WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

Mbona Juma Nature aliimba wimbo wa mtoto Idd?

Mleta uzi ni maandazi ya nyama temana nae. Bure kabisa,akawaambie basi misikitini waandamane,si vuguvugu hilo,usifanye waislam wote wehe na wenye uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Salaam aleikum likud
Umesema wewe ni mshabike jd napia ni muisilaam

Ss nataka kukuswalika swali hili. Je ni halali au haraam kusikiliza muzik wwte

Nijibu nitaendelea kukuswalika kwa mujibu wa quraan na hadith

Wakatabahu
Mimi ni mkatoliki, i dont know what ur talking about
 
Kwa iyo siku jambazi akiuwawa na wananchi, katika kumuuliza jina kabla ya mauti, akasema yeye ni Mwamed, je waislam wataenda kuwauwa pia wazazi wake kwa kuudhalilisha uislam?
 
Great thinkers hawajadili ujinga kama huu wa kwako ulioandika chooni wakati ukijisaidia haja kubwa.

Ungeuchambia na kuuacha huu ujinga huko huko chooni ulipokuwa.



Of course, hakuna atakayedai ana hisa kwenye thread ya kijinga kama kama hii.

Ichukue kabisa rudi nayo kule kule chooni ulipokuwa.

U great thinker wako uko wapi kaka? mbona unatukana badala ya kujadili hoja? Povu lote hilo la nini kaka?
 
Ni Mliberali tu anaweza kuwaza kama anavyowaza huyu likud.



Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But kina kitu kimoja ambacho kwa maoni yangu ninaona hakipo sawa . Nacho ni kuhusu wmbo wako uitwao YAHAYA. Wimbo wako ni mzuri na unaelimisha jamii but kwa nini usingetumia jina tofauti na YAHAYA. Kwanini ninasema hivyo?

1. YAHAYA ni jina la kiislamu, na miongoni mwa majina ya kiislamu yenye maana kubwa kwa waislam.
2. Wewe ni mkristo wa madhehebu ya wasabato.
3. Hapa kwetu nchini Tanzania kuna vugu vugu la waislamu na wakristo. Waislamu wamekuwa makini sana kwa kila kitu kinacho fanywa na mtu yoyote yule mwenye jina la kikristo hususani pale maslahi ya dini ya kiislamu ama jina la kiislamu linapotajwa. Sihitaji kulizungumzia hili kwa kina kwa sababu naamini huwa unafuatilia taarifa mbalimbali za habari so am sure as hell unafahamu ni kitu gani kinaendelea kati ya wakristo na waislamu Tanzania wakati huu.

( KITU CHA MSINGI KUELEWA HAPA NI KWAMBA, KITU CHOCHOTE KILE KITAKACHO TAJWA NA MKRISTO DHIDI YA UISLAMU AMA MUISLAMU KWA NAMNA YOYOTE ILE KINAWEZA KUCHUKULIWA KAMA KASHFA DHIDI YA UISLAMU )

Hivyo basi wimbo wako wa YAHAYA ingawa una ujumbe mzuri, but unaweza kukuletea matatizo na waislamu wa Tanzania ambao wanaweza kuuchukulia kama kashfa dhidi yao. Maadui zako wanaweza kuitumia hiyo kama loop hole na ku dress beef lenu kulifanya lionekane kama beef kati yako waislamu.

MAPENDEKEZO: Nikiwa kama shabiki wako, ninakushauri ubadilishe haraka iwezekanavyo jina la wimbo YAHAYA na kutafuta jina lingine lolote lile. Katika kutafuta jina nakushauri utafute jina ambalo halihusiani na jina la dini yoyote kati ya ukristo na uislamu. Unaweza kutumia majina yanayo tumiwa na watu wa dini zote kama vile MAWAZO.
Ukibadilisha jina la wimbo wako, utajijengea heshima kubwa sana kwa mashabiki wako ambao ni waislamu na watachukulia hiyo kama heshima kwao.
Sina mengi ya kuongea zaidi ya hayo. Natumaini umenielewa.

NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 13 YA LADYJAYDEE.
 
Kaka hizo ni dalili za kutokujiamini,mimi sioni tatizo labda ungesema wenye majina ya yahaya ndo itakuwa tabu kwao,kwa sababu humo jide kamchora yahaya kama kijana mtanashati ambaye anaishi maisha ya kubangaiza na anajifanya mambo safi kumbe hana hela,anajifanya anaishi masaki kumbe kinondoni na nyumba anayoishi haijuilikani,naijua hiyo nyimbo haiko kama unavyoifikiria kaka,napingana na hisia zako kabisa ni potofu,unataka waislam waogopwe wamekuwa nani??,kumbuka jide hajazungumzia udini kamzungumzia YAHAYA..


Uki fikiria kwa mapana utagundua yafuatayo katika maudhui ya hayo mashairi.

1. Ukosefu wa elimu bora....Kinacho mfanya Yahaya aishi maisha ya namna hiyo ni kwa sababu hajapata elimu bora. Kama angekuwa amepata elimu bora asingekuwa anaishi namna hiyo. Siku zote waislamu wa tz wamekuwa wakilalamika watoto wao kufelishwa na Necta na kutokupewa fursa za elimu...Hii ina maana gani kwa huu wimbo? Waislamu wanatukanwa hapo.

