Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Matokeo ya kuchanganya sanaa na siasa, msiyakimbie.
Yapokelewe kama zinavyo pokelewa posho
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
 
Hasira za Mama mna mletea Zuchu
 
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
 
Kizimkazi ajitathimini.zuchu kapigwa sababu ya kusema mama mitano tena.chawa wa kizimkazi mjue kuwa watanzania hawataki huyo kizimkazi wenu
 
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
Mauaji kemea wewe, wao wanaangalia mkate wao, maana hata wakiishiwa pesa nyie mtakuwa wa kwanza kuwacheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…