Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yaani huyo binti Dina,huo Ni mchongo kabisa Ila watanzania tusivyopenda va kwetu Sasa!Huko anahide comments [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyo binti Dina,huo Ni mchongo kabisa Ila watanzania tusivyopenda va kwetu Sasa!Huko anahide comments [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli wanigeria kuwaamini ni ngumu aisee mdada mwenyewe ni slayqueenYaani huyo binti Dina,huo Ni mchongo kabisa Ila watanzania tusivyopenda va kwetu Sasa!
That where we are failing, I have seen South africans and Nigerians put huge effort to underate this hotel on several Sites like booking, TripAdvisor and Google as well, The hotel had 4.5 star but up to now has fallen to 1.1 none of them have been stayed there, We must do something to up again reviewsNdugu zangu watanzania at least tupitie kwenye page ya hiyo hotel kule Google map Tuipatie review nzuri urudi kwenye hadhi yake ya 4.5 star maana wataoathirika ni vijana wa kitanzania walioajiriwa pale
Mkuu nyapu imejileta yenyewe tena ya kigeni halafu mimi ni mlinzi niiache kweli hata kama ndo ethics hizo hapana aisee kuwa serious bas![emoji1787][emoji1787]!Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.
Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Hebu tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chiniNi kweli wanigeria kuwaamini ni ngumu aisee mdada mwenyewe ni slayqueen
Sawa mwerevu wewe, Lakini Wizara husika Zanzibar wamesema wanafuatilia wataleta majibu.Wacha ujinga,amewezaje kuchukua matukio yote video bila kukosa hata tukio moja?
Na kwanini hii kesi ameileta leo na sio mwaka jana alipotendewa hilo tukio...
U don't smell something fish here?
Sasa hivi kuna hashtag naiona imeanzishwaWatanzania Ni wavivu Sana kufikiri ndio shida yetu....hapa Kuna namn
Acha uongo. 95% wanamuunga mkono na 5% ni wabakaji wanajuana kwa vilemba.Huko twitter hadi anahide comments za watu anashushuliwa balaa
Petty excuses zisizo na maana.Anajiona kwa sababu yeye alikuwa bado Ng'ombe at 23 basi anadhani kila mtu anakuwa hivyo.
Hajui kwamba kuna nchi ile limit ya +18 kwenye nchi yetu wao ni +16.
Wanaigeria wametuzidi akili na ujanja...Watanzania sisi bado Ni makolo,....Hatuna Sababu ya kukandamiza nchi yetu,hatuna uzalendo kabisaaa......ndio Maana nchi zilizoendelea wanapigwa ban kuingia wababaifuSasa hivi kuna hashtag naiona imeanzishwa
#BoycottZanzibar , na wanaume wa Tanzania ni wajingaView attachment 2191486
Hujasoma mada ukaelewa, huyu mlinzi sio mfanya kazi wao.Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.
Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Watanzania tukiungana tunairudisha Tu, Mimi nishaanza na wewe ufateUnayo idadi kubwa ya watu wa kuirudisha kwenye 4.5.
Au unadhani ni kazi rahisi?
Aisee kwa wenye muda waingie kwenye hiyo clubhouse ndio wataelewa, hiyo kitu inaenda pabaya.Wanaigeria wametuzidi akili na ujanja...Watanzania sisi bado Ni makolo,....Hatuna Sababu ya kukandamiza nchi yetu,hatuna uzalendo kabisaaa......ndio Maana nchi zilizoendelea wanapigwa ban kuingia wababaifu
Kuitetea vipi wakati Mlinzi kakiri kuwa alienda chumbani kwa lengo la kumfanyaWatanzania tukiungana tunairudisha Tu, Mimi nishaanza na wewe ufate
Hawa hawatujui kwamba lugha chafu tunazo!Sasa hivi kuna hashtag naiona imeanzishwa
#BoycottZanzibar , na wanaume wa Tanzania ni wajingaView attachment 2191486
Sasa hivi tunaambiwa watanzania hatuna tofauti na nguruwe wasikilize kwenye clubhouse huko na ukitype kwa kiswahili unatukanwaHawa hawatujui kwamba lugha chafu tunazo!
Hiyo Hotel ya Warere toka jana walikuwa wamefunga watu wasiweke comment zao.Huko twitter hadi anahide comments za watu anashushuliwa balaa
Another stupid comment.Hotel huwezi linganisha na hospital mkuu Mambo yanayofanyika huko ni laana ndio maana hao wenye hotel wamechukulia ni Jambo la kawaida mlinzi kutoa dozi Kwa mteja ikiwa amemaliza Muda wake WA kazi.
😂😂😂Kwa tako gani alilonalo hadi abakwe