Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Huyo ana shingo ndefu nzuri kama twiga.[emoji39][emoji39]Ni mrembo aisee kuna moja pia nimesahau jina ana vipindi vyake kuhoji watu maarufu ila si wasanii hasa hasa wanasiasa( ila siyo mboni )
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana shingo ndefu nzuri kama twiga.[emoji39][emoji39]Ni mrembo aisee kuna moja pia nimesahau jina ana vipindi vyake kuhoji watu maarufu ila si wasanii hasa hasa wanasiasa( ila siyo mboni )
Hii ni pini zaidi ya huyo mramba.Kuna mwingine sijui anaitwa Janeth Leonard, nilimwona 2017 anamhoji RC wa zamani wa Dar es salaam.Picha yake na yenyewe iwekeni
Broken link.tuma tena mkuuhttps://www.google.com/url?sa=t&so...OvVaw2-cf6gS8_erZ91sRCkRyqq Ingia hapo umsome
Mmmhh!!Sasa huyo wa kwanza hapo juu na mkitambi wote huo eti mrembo. Mfyuuuuuuuuu
Acha wivuKawaida sana mbona. Sema editing za picha zimewabeba
Issue sio kuwa mweupe Bali kuwa naHivi unamjua shamim vizuri kweli?
Tatizo lenu wasukuma mkion rangi nyeupe mnachanganyikiwa
😂 😂 😂 😂 😂 😂Sura ngumu kama wanaume WA Mbeya
Yeah boss...itakuwa TBC wanakipengele cha urembo wakati wa interviewHii ni pini zaidi ya huyo mramba.
Ukiwa nayo faragha uwe unaitandaje hiyo miguu mkuu unailamba kama icecream?Miguu mizur n ugonjwa wangu,huyo mtoto wa kwanza picha yake unaweza ombea mkopo bank
Hilo guu sijui kalitolea wapiToto la kichaga.
Dada mzuri huyo alafu portable
Elizabeth Mramba ni chombo japo weupe nao unambeba.Siku hizi TBC inapendeza unapoangalia AridhioView attachment 1463814View attachment 1463816