Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Bakheresa chochote akitakacho simu moja kwa mkuu wa nchi kamaliza,hayupo Mogul wa kumzidi Bakheresa nchi hii hayupo kwa power.

Kwa hiyo kwa mtizamo wako UFM ipo ipo tu haingizi hela?
Sio kweli inategemea anataka cha nani?

Unaweza kutaka cha mkubwa mwenzako na yeye anamizizi na ni mtu wa michezo michafu
 
Sina logic kwa mtizamo wako finyu,sikulaumu labda level za kufikiri zimetofautiana.

Ardhi hela yako hata serikalini yapo maeneo potential yaunauzwa kwa gharama kubwa kwa Square m,ila haina maana hayapo yapo.

Sasa huwezi fananisha Ardhi na Frequency vitu viwili tofauti, kwenye ardhi ukishapewa hati basi,ila Frequency still wanakumonitor. Pili huwezi kuhozi Frequency sababu kwa kwanza kwa Frequency yenyewe ni hela ndefu,pili kwa kupitia wafanyakazi wale serikali inapata kodi. So Frequency zipo na kinacho fanya radio kuwa kubwa ni promo na si udogo frequencies, hata ukifanya mahesabu tofauti ya distance ni ndogo sana.

Tatu uzuri hatujuani na sihitaji sifa kutoka kwako kwamba ukubali mimi mtaalamu, ila uzuri na jiamini kwenye field yangu huni punguzii chochote.
 
Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
Makelele ni mtizamo wako na hujakatazwa kuyaona makele sababu umeamua mwenyewe kuyaona makele.
 
Kaka we ba
Mkubwa mwenzake nani, Bakheresa mda wowote anafumua kampuni ya simu sijui kama unalijua hili. Hayupo mtu mwenye mizizi mirefu kama yule mzee sema yupo kimya.
Kaka acha ushabiki we bado mdogo kuna vitu hujui
Kwenye siasa huko kuna watu wanakufuru...ndio maana huji kuta jina la mwanasiasa forbes


Hii dunia kuna light world na dark world

Sasa bakhresa yupo upande wa light world yaani anaonekana


Kuna dark world ndio kwa wanasiasa

Jiulize kwenye msiba wa juzi wa waziri mkuu kila mwanasiasa alikuwa anakiri yule mtu alikuwa vizuri kifedha na hata kasumba ya U-CEo 1995 ukwasi ndio ulimzibia


Jiulize ni nn ulikuwa unakijua anamiliki kinachoonekana mpaka apewe sifa izo
 
Radio ya juz ilkuwa ya nani
 
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
 
Mdogo kwa mtizamo wako kwani lake mtu halimtapishi na una haki ya kuongea chochote sababu hatujuani.

Bakheresa yupo vizuri na power yake ni kubwa mno.
 
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
 
Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
Hawa si ndio wanasemwa na waajiri ni weupe ku kichwa?
 
Fatilia ujue wewe acha ujuaji... Wasafi ata hisa anazomiliki diamond amfikii juhayna kusaga mke wa Joseph kusaga, sema diamond ni ceo na founder tu... Ndio maana wengi msiozama mnahisi ni mali yake pekee..!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-09-17-14-41-68.jpg
    283.3 KB · Views: 11
Kula = kura, Konetion = connection... Kwa huu uandishi wako itoshe kusema bado nchi ina wajinga wengi mno. Na sitashangaa kusikia wewe ni graduate wa chuo kikuu. Ni huzuni kwa kweli.
 
Fatilia ujue wewe acha ujuaji... Wasafi ata hisa anazomiliki diamond amfikii johavin kusaga mke wa Joseph kusaga, sema diamond ni ceo na founder tu... Ndio maana wengi msiozama mnahisi ni mali yake pekee..!
Sasa si share kwenye mia ukiwa na tano nawe ni mmiliki,Llebron ana share ndogo sana Liverpool ila nae ni sehemu wamiliki Liverpool.

Hivi 45% alizokuwa nazo Diamond ni ndogo kweli, kwa taasisi kama ile ya Wasafi,tuwe wakweli.
 
Sasa si share kwenye mia ukiwa na tano nawe ni mmiliki,Llebron ana share ndogo sana Liverpool ila nae ni sehemu wamiliki Liverpool.

Hivi 45% alizokuwa nazo Diamond ni ndogo kweli, kwa taasisi kama ile ya Wasafi,tuwe wakweli.
Kwani nmekquote mkuu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…