Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Hebu leta hizo 'conversion'Mm nina picha mpaka conversion za huyo Mwalimu wenu, sasa ww unasema majungu 100% lete fact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu leta hizo 'conversion'Mm nina picha mpaka conversion za huyo Mwalimu wenu, sasa ww unasema majungu 100% lete fact
Yaan huwa naziskia radio moja nakumbukia utoto wangu naupenda ule unaimba..twaimba tumejaa furaha ....Yesu kristo ni bwana wa mabwana tunafuraha kwaajili ya aman tulopewa[emoji4][emoji4][emoji4]..sauti tamu mno!ndo maana mm mtu aniletee cd ya Bon mwaitege namwambia kauze tu .aliwah niletea hubby cd ya bon ya wimbo wa mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!ukwel nilimwambia rudisha tu[emoji6]!hao kina rose waaruka km sarakasi hapana aisee
Kugawa hakuna uhusiano na dini ya mtu.Mimi ata demu wakisabato,simtaki,mmoja alinkosa kuniambukiza ukimwi..wanagawa ovyo..wako cheap.
Yeah hapo Hapo! Enzi hizo Dickson Manumbu aliye wahi kuwa Mwanasiasa nae alikuwa anakuja kusali hapo kabla hajahamia America!Aiseee
Mwisenge SDA
Karibu na Veta.
Shule ya Nyerere
Njia ya kuelekea Majita Road
Mwisenge Madukani.
Makoko
Hata kama ana hoja za msingi kiasi gani....wakristo hawa operate hivyo...kwa kuanika madhaifu ya ndugu zao ktk imani tena mtandaoni. Alipaswa kuwaona kwanza.
Cha pili ni kuwa tumesikia upande mmoja tu wa mleta mada, hao Lightbearers hatujawasikia.
Kwani Mungu kasema anataka kuimbiwa?
Action ya huku mtandaoni na jina bandia ni action bandia tu, majungu. Kama madai yako ni ya kweli nenda panapohusika ukayatoe madai yako huko. Vinginevyo kinachofanyika hapa ni majungu na umbea tu.
Naoma mode original mesage wameiondoa !!!! heheee sasa ina maana gani? kuepusha shari ama ndio kulinda waliosemwa na mie hapa nimeduaa tuu!! Why?Hana hoja ya msingi mkuu binafsi sijamuelewa anataka nini
Hebu leta hizo 'conversion'
Km mmechapiwa wake ni kesi nyingine..men utschapiwaje mke km ww si mzembe[emoji57]
Umenikumbisha mbalii na Kwaya ya The golden gate kati ya nyimbo zao nyingi ni "Watalia jua na mwezi vikianguka "daah wale ndugu walimuimbia Mungu kwa ustadi hasa
Naoma mode original mesage wameiondoa !!!! heheee sasa ina maana gani? kuepusha shari ama ndio kulinda waliosemwa na mie hapa nimeduaa tuu!! Why?
Hili ndio jibu la swali langu, ama?
Hakuna ujumbe wowote zaidi ya majungu ya wivuNaona ujumbe umewafikia
maana kuondoa ujumbe original means mesage imefika!Naona ujumbe umewafikia
Hakuna ujumbe wowote zaidi ya majungu ya wivu
maana kuondoa ujumbe originalmeans mesage imefika!
Mke wangu hawezi kuimba kwaya hata siku moja, sitamruhusu.Hata ww kama Una wako kaa makini