Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Unayosema ni kweli,, lkn huyo niliyemjibu mm yeye badala ya kukemea, anaanza kuhusisha imani nyingine kwenye huo uovuHilo ni tatizo la kijamii sio la kundi la jamii. Wewe kama mwanajamii unatakiwa kukemea ili tusiruhusu upumbavu wa kuchafua imani za wengine uendelee.
Nimemalizia kufanikisha Jambo linalowaunganishaHivyo vyote ulivyotaja ni vitu tofauti...mke wa bashite hawezi kwwenda kulala na magu eti kisa ni kitu kimoja
Yani waislam huwa mnataka kuforce sayansi iendane na quran wakati sayansi yenyewe ni kinyume cha quran...big bang maana yake tu ni kuwa hakukuwa na uumbaji kwahiyo kama quran inasapoti bigbang maana yake hakuna mungu,,,By the way qur'an sio porojo,imezungumzia nadharia ya Bing bang kipindi hicho,inanyambu uumbwaji ndani ya tumbo la mwanadam
Hapo kupiga Vita ni Vita hasa ya kubadili utawala wa mwenyezi mungu ili alete usio wa Allah,maana yake kumpindua utawala kwa kumwaga damu,hakuna atakaekubali,lakini kwa upande wa mijadala Kama alivofanya Simba ulanga,pale unashindana nae kwa hojaMaana Alichofanya ni uchafuzi wa dini na ammempiga vita mtume...kwahiyo hiki kifungu kingetumika
Quran 5:33
33. Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi wowote katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. 33
Wagalatia hatuna Cha kujifunza chochote kuhusu nyie labda sana sana tumejifunza kuhusu dini yenu ilivyo kibiashara na kitapeli zaid, wahuni kibao ndo manabii kazi kutapeli tuAngeshakamatwa na serikali simply because mnafamika huwa mnaongozwa na mihemko kuliko akili. Hamchelewi kukata kituo cha TV mapanga. Itoshe tu kusema mna the lowest emotional intelligence. Bila shaka mmejifunza kitu kutoka kwetu. Calmness, critical thinking, react wisely
Hayo maelezo umesema wewe quran haijasema hayo,,,wewe unadilute wakati Ukienda Saudia hata kuvaa rozali tu umempiga vita AllahHapo kupiga Vita ni Vita hasa ya kubadili utawala wa mwenyezi mungu ili alete usio wa Allah,maana yake kumpindua utawala kwa kumwaga damu,hakuna atakaekubali,lakini kwa upande wa mijadala Kama alivofanya Simba ulanga,pale unashindana nae kwa hoja
Ngoja tuwape muda TCRA labda wanasubiri wapate kibali kutoka mamlaka ya uteuzi ili waifungie Wasafi kwa blasphemy hii ambayo haijawahi kutokea toka tupate Uhuru!Wakristo wapole sana.... wangekuwa kina fulani hapa, spika zingewashwa hata saa 5 asubuhi
Qur'an 21:30 Bing bang,naomba uwongo wa Qur'an kwenye uumbwaji tumboniYani waislam huwa mnataka kuforce sayansi iendane na quran wakati sayansi yenyewe ni kinyume cha quran...big bang maana yake tu ni kuwa hakukuwa na uumbaji kwahiyo kama quran inasapoti bigbang maana yake hakuna mungu,,,
Nadharia ya uumbaji tumboni imekuwepo ikijulikana miaka mingi kabla ya muhammad kwani muhammad kujua jua linachomoza ni muujiza?Basi watu wagiriki ambao walifika mpaka uarabuni miaka hiyo walijua sayansi ya uumbaji 'tumboni' lakini pamoja na kusikia story kwa wagiriki Muhammad bado maelezo yake kwenye quran kuhusu uumbaji tumboni ni ya uongo yako kinyume na ugunduzi wa sasa
Saudia,Iran Kuna makanisa,acha uzandikiHayo maelezo umesema wewe quran haijasema hayo,,,wewe unadilute wakati Ukienda Saudia hata kuvaa rozali tu umempiga vita Allah
Soma Aya vizuriHayo maelezo umesema wewe quran haijasema hayo,,,wewe unadilute wakati Ukienda Saudia hata kuvaa rozali tu umempiga vita Allah
Comment yako hii hapa=Umeona eenhh?!!.Tungewaona barabarani na vimakanzu vyao wakisema "Takbiriii" sasa halafu unakataa nini ndio ujue kuwa wewe ni nyumbu tena mchelemchele shwainKwani nimetaja Uislamu Mimi hapa?, Naona unatafuta Mwaume wa kukutuliza nyege sio bure.
Hamna kitu, hakuna hata official protest from Christian organisations.Ngoja tuwape muda TCRA labda wanasubiri wapate kibali kutoka mamlaka ya uteuzi ili waifungie Wasafi kwa blasphemy hii ambayo haijawahi kutokea toka tupate Uhuru!
Aliohoji ni mkristo aliohojiwa ni mkristo, mengine ni rangi zenu halisi mnazionesha LeoNadhani ni kwasababu wanahusisha na team ya wasafi upumbavu wao kupost jambo kama hilo na inawezekana waliopo nyuma ya kamera ni watu wa imani nyingine therefore wamejitoa ufahamu.
Kama unakubali bigbang maanake huyo Allah hakuumba ulimwengu kwa siku 7/8/9 kama quran inavyojichanganya? Leta hiyo verse ya uumbwaji tumboni nikuoneshe wapi kina muddy walituingiza chakaQur'an 21:30 Bing bang,naomba uwongo wa Qur'an kwenye uumbwaji tumboni
Sasa unawatag mods eti kwasababu ni kinyume na sheria kueeditiwa comment yako na wakati pia sheria za jf haziruhusu matusi?Unajua ni kinyume na Sheria za jf kuedit comment ya mtu mods mchukulieni hatua Kwa kuedit comment yangu Moderator Maxence Melo
Weka ushahidi,,,by the way twende kwenye hadith zinavosema kuhusu kumtusi muhamad na Allah wake au tutafanya siku nyingine?Saudia,Iran Kuna makanisa,acha uzandiki
Wewe achana na uislam mana unaonekana una chuki na uislam,, wewe pambana na nabii shillah na wasafi,, hayo mambo mengine fungulia uzi wakoHiki ndo kitu ninachokitaka..jamii iliyopevuka kiakili mpaka kuuthamini ubinadamu zaidi ya maandishi ya miaka 2000 iliyopita...kongole kwa hao waislam ambao hawakumfanya kitu simba ulanga maana walienda kinyume na uislam,quran na hadith ila wakajali utu na ubinadamu kwanza👏
👏
Nioneshe Hilo tusi tuende SawaSasa unawatag mods eti kwasababu ni kinyume na sheria kueeditiwa comment yako na wakati pia sheria za jf haziruhusu matusi?
Nimesoma vizuri sana tu,,,na mashekhe waliosomea dini wamesoma vizuri pia na ndomaana ile sharia ya kuamuru mtu anayeacha uislam auliwe imetokana hapa na kwenye hadith...au twende facts kwa facts zaidi,,,weka na mwanazuoni unayemuamini alivyoitafsiri hii aya halafu mimi ntakuwekea tafsiri ya Ibn kathirSoma Aya vizuri
Dah naona mpaka unanifukuza, yani navyuongelea uislam unaona kama naupiga vita na kuuchafua...ingekuwa karibu na nchi ya kiislam ungetumia aya hii kuniadhibuWewe achana na uislam mana unaonekana una chuki na uislam,, wewe pambana na nabii shillah na wasafi,, hayo mambo mengine fungulia uzi wako