Warusi waikimbia ngome nyingine kaskazini kwa Kherson, kama kawa Ukraine waendeleza kipigo

Hana huo uwezo na kwa sasa anatishia Nukes pekee, hakuna silaha aliyoacha kuitumia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ni kama Masanja anavyojipa moyo kwa mkewe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ngoja tuone Putin atafanya nini maana ardhi ya Urusi inashambuliwa kwa mujibu wa "Annexetion" aliyoitangaza juzi.Lakini naona kabisa ile Mikoa minne ni ngumu sana kuikalia kama hali ndiyo hii kwa sasa.
Kherson inakombolewa kabla majira ya baridi kuanza. Na ndo maana Ukraine wamefuta mobilization yao kwani ingepelekea wanajeshi wengi kufa baridi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hata mimi nakiri kuwa kabla ya Vita US, NATO walikuwa wakimuogopa sana Russia ila kwa sasa wanamvimbia watakavyo, maana wanajua silaha zake ni butu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
mpaka leo Putin haaamini una ambiwa alikutana na madude hayo yakuitwa Javelin na NLaw msafara uli yeyushwa ghafla na jamaa hajawahi kufikiria tena kurud kyiv ame koma bwana Punyoko
Na hapo ndo alipoteza wanajeshi wake wengi kwa wakati mmoja maana ule msafara wote ulipotea ghafla

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Lengo lao ni watu wafe njaa na ndo maana wanapiga mashamba ya ngano

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Bila kusahau kilichowakuta hostomel airport, hawatakuja sahau milele, ile landing yao waliuawa wanajeshi wengi kuliko

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwani watakaje?
Na tukalipua ubalozi wa China

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Twasubiri kumpelekea bill za reparations

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mi mwenyewe nilijua Zelensky anakimbia nchi, maana mashambulizi yalianzia Kyiv kurudi nyuma, mshangao UK wakapeleka NLAW

Maxar technologies wakaonesha msafara wa KM 64 kuelekea Kyiv, baada ya siku moja msafara umebakiza KM 10 kufika Kyiv

Heee ghafla vifaru vikaishiwa mafuta, watu wakaona warudi walipotoka tu...


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 

source
Hakiya mngu sidanganyi
 
Nime fatilia wachambuzi Wengi wanasema offensive Huwa ni ngumu kuliko defenceve.
 
Hana huo uwezo na kwa sasa anatishia Nukes pekee, hakuna silaha aliyoacha kuitumia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mhhh. Mbona hata wenzake wanazo hizo Nukes tena ni more advanced kuliko hayo madude yake ya mwaka 47 na labda yamesha-expire? Siku atakapojaribu kutumia ndipo atakaposhangaa kuliko anavyoshangaa sasa. Akumbuke ule msemo "Avumaye baharini papa kumbe wengine wapo"
 
Kwa sasa askari wengi wa Urusi, hasa hawa waliopatikana kupitia 'Partial Mobilization' wanapigana kinyume na hiari yao maana wanajua vita hiyo haina maslahi kwa nchi yao, bali kwa Putin binafsi na genge la wahuni wenzake. Kwa mazingira kama hayo uwezekano wa Putin kushinda ni zero
 
Mwenyewe naona kama tulikuwa tunaambiwa ana mifumo ya maana hadi watu wakafikia kuidharau ule mzigo wa kiyahudi Israel alafu leo anafyekwa na visilaha vya kijinga hivi
Alijisahau sana akajilimbikizia machuma-chuma yanayotumia mfumo wa Analojia kumbe wenzake wameadvance wanatumia Digital. Wenzake wanapiga na kumfumua wakiwa ofisini wakati yeye anapeleka mlolongo wa mavifaru outdated 64km.eti kwenda kuichukua Kyiv ndani ya masaa 72. Stupid idiot boy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…