Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Unategemea mke angefanya nini kama hakuwa na uwezo wa kumuacha? Amezaa watoto wawili nje na akawaleta kwa mkewe, na anawalea hadi sasa. Bado akaenda tena kuanzisha familia na house girl....
Kuna wanawake wanajali sana kuitwa mke kuliko kitu chochote hapa duniani. Na sio kwamba wote hawana hela; ni Ile tu title "Mrs"; washaamua kufia ndoa.
Hahajah kazi kweli. Na watafia ndoa kweli.
 
Arusha Mfanyabiashara tajiri wa mawe ndugu Temu amefariki dunia na kuacha kizaazaa nyuma. Bwana huyo ana migodi, magari sita, mashamba, majumba na mahoteli na maviwanja.
Alioa mke aitwae Yasinta ndoa ya kanisani.

Akazaa nae watoto 5 Kama kawa huko chuga hawa mabilionea hua wanapenda chovyachovya.

Baba akazaa nje mtoto wa kwanza akaleta home mke alee, akanogewa akazaa mwingine tena akapeleka nyumbani mkewe alee. Mke akawa hana namna. Kiroho safi analea.
Mke nae amezaa watoto watano tena mmoja mchanga, ukijumlisha wawili wa baba wanakuwa saba.

Mama akaleta housegirl, baba alivyo na tamaa akaanza kutembea na housegirl mpaka akapata mimba. Baba akamfanya mke mdogo, akamjengea na akazaa naye watoto wawili. Yule housegirl ndo akawa na nguvu, mke mkubwa akawa anadharauliwa.

Mke kikawa kinamuuma lakini sasa ndo ashazaa watoto watano akaamua avumilie.

Mara paaap, tajiri kaumwa. Kapelekwa Muhimbili, kwa mapenzi ya Mungu akatwaliwa. Picha ndo ilianzia hapo, mke mkubwa akafika Muhimbili akashangaa anaambiwa na binamu wa mume eti kaa pembeni tutasimamia Mali za watoto na haki zao, akashangaa kiajee Sasa? Lakini kwavile yeye ndo mwenye cheti Cha ndoa akakabidhiwa mwili na cheti cha kifo.

Soma Pia: Arusha: Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauwaji watuma meseji

Ndugu na jamaa na marafiki wakaleta mwili Arusha mochwari ya Mt meru. Mke mkubwa akaelekeza mume azikwe wapi.

Sasa ndugu, marafiki na mke mdogo wakapanga pa kuzika na wakamweka kando bi mkubwa.

Siku ya kuzika bi mkubwa akaingia mahakamani kwa hati ya dharura kuomba zuio na akafanikiwa, issue ilikuwa serious kaburi lishachimbwa, mapadre ikabidi wakafanye Dua pale ya kufunga kaburi tupu na Ile pilau ya msiba wadudu waliifakamia sana.

Sasa leo amri imetolewa na mahakama mke halali amzike mume wake... Housegirl na wale ndugu hawaamini kilichotokea. Eti ndugu na marafiki wanapanga kususia maziko.

Na mke mkubwa amesema mume wangu ni mkristu na ana mke mmoja tu. Akimaliza kuzika anakusanya mali za mumewe baada ya kufungua mirathi.

Housegirl ataambulia simu na cheni za marehemu na nguo..ambazo hata hivyo bi mkubwa anaulizia vipo wapi. Housegirl amegeuka suria..ila wanae watapata mgao wa mali

Wadada wa kazi mnapoenda kufanya kazi kwenye nyumba za watu acheni tamaa kwani hamjui baba na mama wameanzia wapi na wamesotaje kupata mali. Pia ndugu na marafiki acheni upumbavu wa kuingilia mali za marehemu ikiwa ana mke na watoto
Mpumbavu ni mwanaume
 
Umeandika mambo mengi ila umeandika pumba, eti ''dada wa kazi apokonyea mwili wa marehemu''!
Kaandika kiushabiki mwili umetoka dar na mkewe na msiba uko kwa mke moshono....yeye mkewe ndio anadai cheni,pete magari yaletwe kwake ndio azike,mara akabadili gia angani apewe doc za mali....marehemu alikimbia kwake mwaka mzima kwa vile mke malaya na watoto wawili mabodaboda wamemzalisha....ukiowa changu tegemea matatizo kwenye maisha yako....istoshe mke hana document yeyote hapo anapiga kelele tu
 
Hiyo mirathi sio nyepesi.

