Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Warere Beach Resort: Zainab Oladehinde alikubaliana na mlinzi kufanya mapenzi. Alitaka tumlipe fidia USD 10,000

Ndugu zangu watanzania at least tupitie kwenye page ya hiyo hotel kule Google map Tuipatie review nzuri urudi kwenye hadhi yake ya 4.5 star maana wataoathirika ni vijana wa kitanzania walioajiriwa pale
That where we are failing, I have seen South africans and Nigerians put huge effort to underate this hotel on several Sites like booking, TripAdvisor and Google as well, The hotel had 4.5 star but up to now has fallen to 1.1 none of them have been stayed there, We must do something to up again reviews
 
Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.

Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Mkuu nyapu imejileta yenyewe tena ya kigeni halafu mimi ni mlinzi niiache kweli hata kama ndo ethics hizo hapana aisee kuwa serious bas![emoji1787][emoji1787]!
 
Wacha ujinga,amewezaje kuchukua matukio yote video bila kukosa hata tukio moja?
Na kwanini hii kesi ameileta leo na sio mwaka jana alipotendewa hilo tukio...

U don't smell something fish here?
Sawa mwerevu wewe, Lakini Wizara husika Zanzibar wamesema wanafuatilia wataleta majibu.
 
Watanzania Ni wavivu Sana kufikiri ndio shida yetu....hapa Kuna namn
Sasa hivi kuna hashtag naiona imeanzishwa
#BoycottZanzibar , na wanaume wa Tanzania ni wajinga
20220418_090040.jpg
 
Sasa hivi kuna hashtag naiona imeanzishwa
#BoycottZanzibar , na wanaume wa Tanzania ni wajingaView attachment 2191486
Wanaigeria wametuzidi akili na ujanja...Watanzania sisi bado Ni makolo,....Hatuna Sababu ya kukandamiza nchi yetu,hatuna uzalendo kabisaaa......ndio Maana nchi zilizoendelea wanapigwa ban kuingia wababaifu
 
Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.

Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Hujasoma mada ukaelewa, huyu mlinzi sio mfanya kazi wao.
 
Wanaigeria wametuzidi akili na ujanja...Watanzania sisi bado Ni makolo,....Hatuna Sababu ya kukandamiza nchi yetu,hatuna uzalendo kabisaaa......ndio Maana nchi zilizoendelea wanapigwa ban kuingia wababaifu
Aisee kwa wenye muda waingie kwenye hiyo clubhouse ndio wataelewa, hiyo kitu inaenda pabaya.

Jamaa wameshabeba bango, Watanzania wote ni wajinga ni nguruwe wabakaji na wezi !
 
Watanzania tukiungana tunairudisha Tu, Mimi nishaanza na wewe ufate
Kuitetea vipi wakati Mlinzi kakiri kuwa alienda chumbani kwa lengo la kumfanya
Tutetee kuwa Mlinzi alifanya vizuri?
 
Hotel huwezi linganisha na hospital mkuu Mambo yanayofanyika huko ni laana ndio maana hao wenye hotel wamechukulia ni Jambo la kawaida mlinzi kutoa dozi Kwa mteja ikiwa amemaliza Muda wake WA kazi.
Another stupid comment.

Tunazungumzia ethics za work place tena ya 4 star hotel.

Hayo mambo yanayofanyika huko Hotelini who cares.
 
Back
Top Bottom