Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Hao ndugu na Mke mdogo ni wapumbavu.

Pamoja na kwamba kutakuwa na shida Kwa bimkubwa Hadi Tajiri kaoa housegirl ila lazima busara itumike.

Huyo Mke mdogo alitakiwa awe ameshambana bwanake Tajiri ampe Mali zake na Watoto wake mapema kabisa maana baada ya kifo mwenye Haki ni bimkubwa na Watoto wake.

Ndio maana Mimi Huwa Sina ratiba za kufunga ndoa na hao mapadre njaa walienda vipi msibani wakati Mke aliyeozeshwa na ana cheti hayupo?
Sijui kwa nini watu wanakuwaga wapumbavu na kujiachia na mwanaume ambaye unajua ana mke kabisa wa ndoa. Na hata kama mkewe ana changamoto zilizoshindikana; as long as mumewe hajampa talaka; huyo bado ni mume wa mtu hadi kifo kitakapowatenganisha. And no matter how mwanaume alikupenda na kuzaa na wewe; akifa usije ukajishangaa ukahudhuria msiba wake kama mtu baki tu + ndiyo muda wa mke mkubwa kukumalizia uchungu wa kumbebea mumewe 🤣
 
Mume kazaa 7 nje na mke kazaa wawili hpo unapomuona anakichanga cha mwezi mmoja,na mume kahama nyumbani mwaka na mwezi...kazaa na bodaboda
Mume ana watoto 7 nje, na wengine mke analea? Kwa kweli wamefanana tu tabia. Sijui kwa nini hawakupeana talaka kila mtu akashika 50 zake. Sio kwa umalaya huo on both sides
 
Mirathi zina mambo mengi. Kuna familia mali zao zinakuwa zinamilikiwa na kampuni .sasa wanataka wengine wanaenda kudai kichwakichwa wanaangukia pua. Ukiingia kwenye familia za watu ambao wanajiweza , sio rahisi kuchukua mali kizembe unless umezitafuta na mumeo mwanzo mwisho.
 
Kaandika kiushabiki mwili umetoka dar na mkewe na msiba uko kwa mke moshono....yeye mkewe ndio anadai cheni,pete magari yaletwe kwake ndio azike,mara akabadili gia angani apewe doc za mali....marehemu alikimbia kwake mwaka mzima kwa vile mke malaya na watoto wawili mabodaboda wamemzalisha....ukiowa changu tegemea matatizo kwenye maisha yako....istoshe mke hana document yeyote hapo anapiga kelele tu
Inaonekana bro unawafahamu vizuri hawa au we ni ndugu yake huyo mke mdogo aliyekuwa house girl?
 
Jana kabla ya hukumu ndugu wa marehemu nadhami mdogo wake alikuwa anamponda shemej yake eti anawaza mali tu, awaache wazike ndugu yao.
 
M

marehemu ni ndgu yangu kabisa ninafanya nae kazi...hakuna superwoman hapo yeye kapoteza cz mali nyingi hazijui tena ni ardhi za pesa ndefu....ndgu wa mume wanamuangalia tu hana hata hati moja kuanzia nyumba,viwanja,magari,mashamba
Pole mkuu. Tunaomba abc zao maana inaonekana unajua mengi. Pia nilienda radhi niliandika sehemu inawezekana u ndugu ya mchepuo. Pole
 
Mbona umeandika kama mipasho.kama wewe ni mwanaume jitafakari.unashangaaje mwanaume kuzaa watoto wengi wakati tulipewa agizo tuijaze nchi.Hayo mengine ni mambo ya kawaida uku afrika.wala haishangazi cha msingi marehemu asitiriwe.Hayo ya mali kila mtu anaweza kutafuta zake kwasababu ata marehemu hakuzaliwa nazo.
 
Wanawake hao ndio walivyo akipata nafasi ya kuwa mchepuko tayari anajiona mke. Ukiwa mzembe lazma atakuharibia kwa wife akiamini anaweza pindua meza aolewe yeye.

Mungu aniepushe na tamaa za kutamani na kuzaa watoto wa nje. Huleta migogoro sana siku ya msiba.
Ila kukazaa nje huachiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanahusika vizuri sana. Na bila huo muhtasari, hakuna mirathi inafunguliwa.
Mirathi inaweza kufunguliwa hata na mimi nisiye na undugu wowote na marehemu. Ili mradi kusiwe na pingamizi Baada ya kutangaza kwenye gazeti la serikali na kupewa usimamizi na mahakama.
Pili, muhusika wa karibu (heir) ni mke halali wa marehemu na haitaji ruhusa ya kaka, dada au mjomba wa marehemu ili afungue mirathi. Kwani wao hawana mali zao?
Hizo ni mali zake bila hata mirathi (kwa asilimia fulani) na watoto na atasimamia yeye kabla ya mwingine kuteuliwa.
Msikariri mambo.
 
Mimi na undugu kabisa na marehemu ..mke hata hata hati moja narudia hati au kadi za magari hana wala namba za magari hazijui...alioa narmaid unategemea mama wa namna gani
Ushasema "Mke".
Hapo nusura ni usia tu kama hamna usia mke anasimamia mali. hamna jinsi , mtu kama kapewa mwili ije mali? hebu muwe mnafikiria.
 
Mirathi inaweza kufunguliwa hata na mimi nisiye na undugu wowote na marehemu. Ili mradi kusiwe na pingamizi Baada ya kutangaza kwenye gazeti la serikali na kupewa usimamizi na mahakama.
Pili, muhusika wa karibu (heir) ni mke halali wa marehemu na haitaji ruhusa ya kaka, dada au mjomba wa marehemu ili afungue mirathi. Kwani wao hawana mali zao?
Hizo ni mali zake bila hata mirathi (kwa asilimia fulani) na watoto na atasimamia yeye kabla ya mwingine kuteuliwa.
Msikariri mambo.

Mirathi inaweza kufunguliwa hata na mimi nisiye na undugu wowote na marehemu. Ili mradi kusiwe na pingamizi Baada ya kutangaza kwenye gazeti la serikali na kupewa usimamizi na mahakama.
Pili, muhusika wa karibu (heir) ni mke halali wa marehemu na haitaji ruhusa ya kaka, dada au mjomba wa marehemu ili afungue mirathi. Kwani wao hawana mali zao?
Hizo ni mali zake bila hata mirathi (kwa asilimia fulani) na watoto na atasimamia yeye kabla ya mwingine kuteuliwa.
Msikariri mambo.
Unaongea kirahisi namna hiyo. Munafungua bila muhtasari wowote?
 
Back
Top Bottom