonya mtu kutoka chatle.
Ukisikia spirit kwenye kidonda kibichi ndio hii.Asiwe Kibri, Dikteta Mkandamizaji na Mdhalilishaji wa watu anaowaongoza.
Asiwe mtu mwenye kujali maslahi yake na kundi lake sambamba na kufikiria sheria za kujilinda
dhidi ya mkondo wa sheria kwa tuhuma za ufisadi na uvunjaji wa Haki za Binadamu.
Bakwata kama Akina Pengo tu wale wachumia tumbo.Hahah Bakwata soon watatoa wao kupongeza juhudi
Hakuna kigezo cha ukanda , ukabila wala udini.Kuna mengi nakubaliana na waraka huu ila hili la kuangalia na kumlazimisha kuwa mtanzania huyu ni wa dini hii au ile hilo lina utata.
Kugawana keki ya taifa n.k kungetumia kikokotoo cha kanda maana kutumia imani bado imani fulani itazidiwa wingi na kuleta mgawanyiko ktk taifa, jamii na familia ila kuangazia kanda inafuta mgawanyiko kwa kufuata imani.
Jamaa nimewakubali sana. Kesho kile kikosi kinamtafuta Katibu na Secretary aliyedrafti hii kitu. Ni wajanja sana hawawezi kuwakatamata wote waliohusika watakachofanya ni devide and rule. Hapa utakiskia aliyekuwa mjumbe na katibu wa shura ya maimamu tanzania akamatwa na Takukuru nyumbani kwake.😆😆😆Imeandikwa kitaalam sana.
Naona umeng"ang'ania kihoja hicho tu. Je huyaoni mengine muhimu waliyo analyze??Hakuna kigezo cha ukanda , ukabila wala udini. Vigezo viwe kwenye sifa (merits) za muombaji kama elimu, uzoefu, uadilifu, uchapakazi, n.k.
Titi...Hakuna kigezo cha ukanda , ukabila wala udini.
Vigezo viwe kwenye sifa (merits) za muombaji kama elimu, uzoefu, uadilifu, uchapakazi, n.k.
aliyeanzisha nchi hii alishakataa ujinga huoTeuzi na upandishwaji vyeo lazima vifanyike kwa kuangalia sifa na vigezo vya mtu husika.
Lazima viwe 'based on merits' siyo sifa ya udini au ukabila.
Laki...BAKWATA wana taarifa juu ya huu mwongozo?
Like,Mkuu Mzee Said wakati wako ndio huu gombea Ubunge uwakilishe kilio chako
hao uliowaandikia siku hizi wanaogopa umma kuliko jf
Mimi nimechagua kujadili na kuchagia hoja hiyo tu kwa sasa, nimetumia uhuru wangu wa maoni kama walivyotumia hawa Shura ya Maimamu.Naona umeng"ang'ania kihoja hicho tu. Je huyaoni mengine muhimu waliyo analyze??
Na wa dini za Buddhism, Hinduism, wapagani walistahili wawepo wote kwenye teuzi kwa uwiano sawa na wakrito na waislam.Titi...
Tutafanyaje inapokuwa waumini wa dini moja tu ndiyo wanakuwa na sifa za elimu, uxoefu, uadilifu, uchapakazi nk. kwa hiyo ndiyo wanaoongoza serikali na wengine wako nje?
Katika hali kama hii tunafanyaje?
Hao toka lini waliongoza nchi?Na wa dini za Buddhism , Hinduism, wapagani walistahili wawepo wote kwenye teuzi kwa uwiano sawa na wakrito na waislam.
Makundi hayo mengine ambayo maimamu hawakuyajumuisha kwenye takwimu zao nayo yamo humu nchini kwetu.
Titi...Na wa dini za Buddhism , Hinduism, wapagani walistahili wawepo wote kwenye teuzi kwa uwiano sawa na wakrito na waislam.
Makundi hayo mengine ambayo maimamu hawakuyajumuisha kwenye takwimu zao nayo yamo humu nchini kwetu.
Wanachotaka hawa Maimamu ni usawa katika kugawana keki ya taifa. Usawa kwa kila kitu kwa raia wote.Hao toka lini waliongoza nchi?