Nawaza tu muhtasari wa kikao cha mirathi. Utasainiwa vipi na ukoo wa mume na hao watoto wa nje. Maana mahakama watauitaji kwenye mirathi
Hapo ndio atajua hajui marehemu docs zote ziko kwa mwanasheria wake nyumbani hakuna lolote...kaacha watoto 12 pia kaka zake wako vizuri kiuchumi watagawanya mali kwa watoto
Siyo kosa la Mahouse girl! Ni makosa ya Mama wenye nyumba!
Mama ukiruhusu housegirl tayari jua huyo ni mke mwenza wako!
mke alikua mlevi anapigwa miti mpka kuzaa watoto wawili na mabodanoda...jamaa amehama kwake mwaka mzima hajafika mpka mauti yamemkuta,mke anamtoto mchanga wa mwezi mmoja kazaa na bodaboda
 
M
Mke wa marehemu ndio super woman sasa, safi sana.

Haya mambo ya wanawake kukubali watoto wa kuletewa ndio mimi huwa sitaki, mume alinogewa alipoleta watoto wawili wote wakapokelewa ndio akaamua ajitwalie na house girl wakazae na kulea wengine wenyewe.

Mwanaume ukiamua kuoa tulia na mkeo na familia yako, kuacha mambo kama haya baada ya kufariki ni fedheha!
marehemu ni ndgu yangu kabisa ninafanya nae kazi...hakuna superwoman hapo yeye kapoteza cz mali nyingi hazijui tena ni ardhi za pesa ndefu....ndgu wa mume wanamuangalia tu hana hata hati moja kuanzia nyumba,viwanja,magari,mashamba
 
Kaandika kiushabiki mwili umetoka dar na mkewe na msiba uko kwa mke moshono....yeye mkewe ndio anadai cheni,pete magari yaletwe kwake ndio azike,mara akabadili gia angani apewe doc za mali....marehemu alikimbia kwake mwaka mzima kwa vile mke malaya na watoto wawili mabodaboda wamemzalisha....ukiowa changu tegemea matatizo kwenye maisha yako....istoshe mke hana document yeyote hapo anapiga kelele tu
Hiki ndio kiini. Ni rahisi kumlaumu marehemu, kwa vile hayupo alishakufa. Hata angekuwepo, wanaume hawana tabia ya kulalamika. Mke wa watoto watano usikute alimtibua mme kiasi akaamua kutafuta faraja nje ya ndoa.
 
Hapo ndio atajua hajui marehemu docs zote ziko kwa mwanasheria wake nyumbani hakuna lolote...kaacha watoto 12 pia kaka zake wako vizuri kiuchumi watagawanya mali kwa watoto

mke alikua mlevi anapigwa miti mpka kuzaa watoto wawili na mabodanoda...jamaa amehama kwake mwaka mzima hajafika mpka mauti yamemkuta,mke anamtoto mchanga wa mwezi mmoja kazaa na bodaboda
Kama kweli basi msala. Ukiona mtu anakimbilia mahakamani kuzuia mtu uzikwe ujue kuna mengi nyumz ya pazia
 
Hiki ndio kiini. Ni rahisi kumlaumu marehemu, kwa vile hayupo alishakufa. Hata angekuwepo, wanaume hawana tabia ya kulalamika. Mke wa watoto watano usikute alimtibua mme kiasi akaamua kutafuta faraja nje ya ndoa.
Shida ilianzia mtoto wa 4 jamaa alijua kapigwa akamfumania na bodaboda akakoswa risasi 2 mtaa mzima unajua hilo...mama alikua mpiganaji nguli marehemu aliingia cha kike yani alikua barmaid wa songambele bar mirerani
 
Hizi ndoa zina majanga. Ku.a watu wana miaka zaidi ya saba wanalala vyumba tofauti, na kila mmoja ana mpenzi wake nje.

