Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Status
Not open for further replies.
Hata kama ana hoja za msingi kiasi gani....wakristo hawa operate hivyo...kwa kuanika madhaifu ya ndugu zao ktk imani tena mtandaoni. Alipaswa kuwaona kwanza.

Cha pili ni kuwa tumesikia upande mmoja tu wa mleta mada, hao Lightbearers hatujawasikia.

Inategemea jambo limemgusa vipi Kama kachapiwa mkewe unadhani atakuwa na muda wa kwenda kwa shemasi?
 
hahaha... pale dini zinavyowatoa watu roho.. nashauri nyie muangalieni huyu YESU tu.. HAKUNA MTU KUTOKA DINI FULANI ALIYEKUFA SABABU YA DHAMBI ZETU!!!!
 
Km mmechapiwa wake ni kesi nyingine..men utschapiwaje mke km ww si mzembe😏

😂 😂 Hapo ndio unafeli, unadhan kuchapiwa ni uzembe wake, u know unapohisi mke wako yuko sehemu salama kwenye kwaya ya Mungu kumbe wakati wa kurekod usiku watu wanakula mzigo
 
😂 😂 Hapo ndio unafeli, unadhan kuchapiwa ni uzembe wake, u know unapohisi mke wako yuko sehemu salama kwenye kwaya ya Mungu kumbe wakati wa kurekod usiku watu wanakula mzigo

Peleka kesi kanisani sio hp
 
Halafu ikatokea unaishi na mwanaume bila ndoa watakavyokunyanyapaa hutapewa hata kazi ya kupanga viti kanisani. Kumbe wameficha midhambi Yao kwenye kujifanya waimbaji na kutoa mimba.

Ukweli mnaaibisha kanisa la Mungu. Kama Lekundayo na wenzako hamtakemea haya na kuifunga hiyo kwaya Kama mlivyofanya kwa kwaya ya muungano basi nitajua Hali imekuwa tete. Simamieni maadili km mnavyosimamia na kusisitiza makusanyo ya zaka na sadaka
 
Mkuu mbona sioni hili jina la kwaya u tube??
Nilitaka nione uzuri wa hii kwaya kwanza manake ni muumini mzuri wa nyimbo za kisabato.
Hana hoja ya msingi mkuu binafsi sijamuelewa anataka nini
 
Hana hoja ya msingi mkuu binafsi sijamuelewa anataka nini

Ww hayajakukuta ndio maana unaona hana hoja, coz mnatake mambo easy sana, ila kama una binti yako hapo au mke wako, siku akikwambia nimerudishwa na noah ya mwalimu ujue tayari ameliwa
 
Yaan huwa naziskia radio moja nakumbukia utoto wangu naupenda ule unaimba..twaimba tumejaa furaha ....Yesu kristo ni bwana wa mabwana tunafuraha kwaajili ya aman tulopewa😊😊😊..sauti tamu mno!ndo maana mm mtu aniletee cd ya Bon mwaitege namwambia kauze tu .aliwah niletea hubby cd ya bon ya wimbo wa mama🤣🤣🤣🤣🤣🤣!ukwel nilimwambia rudisha tu😉!hao kina rose waaruka km sarakasi hapana aisee
sauti ya huruma ikaniita,kwanini waniacha hapa msalabani,Mwokozi yupo mlangoni,Neno la Bwana Yesu na Nikikumbuka huruma yako! Nimemis sana hizo nyimbo nilizisikia nikiwa bado Mdogo wakati huo kila J'mos tulikuwa tunaenda kusali Mwisenge Sda pale Asee!
 
Aiseee
Mwisenge SDA
Karibu na Veta.
Shule ya Nyerere
Njia ya kuelekea Majita Road
Mwisenge Madukani.
Makoko
sauti ya huruma ikaniita,kwanini waniacha hapa msalabani,Mwokozi yupo mlangoni,Neno la Bwana Yesu na Nikikumbuka huruma yako! Nimemis sana hizo nyimbo nilizisikia nikiwa bado Mdogo wakati huo kila J'mos tulikuwa tunaenda kusali Mwisenge Sda pale Asee!
 
[emoji23] [emoji23] Sio mm, mm nimchangiaji tu, mm alivyomtongoza mke wangu nilimfata mwenyewe huyo Mwalimu na anajua nn kilitokea
Mkuu, mke wako ni yupi Kati ya wale wadada? Yule dark skinned anaomba sauti ya kwanza, manake kuna mmoja mweupee ila hana mume, wazee wamemzalisha tu.
 
Halafu ikatokea unaishi na mwanaume bila ndoa watakavyokunyanyapaa hutapewa hata kazi ya kupanga viti kanisani. Kumbe wameficha midhambi Yao kwenye kujifanya waimbaji na kutoa mimba.
Ukweli mnaaibisha kanisa la Mungu. Kama Lekundayo na wenzako hamtakemea haya na kuifunga hiyo kwaya Kama mlivyofanya kwa kwaya ya muungano basi nitajua Hali imekuwa tete. Simamieni maadili km mnavyosimamia na kusisitiza makusanyo ya zaka na sadaka
Unazingua mama Bishanga..
 
Mkuu, mke wako ni yupi Kati ya wale wadada? Yule dark skinned anaomba sauti ya kwanza, manake kuna mmoja mweupee ila hana mume, wazee wamemzalisha tu.

Hata ww kama Una wako kaa makini
 
Vizuri kwa kufichua maovu, hasa hasa ya kanisa zima la Wasabato, kanisa hilo ni la kukimbiwa, hiyo kwaya naifananisha na Golden Gate ya Uganda, waimbaji wake walikuwa wanatombana sana hadi wote wakafa kwa Ukimwi wa enzi hizo
Kkkkkkkkkk[emoji23]
 
Mpaka amesema means anajua anachosema me mwenyewe nimeshamuona yule mwalimu anakula mzigo kwenye Noah yake mwana kwaya mmoja anakaa Makongo juu bonge mweupe

Mimi ata demu wakisabato,simtaki,mmoja alinkosa kuniambukiza ukimwi..wanagawa ovyo..wako cheap.
 
Mnalea mauchafu kwa upenzi wa kijinga, ww kama kanisa lenu linachafuliwa take action ili liwe safi sio kwa kujifanya unaongea ujinga
Action ya huku mtandaoni na jina bandia ni action bandia tu, majungu. Kama madai yako ni ya kweli nenda panapohusika ukayatoe madai yako huko. Vinginevyo kinachofanyika hapa ni majungu na umbea tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom