Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Qur'an 21:30 Bing bang,naomba uwongo wa Qur'an kwenye uumbwaji tumboni
21:30 Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini?

Inamaana hao waliokufuru walikuwepo kipindi cha The Big Bang theory mpaka Allah anasema waliona jinsi anazibandua nabado hawamuamini??
Big bang inasema mwanzoni hakukuwa na matter kulikuwa na energy singularity iliyoexplode ikazaaa space,time and matter Sasa quran inasema dunia na mbingu zilikuwa kitu kimoja wakati a)Hazikuwepo kipindi cha big bang na b)Mbingu ilianza kuwepo mabilioni ya miaka na hii dunia ni ya juzi tu. Qur’an 21:30 inasema mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana..kitu ambacho ni uongo hivi vitu havijawahi kuambatana
 
Aya haitafsiriwi na mwanazuoni,Aya huwa ziko wazi,hakuna Aya inayosema mtu akitoka kwenye uislam auawe,hiyo Aya hujamalza kuinukuu na pia umepotoka kitafsiri
Kwahyo ukijisikia wewe kutafsiri hivi unatafsiri tu sio? Tukitafsiri aya zinavosema mnapindisha maneno na kusema mpaka wanazuoni,,tukiwafata wanazuoni mnawakana tena mnasema aya ziko wazi,,,sasa apo aya iko wazi kuwa>> mtu anayezusha jambo lolote akatwe miguu na kusulubiwa,,,,wewe umekuja ukaongezea ya kwako kwamba mpka huyo mtu apindue mamlaka ya Allah (Kitu ambacho aya haijasema umemlisha muhammad maneno) alafu unasema tena aya ziko wazi?
 
Kutukana nilipo hakunitoa, hebu nipe sifa kwanza za huko uliko nipafahamu 🤓🤓,,,,

Nimeshapiga "PILAU DAWA" langu hapa TEMEKE KATA 14 nabeua tu hapa na nimechukua "MAJI DAWA" yangu ,, sasa naelekea kwa Kuhani Musa KIMARA TEMBONI nikawahi Uvumba na Manemane🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️..

Kama IMANI YA MTU inakukera basi hata hiyo unayoiita yako huifahamu.
 
Hapo ndo mnapofeli wagalatia,, mleta uzi kazungumzia wasafi na yesu, sasa habari za msikiti na Allah zinaingiaje,, mbona unaongea kama vile una kipisi cha dhakali mat@qoni, afu huyo ni jamaa yenu tena ni nabii,,, sio shekhe wala ustadh huyo so punguza kisokorokwinyo,, huyo ni nabii shillah kama humjui
Naona umemtetea allah kwa hasira sana
 
Huyo mchizi angesema huo ujinga kwa mtume wa ile dini angetangaziwa fatwa na kituo hicho kingeipata fresh, ana bahati ukristo hauna munkari wa kulipiza kisasi kiongozi wake anapokashifiwa na wapuuzi wa duniani
 
Kwahyo ukijisikia wewe kutafsiri hivi unatafsiri tu sio? Tukitafsiri aya zinavosema mnapindisha maneno na kusema mpaka wanazuoni,,tukiwafata wanazuoni mnawakana tena mnasema aya ziko wazi,,,sasa apo aya iko wazi kuwa>> mtu anayezusha jambo lolote akatwe miguu na kusulubiwa,,,,wewe umekuja ukaongezea ya kwako kwamba mpka huyo mtu apindue mamlaka ya Allah (Kitu ambacho aya haijasema umemlisha muhammad maneno) alafu unasema tena aya ziko wazi?
Aya haijasema mtu anaezusha,unasomaje!!!?..
 
21:30 Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini?

Inamaana hao waliokufuru walikuwepo kipindi cha The Big Bang theory mpaka Allah anasema waliona jinsi anazibandua nabado hawamuamini??
Big bang inasema mwanzoni hakukuwa na matter kulikuwa na energy singularity iliyoexplode ikazaaa space,time and matter Sasa quran inasema dunia na mbingu zilikuwa kitu kimoja wakati a)Hazikuwepo kipindi cha big bang na b)Mbingu ilianza kuwepo mabilioni ya miaka na hii dunia ni ya juzi tu. Qur’an 21:30 inasema mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana..kitu ambacho ni uongo hivi vitu havijawahi kuambatana
Muda wote huo umeenda kujichimbia ndo umerudi na elimu hii,Qur'an haijasema dunia,imesema ardhi,Mars,Jupiter,Mercury ni ardhi,ntakuja kukuelewesha,najenga nchi kwanza
 
Huu Uzi ungefutwa tu maana kitendo kilichofanywa na wasafi hakijadiliwi lakini wanajadiliwa waislamu sjui wameingiaje hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyetukana nabii shillah na aliyemuhoji mkristo mwenzie lkn zigo la lawama wanatupiwa waislam,,, tunarudi pale pale fungulia uzi wako tujadili hicho unachokitaka ila hapa kwa sasa ni nabii shillah na wasafi kama uzi ulivyoletwa,, asee we jamaa sipati picha kama shekhe ndo angefanya hiyo hiyo interview sijui ingekuwawaje
Hata kama angetukana mbuzi najua waislam mngemchinja huyo mbuzi..hapa ishu sio katukana nani ishu nini kilichomkuta mtukanaji na matokeo yake endapo angetukana upande wa pili
 
Iran hutaki,umebaki na Saudis tu!!?..sababu umegoogle ukakuta makanisa yapo siyo
Wewe umerogwa Nini?Nani aliyeitaja Iran apa??wewe ndo umeitaja alafu Tena unanitaka Mimi niiulizie??
Mimi nimeataja Saudia Arabia Na ndo nayoiulizia nataka ushahidi acha kuruka ruka usinilishe maneno mwishowe useme nilisema Na Bongo hamna makanisa
 
Muda wote huo umeenda kujichimbia ndo umerudi na elimu hii,Qur'an haijasema dunia,imesema ardhi,Mars,Jupiter,Mercury ni ardhi,ntakuja kukuelewesha,najenga nchi kwanza
Hahah kwahyo comment yangu Ina hoja nyingi wewe umesoma sehemu ya ardhi Tu? Mzee Allah haijui mercury hata kama ukiassume anaongelea planets zote bado Jibu langu kwenye hiyo comments litabaki palepale hizi planets Na mbingu hazijawahi Kuwa kitu kimoja Na kwenye big bang hazikuwepo Na comment yangu hujaipinga Kwa hoja yoyote kwahyo bado hujamsaidia Allah Na hujasaidia kitu....halafu weka Na Hiyo Aya ya uumbaji tumboni APA tuijadili unaogopa Nini?
 
Hahah kwahyo comment yangu Ina hoja nyingi wewe umesoma sehemu ya ardhi Tu? Mzee Allah haijui mercury hata kama ukiassume anaongelea planets zote bado Jibu langu kwenye hiyo comments litabaki palepale hizi planets Na mbingu hazijawahi Kuwa kitu kimoja Na kwenye big bang hazikuwepo Na comment yangu hujaipinga Kwa hoja yoyote kwahyo bado hujamsaidia Allah Na hujasaidia kitu....halafu weka Na Hiyo Aya ya uumbaji tumboni APA tuijadili unaogopa Nini?
Kwanza Bing bang siyo kwamba hapakua na kitu,Wala so energy Kama ulivodai,maana baada ya Bing bang ndipo ikazaliwa universe,universe haiwezi tokea from nothing,pili kule quora ulikoenda umekuta universe Ina expand Kama sura ya 51::47 inayosema,Sasa Allah ajue universe Ina expand asijue imetokeaje,hapo ni wewe ndiye uliyeshindwa kuelewa nadharia ya Big bang
 
Wewe umerogwa Nini?Nani aliyeitaja Iran apa??wewe ndo umeitaja alafu Tena unanitaka Mimi niiulizie??
Mimi nimeataja Saudia Arabia Na ndo nayoiulizia nataka ushahidi acha kuruka ruka usinilishe maneno mwishowe useme nilisema Na Bongo hamna makanisa
Saudis hawaruhusiwi wakiristo kuhubiri Ila wanaruhusiwa kufanys ibada,Iran makanisa yapo,nilisema Iran na Saudis makanisa yapo
 
Kwanza Bing bang siyo kwamba hapakua na kitu,Wala so energy Kama ulivodai,maana baada ya Bing bang ndipo ikazaliwa universe,universe haiwezi tokea from nothing,pili kule quora ulikoenda umekuta universe Ina expand Kama sura ya 51::47 inayosema,Sasa Allah ajue universe Ina expand asijue imetokeaje,hapo ni wewe ndiye uliyeshindwa kuelewa nadharia ya Big bang
Wapi nimesema hapakuwa na kitu??Nimesema kulikuwa na singularity ya energy hizi nyota na planets hazikuwepo unaelewa kweli wewe ukisoma?
 
Saudis hawaruhusiwi wakiristo kuhubiri Ila wanaruhusiwa kufanys ibada,Iran makanisa yapo,nilisema Iran na Saudis makanisa yapo
ndo nkakuambia weka ushahidi wa kanisa lililopo saudi arabia,,,acha kunilisha maneno tupu
 
Back
Top Bottom