Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Status
Not open for further replies.
huyo aliyeleta ndiye mwenye data mtu mwingine yeyote akilibeba juu juu itakuwa uzushi hana evidence

Sasa ngoja nikupe data nyingine, ni kweli huyo Mwalimu ndio tabia yake tena alikuwa anawagonga kwenye noah, na kuna time walienda Marekani huko alikula mwanakwaya mpaka walimfumania naweza Kukupa mpaka jina la huyo mwanakwaya na bado kuna mwingine anasoma ifm anakaa Tabata Yan wapo kibao muhimu ni kufanyia kazi Coz inachafua sana dhehebu
 
Sasa ngoja nikupe data nyingine, ni kweli huyo Mwalimu ndio tabia yake tena alikuwa anawagonga kwenye noah, na kuna time walienda Marekani huko alikula mwanakwaya mpaka walimfumania naweza Kukupa mpaka jina la huyo mwanakwaya na bado kuna mwingine anasoma ifm anakaa Tabata Yan wapo kibao muhimu ni kufanyia kazi Coz inachafua sana dhehebu
kama una data zoote hizo kwa nini hufikishi kunakohusika?
although na hapa wanasoma hao wakubwa zitawafikia lakini sio official
 
opondo,

Sasa huo mstari wako wa chini ndio unaharibu kabisa, kuoa msabato hutojutia wakati mauchafu kama hayo yanafanyika? Na hii kusema wakiwa men and women kulana ni lazima so ww hata mke wako akiliwa utatake simple tu coz alikuwa na wanaume?
 
Hakuna sehemu yyte yenye mkusanyiko wa watu hasa wenye uhitaji wa kitu fulani then kukakosekana kashfa ya ngono hakuna narudia tena hakuna. nakupa mifano michache.
1. Vyuoni watoto wa kike wanaliwa kama hawana akili timamu ili tu wapewe alama wasifelishwe
2. Kwenye ajira dada zetu wanaotafuta ajira wanachezea pipe kama kama mafundi bomba.
3. Hospitalini dada zetu,wake zetu, mama zetu wanatiwa na hao madaktari ili tu wapatiwe matibabu
4. Mamiss hao watoto wakike wanaoshiriki mashindano ya umiss mamawee wanat**eka hao eeeeheee uliza utaambiwa.
5. Makanisani ndio usiseme wachungaji,mapadri,mashehe n.k wanatia waumini kama vile hawana habari na dhambi ya kuzini.
6. Ongezea kundi unalolifahamu...

Yaani kiufupi ukishazaliwa binti alafu kichwani huna akili, huna msimamo mamawee sehemu yako ya siri itakuwa mali ya uma utazungusha kiuno chako kwa wajomba kama feni mbovu ili kupata hitaji lako la moyo.

Shukuru kama umezaliwa mtoto wa kiume maana hawa dada zetu wanakutana na mambo mengi sana.
Ila kwa hii kashfa ingekuwa kubwa zaidi kama endapo watoto wa kiume wangekuwa wanarubuniwa na kulawitiwa hapo tungepaza sauti.

Lakini kwa hao wanaotoa pampuchi wenyewe ngoja watoa maisha yenyewe ndo haya haya.
 
kama una data zoote hizo kwa nini hufikishi kunakohusika?
although na hapa wanasoma hao wakubwa zitawafikia lakini sio official

Tulishapeleka serikalini malalamiko ya huyu jamaa kwa mabinti zetu Coz kama anangoma basi wote anawauwa
 
Tulishapeleka serikalini malalamiko ya huyu jamaa kwa mabinti zetu Coz kama anangoma basi wote anawauwa
inawezekana
1 mliambie kanisa lake na uongozi wa kanisa
2 nendeni takukuru!
3, nendeni uhamiaji kama mnadhani hana vibali
4. nendeni hata kwa TISS
 
Hahahah mkuu ndio lugha yangu hiyo.lakini ulichoandika kama sijakielewa.
Kuna wakati gazeti la Drum walitoa maneno ambayo walisema ni "tongue twister". Wakaleta neno hilo ambalo ni la lugha yako na tafsiri waliyoitoa ni kwamba " it is a market place in Obwere". Sasa wengine ilituwia vigumu sana kutamka hilo neno na tukakubaliana nao kuhusu hilo.
 
inawezekana
1 mliambie kanisa lake na uongozi wa kanisa
2 nendeni takukuru!
3, nendeni uhamiaji kama mnadhani hana vibali
4. nendeni hata kwa TISS

Kwa sababu just emagine unamruhusu mke wako au mtoto wako kwenda kujifunza kumwimbia Mungu na unajua pale ndio yuko safe zaidi coz ni sehemu ya Mungu then kinachotokea mzee mzima mwenye miaka zaid ya 50 anawarubuni anawagonga
 
Labda kama ziko Light bearers mbili hapa Tz, ila hii ninayoijua mbona ni watu wazima sio wasichana na wavulana wadogo kama ulivyodai hapa.
 
Kwa sababu just emagine unamruhusu mke wako au mtoto wako kwenda kujifunza kumwimbia Mungu na unajua pale ndio yuko safe zaidi coz ni sehemu ya Mungu then kinachotokea mzee mzima mwenye miaka zaid ya 50 anawarubuni anawagonga
HAIKUBALIKI, NI MSHIRIKI WA KANISA GANI? JE VIONGOZI WA KANISA WAOA WANASEMAJE?
 
Yule mwalimu wao anatakiwa kupelekwa uhamiaji, anaharibu sana watoto wa watu kwa kuwadanganya atawapa connection na kwaya kubwa Then anakula mzigo
Kwa hiyo Mkuu hii iliyopost thread ndio akaunti yako mpya... Kila la heri mkuu ila uifute ukimaliza kazi nayo
 
Yule mwalimu wao anatakiwa kupelekwa uhamiaji, anaharibu sana watoto wa watu kwa kuwadanganya atawapa connection na kwaya kubwa Then anakula mzigo
Hao wanaodanganyika ndio shida zaidi "uimbaji" na "kulana mizigo" wapi na wapi?
 
Kuna wakati gazeti la Drum walitoa maneno ambayo walisema ni "tongue twister". Wakaleta neno hilo ambalo ni la lugha yako na tafsiri waliyoitoa ni kwamba " it is a market place in Obwere". Sasa wengine ilituwia vigumu sana kutamka hilo neno na tukakubaliana nao kuhusu hilo.
obwerenyong'ong'ming'ong'ewang means obwere ni sehemu ya kukodolea macho kodo.
 
Ndiyo huyohuyo leo katumia ID nyingine sijui ana tatizo gani na hicho kikundi maana huyo alishaleta uzi kama huu

Wewe na mtoa mada ni mtu mmoja ID tofauti?
 
Na hizo nyuzi zote wewe ndiyo muandishi wake ukitumia ID tofauti. Nenda uwaone msaidiane kama unaona kuna shida ktk hicho kikundi kuliko kuleta huku ambapo wala huwezi kuwasaidia zaidi ya kuwachafua kwa tuhuma zisizo na uthibitisho
Huu ni uzi wa 5 ambao unahusisha na hiyo kwaya so lazima kutakuwa na kitu sio jambo la kupuuza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom