Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Watoto wa ndani ya ndoa na wa nje ya ndoa wote ni sawa,aliezaa na mume wa mtu na hakuolewa hana mamlaka,ni kimada tuu aliyezaa(hata kama watoto 5),mgao wa watoto wao ndo sehemu ya ufaidikaji wa mama yao
 
Hili suala binafsi nimekuwa nikilifikiria
Yaani mtoto wangu wa kike akiolewa ndio nakuwa nimekabidhisha kabisa kwenye ukoo mwingine aiseee no way πŸ˜ƒ kila mtu azikwe kwao
 
Wanaume wanakufa kwa mengi, mengine ya kujitakia kuwa na husiano zaidi ya moja ni kujipa misuko suko bila sababu. Its mentally and physically draining πŸ˜ͺ. R.I.P tajiri wa madini pole kwa wake na watoto.
 
Marehemu ni ndgu na nimefanya nae mengi.alikua kaka na mchizi wangu...kalazwa muhimbili huyo mama kaenda soku 5 za mwisho kamkuta na kauli keshafunga
 
Watoto wa ndani ya ndoa na wa nje ya ndoa wote ni sawa,aliezaa na mume wa mtu na hakuolewa hana mamlaka,ni kimada tuu aliyezaa(hata kama watoto 5),mgao wa watoto wao ndo sehemu ya ufaidikaji wa mama yao
Sawa kabisa watoto wote ni wake na ndgu wanawatambua kwahiyo watapewa haki za kusoma na matunzo...kaka zake wawili ni watu wenye uwezo pia ni watu wazima wataweka mambo sawa
 
W
Watoto wakubwa wote wa kike wa kwanza yuko form 3...mama ndio hiyo mtambo hata shule hamna yeye anawaza abebe mali
 
Umeandika mambo mengi ila umeandika pumba, eti ''dada wa kazi apokonyea mwili wa marehemu

Mume na yeye SI alizaa nje watoto wawili akawaleta?? Kwanini basi hakumpa talaka huyo mama kama alizaa nje? Sisi wanaume tuna mambo mengi sana tukishaamua kuwa na bi mdogo
 
Sawa kabisa watoto wote ni wake na ndgu wanawatambua kwahiyo watapewa haki za kusoma na matunzo...kaka zake wawili ni watu wenye uwezo pia ni watu wazima wataweka mambo sawa
Huyo mke mwenye cheti kisheria
Unafunguwaje mirathi bila ya cheti cha kifo!!?
Mke mkubwa ana cheti Cha kifo na Cha ndoa. Ndugu watakasirika sana lkn hivyo VYETI vitamoa mamlaka makubwa.. Somo UKIONA ndoa huwezi talikiana Kila mtu aende kivyake
 
Sheria ya nchi gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…