hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Hata kama ana hoja za msingi kiasi gani....wakristo hawa operate hivyo...kwa kuanika madhaifu ya ndugu zao ktk imani tena mtandaoni. Alipaswa kuwaona kwanza.
Cha pili ni kuwa tumesikia upande mmoja tu wa mleta mada, hao Lightbearers hatujawasikia.
Inategemea jambo limemgusa vipi Kama kachapiwa mkewe unadhani atakuwa na muda wa kwenda kwa shemasi?