2,. Ukosefu wa ajira : Mfumo kristo umemfanya Yahaya akose sifa za kupata ajira inayo eleweka na hivyo kumfanya aishi maisha ya namna hiyo. So uislamu umeguswa hapo.

3. Ukosefu wa malezi bora : Tabia ya kijana Yahaya ni matokeo ya kukosa malezi bora kwa wazazi wake. Kwa sababu Yahaya ni muislamu so tuna assume wazazi wake ni waislamu pia na walimlea katika malezi ya kiislamu ambayo yanapiga vita binadamu kuishi irresponsible life kama Yahaya. Tazama nyuma ya sentensi hiyo halafu uniambie uislamu umechorwa vipi hapo
 
  1. Siungi mkono ushauri wa mleta mada
  2. Siungi mkono "uhuru wa mawazo" unaouruhusu kuwaza alivyowaza mleta mada. Hakuna namna ubongo unaruhusiwa kuwaza hivyo. Hakuna. Nimesema hakuna.

Hivi dini ni kitu gani hiki kinachofanya watu wanachanganyikiwa hivi? Kwa namna dini inavyokuzwa hata Mungu inabidi awe muumini!! Dini inaogopwa kuliko Mungu mwenyewe!! Waafrika hao!!!

Dini dini, dini dini... mpwampwa..mpwampwa... kero bana!!

NB. Mleta mada usijipe moyo kwa kusema haya ni maoni yangu... maoni yako hayatakiwi kuwepo popote pale...iwe katika kichwa changu au chako.


Kaka asante sana kwa kuniongezea msamiati wa kutumia but am telling you, hakuna uhusiano wowote kati ya ulicho kiongea hapa na content ya uzi wangu. Hujatoa sababu za msingi kwa nini umesema ulicho kisema, so ni vigumu sana kwa mimi kukubaliana na hoja yako. By the way maelezo yako ni mazuri sana but ymaetumika katika sehemu isiyo husika, kuna uwezekano mkubwa sana hayo maelezo utakuwa umeyakopi na kupaste mahali
 
Haya ni majina tu mkuu, huku kwetu tunatambua dini kwa majina yetu wakati wenzetu mpaka akutajie dini yake, TARIQ AZIZ aliekuwa waziri wa mambo ya nje wa Iraq ni Mkristo lakini check hilo jina lake ingekuwa huku tunapopima dini za watu kwa majina ingekuaje
 
Ni Mliberali tu anaweza kuwaza kama anavyowaza huyu likud.


Wewe ndio mliberali unaweza vipi kujua anacho weza kukiwaza mliberali kama na wewe sio mmoja wao?
 
Haya ni majina tu mkuu, huku kwetu tunatambua dini kwa majina yetu wakati wenzetu mpaka akutajie dini yake, TARIQ AZIZ aliekuwa waziri wa mambo ya nje wa Iraq ni Mkristo lakini check hilo jina lake ingekuwa huku tunapopima dini za watu kwa majina ingekuaje

Kaka uzi wangu unajieleza wenyewe, ninazungumzia jamii ya Tanzania na sio huko ulipo kaka
 
Kwa iyo siku jambazi akiuwawa na wananchi, katika kumuuliza jina kabla ya mauti, akasema yeye ni Mwamed, je waislam wataenda kuwauwa pia wazazi wake kwa kuudhalilisha uislam?

Listen to urself, just assume ur me and am asking you such a silly question like that, what would u answer me?
 
Mleta uzi ni maandazi ya nyama temana nae. Bure kabisa,akawaambie basi misikitini waandamane,si vuguvugu hilo,usifanye waislam wote wehe na wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

Uzi wangu haujauelewa so ni bora ungepiga kimya kuliko kuonyesha ujinga wako hapa
 
Kwenye dunia ya muziki shabiki anajua personal details zote za msanii nyimbo zake,umri,makazi,gari anazoendesha,mavazi n.k but msanii wala hakujui we shabiki. So consider urself ignored.au huu walaka wako uuimbe yani uutolee single may be anaweza akakusikia.


Hapa umeitukana Jamii Forums na sio mimi. Kama sijakuelewa vizuri unamaanisha kwamba Jide hajui chochote kuhusu uwepo wa mtandao wa Jamii Forums?
 
Akili ni nywele unapoteza nguvu na muda kuleta udini hapa looh.

Kama umeusoma uzi wangu vizuri utakuwa umegundua kwamba mimi sio mdini na wala sijaleta udini hapa, isipokuwa nimeleta hoja ambayo ndani yake kuna suala la udini, hilo haliwezi kunifanya mimi mdini, unless otherwise you are telling me that haujaelewa content ya uzi wangu
 
Ukiwa una mawazo kwamba mke wako anatoka nje ya ndoa bila ushahidi,siku moja usiku akikuambia hajisikii kufanya mapenzi tu,labda sababu kachoka na kazi za mchana kutwa,utasema ametoka kufanya mapenzi na yule bwana umzaniaye! Naona ndio mawazo ya huyu mtoa mada. Hivi ni majina mangapi ya ki kristo na ki islam yametumika kwa mazuri au mabaya hapa Tanzania na hakuna mtu wa dini yeyote aliyeuliza!. Ha!

Soma alama za nyakati kaka.
 
Back
Top Bottom