Kwa nchi za wenzetu miaka 23 siyo mtoto nimtu mzima anayejitegemea kimaisha ukienda nchi za watu ukisema miaka 23 ni mtoto watakushangaaHaka Ni katapeli tu...katoto la miaka 23 kanazuruzura peke yake kanatafuta Nini?wanaigeria wanajulikana kwa mbinu zao
Nakubaliana na maoni yako kiongozi, tatizo kuu hapa ni utendaji kazi wa polisi na serikali kwa ujumla.Mkuu nchi yetu ina matatizo mengi sana, NA Polisi kwa kweli wanachangia sana hayo matatizo, Binafsi nimeshuhudia mengi Zanzibar kwenye maeneo ya utalii yanayowakuta watalii kama Ukabaji, uchomoaji, utapeli.
Lakini huyu dada anatia shaka sana, Wa Nigeria ni watu wa matukio, Kesi kama hizo wameshafanya maeneo mengi sana.
NaHahahah Dada hakumaliza story yake jana.
Ukamalizie kuisoma basi.
What we need ni justice for her.
Wewe dogo afadhali nikuache tu kama ulivyo.TUMIA AKILI MBWA WEWE, ongea hata kilugha chako kama unakerwa na Lingua Franca, english ndio lugha ya dunia mbwa wewe
Ndugu zake Zai wanataka hela.Ndugu zake Zai hawataki kusikia hilo, wao tayari wameshamaliza kutoa hukumu yao.
Kwa kweli ananichanganya.Wewe unataka justice, yeye anataka hela.. Sasa tumsikilize nani?
Na
Analeta utani na uchumi wa Kati huyu!watu tunapumulia gas ye anataka helaNa kwa kuwa wanajua Hotel ingeogopa kuchafuliwa so walidhani ni rahisi watalipwa.
Kwa uchumi huu amekwama na hotel itaendelea na kazi zake.
Zainab mwenye Jambo lake hataki kusikia kesi anataka hela,sa itakuwaje?Hilo suala la uchunguzi na kesi kuamuliwa mahakamani ndio kitu tunataka kusikia.
Sawa.Kwa nchi za wenzetu miaka 23 siyo mtoto nimtu mzima anayejitegemea kimaisha ukienda nchi za watu ukisema miaka 23 ni mtoto watakushangaa
Kiingereza ni kigumu kidogo. Mlinzi alifikishwa polisi. Baada ya yeye kusema kuwa alikaribishwa na Zainabu, Zainabu alishauriwa amshitaki yeye, kampuni iliyomwajiri na hata hoteli yenyewe. Zainabu alikataa kufanya hivyo kutokana na ushauri wa mawakili wake. Yeye akasema alipwe fidia ya dola 10000, lakini hoteli ikamwambia kuwa hawawezi kumlipa bila Mahakama kumkuta mlinzi ana hatia. Hoteli isingeweza kumshitaki mlinzi kwa sababu wao sio injured party. Na wangemshitaki halafu akathibitisha kuwa kweli Zainabu alimkaribisha, angeweza kuishtaki hoteli kwa kumharibia jina. Kitu kingine ni hofu ya kuset precedence. Watu wakijua kuwa hoteli iko tayari kutoa pesa ili kuepuka kuchafuliwa wengine wangemuiga Zainabu. Na itathibitisha kuwa huo ndio mchezo wa hiyo hoteli.Tumia akili ndgo tu,ukienda bank au geast House mlinzi akakupga kofi then unaenda kwa meneja kulalamika juu ya hilo then eti meneja anakujibu "Huyu sio mfanyakazi wetu".nenda kwenye kampun yao ukashitaki..is it possible?ikiwa ndo hivyo basi itakua ni upumbavu wa kiwango cha lami..binafsi hata mimi siwez kubal..nitakomaa na meneja..mana mlinzi nimemkuta kwenye property la meneja,ndo mana nasema Zainab hakutendewa haki..hata defence ya Warere ni za hovyo..sijui hata kama hao staff wao wanajua issue zozote za customer care..
Hata ubakaji unaweza kuwepo. Kuna vijana wa ovyo sana. Mwanamke mgeni akiwachekea kidogo basi wanajua wameisha pata tiketi ya kwenda ulaya. Hawajui wengine wanafanya hivyo kwa kuhofia kuonekana wabaguzi.Sijasema ubakaji rudia utizame vizuri, nimesema ukabaji, Wale vijana wanaovamia watu na mapanga, Nimeshuhudia mzungu akivuja damu baada ya kurambwa panga na kunyang'nywa Camera yake pamoja na simu.
Kwa matukio kama hayo kwa ufupi tu tuseme Kwaheri Utalii, KIla siku zinavyokwenda NUngwi na KIwengwa hali zinazidi kuwa mbaya Na serekali haishuhuliki kabisa.
Hivi haki Tanzania inatolewa kulingana na uraia wa mtuhumiwa?Kwani mfumo wa Haki Jinai tanzania ukoje kwa mgeni?
Hii movie imekaa kama ile ya ugaidi. Ya mchongoAchilia hivyo yaani mtu anakuja kukubaka anaanza kukutomasa huku anakuita babe babe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii imepangwa kwa hakikaMkuu, kwa kiasi nafuatilia ili saga inaonekana ni arranged script hii.
Kwani kuna nchi za wadudu?... ukienda nchi za watu...
Kuwashwa siyo lazima uwe na kipele hama hisia za kupeleka mkono shm ili ujikune.Tuliza tako dogo subiri Mamlaka ifanye kazi yake haukuwa eneo la tukio tulia
Eti alisikia anashikwa shikwa maziwa akidhani anaota. Au alikuwa kalewa chakali pombe zimemjaa anaota.Alafu kuna watu nawafuatilia ni wanaheshimika wanaandika eti "kaeni na huyo binti mzungumze naye" nimecheka aseee.
Ila kama ni script basi wenzetu wapo juu na kama ni real happened basi ni jambo lingine.Na nchi inavyofunguliwa huyo mlinzi asubiri ghadhabu na hasira plus kutolewa mfano, this has happened in the worse time for him..., huenda Madam President wakati ana-launch her premier ashapiga simu na kuuliza huyo kiumbe kama yupo mtaani...
Na huyu binti nadhani ameona the timing wouldn't have been more perfect than this time...
Instead ya kuongelea "This is a Female Lion" tunaongelea Security ya watalii..., na wakikumbushia na issue zile za tindikali this issue needs to be handled delicately...