Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Hilo ni tatizo la kijamii sio la kundi la jamii. Wewe kama mwanajamii unatakiwa kukemea ili tusiruhusu upumbavu wa kuchafua imani za wengine uendelee.
Unayosema ni kweli,, lkn huyo niliyemjibu mm yeye badala ya kukemea, anaanza kuhusisha imani nyingine kwenye huo uovu
 
By the way qur'an sio porojo,imezungumzia nadharia ya Bing bang kipindi hicho,inanyambu uumbwaji ndani ya tumbo la mwanadam
Yani waislam huwa mnataka kuforce sayansi iendane na quran wakati sayansi yenyewe ni kinyume cha quran...big bang maana yake tu ni kuwa hakukuwa na uumbaji kwahiyo kama quran inasapoti bigbang maana yake hakuna mungu,,,

Nadharia ya uumbaji tumboni imekuwepo ikijulikana miaka mingi kabla ya muhammad kwani muhammad kujua jua linachomoza ni muujiza?Basi watu wagiriki ambao walifika mpaka uarabuni miaka hiyo walijua sayansi ya uumbaji 'tumboni' lakini pamoja na kusikia story kwa wagiriki Muhammad bado maelezo yake kwenye quran kuhusu uumbaji tumboni ni ya uongo yako kinyume na ugunduzi wa sasa
 
Maana Alichofanya ni uchafuzi wa dini na ammempiga vita mtume...kwahiyo hiki kifungu kingetumika
Quran 5:33
5_33.gif

33. Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi wowote katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. 33
Hapo kupiga Vita ni Vita hasa ya kubadili utawala wa mwenyezi mungu ili alete usio wa Allah,maana yake kumpindua utawala kwa kumwaga damu,hakuna atakaekubali,lakini kwa upande wa mijadala Kama alivofanya Simba ulanga,pale unashindana nae kwa hoja
 
Angeshakamatwa na serikali simply because mnafamika huwa mnaongozwa na mihemko kuliko akili. Hamchelewi kukata kituo cha TV mapanga. Itoshe tu kusema mna the lowest emotional intelligence. Bila shaka mmejifunza kitu kutoka kwetu. Calmness, critical thinking, react wisely
Wagalatia hatuna Cha kujifunza chochote kuhusu nyie labda sana sana tumejifunza kuhusu dini yenu ilivyo kibiashara na kitapeli zaid, wahuni kibao ndo manabii kazi kutapeli tu
 
Hapo kupiga Vita ni Vita hasa ya kubadili utawala wa mwenyezi mungu ili alete usio wa Allah,maana yake kumpindua utawala kwa kumwaga damu,hakuna atakaekubali,lakini kwa upande wa mijadala Kama alivofanya Simba ulanga,pale unashindana nae kwa hoja
Hayo maelezo umesema wewe quran haijasema hayo,,,wewe unadilute wakati Ukienda Saudia hata kuvaa rozali tu umempiga vita Allah
 
Wakristo wapole sana.... wangekuwa kina fulani hapa, spika zingewashwa hata saa 5 asubuhi
Ngoja tuwape muda TCRA labda wanasubiri wapate kibali kutoka mamlaka ya uteuzi ili waifungie Wasafi kwa blasphemy hii ambayo haijawahi kutokea toka tupate Uhuru!
 
Yani waislam huwa mnataka kuforce sayansi iendane na quran wakati sayansi yenyewe ni kinyume cha quran...big bang maana yake tu ni kuwa hakukuwa na uumbaji kwahiyo kama quran inasapoti bigbang maana yake hakuna mungu,,,

Nadharia ya uumbaji tumboni imekuwepo ikijulikana miaka mingi kabla ya muhammad kwani muhammad kujua jua linachomoza ni muujiza?Basi watu wagiriki ambao walifika mpaka uarabuni miaka hiyo walijua sayansi ya uumbaji 'tumboni' lakini pamoja na kusikia story kwa wagiriki Muhammad bado maelezo yake kwenye quran kuhusu uumbaji tumboni ni ya uongo yako kinyume na ugunduzi wa sasa
Qur'an 21:30 Bing bang,naomba uwongo wa Qur'an kwenye uumbwaji tumboni
 
Kwani nimetaja Uislamu Mimi hapa?, Naona unatafuta Mwaume wa kukutuliza nyege sio bure.
Comment yako hii hapa=Umeona eenhh?!!.Tungewaona barabarani na vimakanzu vyao wakisema "Takbiriii" sasa halafu unakataa nini ndio ujue kuwa wewe ni nyumbu tena mchelemchele shwain
 
Ngoja tuwape muda TCRA labda wanasubiri wapate kibali kutoka mamlaka ya uteuzi ili waifungie Wasafi kwa blasphemy hii ambayo haijawahi kutokea toka tupate Uhuru!
Hamna kitu, hakuna hata official protest from Christian organisations.

Binafsi naamini Mungu hahitaji kutetewa na binadamu; na hukumu ya mkosa ni kazi yake Mungu.

Tuendelee na mambo yetu.
 
Qur'an 21:30 Bing bang,naomba uwongo wa Qur'an kwenye uumbwaji tumboni
Kama unakubali bigbang maanake huyo Allah hakuumba ulimwengu kwa siku 7/8/9 kama quran inavyojichanganya? Leta hiyo verse ya uumbwaji tumboni nikuoneshe wapi kina muddy walituingiza chaka
 
Hiki ndo kitu ninachokitaka..jamii iliyopevuka kiakili mpaka kuuthamini ubinadamu zaidi ya maandishi ya miaka 2000 iliyopita...kongole kwa hao waislam ambao hawakumfanya kitu simba ulanga maana walienda kinyume na uislam,quran na hadith ila wakajali utu na ubinadamu kwanza👏
👏
Wewe achana na uislam mana unaonekana una chuki na uislam,, wewe pambana na nabii shillah na wasafi,, hayo mambo mengine fungulia uzi wako
 
Soma Aya vizuri
Nimesoma vizuri sana tu,,,na mashekhe waliosomea dini wamesoma vizuri pia na ndomaana ile sharia ya kuamuru mtu anayeacha uislam auliwe imetokana hapa na kwenye hadith...au twende facts kwa facts zaidi,,,weka na mwanazuoni unayemuamini alivyoitafsiri hii aya halafu mimi ntakuwekea tafsiri ya Ibn kathir
 
Wewe achana na uislam mana unaonekana una chuki na uislam,, wewe pambana na nabii shillah na wasafi,, hayo mambo mengine fungulia uzi wako
Dah naona mpaka unanifukuza, yani navyuongelea uislam unaona kama naupiga vita na kuuchafua...ingekuwa karibu na nchi ya kiislam ungetumia aya hii kuniadhibu
5_33.gif

33. Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi wowote katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. 33
 
Back
Top Bottom