Huu ni unafiki mkubwa sana mbele za Mungu.
Haya mambo bila kupata ukweli kutoka pande mbili unaweza kutoa lawama bure.
 
Arusha Mfanyabiashara tajiri wa mawe ndugu Temu amefariki dunia na kuacha kizaazaa nyuma. Bwana huyo ana migodi, magari sita, mashamba, majumba na mahoteli na maviwanja.
Alioa mke aitwae Yasinta ndoa ya kanisani.

Akazaa nae watoto 5 Kama kawa huko chuga hawa mabilionea hua wanapenda chovyachovya.

Baba akazaa nje mtoto wa kwanza akaleta home mke alee, akanogewa akazaa mwingine tena akapeleka nyumbani mkewe alee. Mke akawa hana namna. Kiroho safi analea.
Mke nae amezaa watoto watano tena mmoja mchanga, ukijumlisha wawili wa baba wanakuwa saba.

Mama akaleta housegirl, baba alivyo na tamaa akaanza kutembea na housegirl mpaka akapata mimba. Baba akamfanya mke mdogo, akamjengea na akazaa naye watoto wawili. Yule housegirl ndo akawa na nguvu, mke mkubwa akawa anadharauliwa.

Mke kikawa kinamuuma lakini sasa ndo ashazaa watoto watano akaamua avumilie.

Mara paaap, tajiri kaumwa. Kapelekwa Muhimbili, kwa mapenzi ya Mungu akatwaliwa. Picha ndo ilianzia hapo, mke mkubwa akafika Muhimbili akashangaa anaambiwa na binamu wa mume eti kaa pembeni tutasimamia Mali za watoto na haki zao, akashangaa kiajee Sasa? Lakini kwavile yeye ndo mwenye cheti Cha ndoa akakabidhiwa mwili na cheti cha kifo.

Soma Pia: Arusha: Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauwaji watuma meseji

Ndugu na jamaa na marafiki wakaleta mwili Arusha mochwari ya Mt meru. Mke mkubwa akaelekeza mume azikwe wapi.

Sasa ndugu, marafiki na mke mdogo wakapanga pa kuzika na wakamweka kando bi mkubwa.

Siku ya kuzika bi mkubwa akaingia mahakamani kwa hati ya dharura kuomba zuio na akafanikiwa, issue ilikuwa serious kaburi lishachimbwa, mapadre ikabidi wakafanye Dua pale ya kufunga kaburi tupu na Ile pilau ya msiba wadudu waliifakamia sana.

Sasa leo amri imetolewa na mahakama mke halali amzike mume wake... Housegirl na wale ndugu hawaamini kilichotokea. Eti ndugu na marafiki wanapanga kususia maziko.

Na mke mkubwa amesema mume wangu ni mkristu na ana mke mmoja tu. Akimaliza kuzika anakusanya mali za mumewe baada ya kufungua mirathi.

Housegirl ataambulia simu na cheni za marehemu na nguo..ambazo hata hivyo bi mkubwa anaulizia vipo wapi. Housegirl amegeuka suria..ila wanae watapata mgao wa mali

Wadada wa kazi mnapoenda kufanya kazi kwenye nyumba za watu acheni tamaa kwani hamjui baba na mama wameanzia wapi na wamesotaje kupata mali. Pia ndugu na marafiki acheni upumbavu wa kuingilia mali za marehemu ikiwa ana mke na watoto
Hao ndugu na Mke mdogo ni wapumbavu.

Pamoja na kwamba kutakuwa na shida Kwa bimkubwa Hadi Tajiri kaoa housegirl ila lazima busara itumike.

Huyo Mke mdogo alitakiwa awe ameshambana bwanake Tajiri ampe Mali zake na Watoto wake mapema kabisa maana baada ya kifo mwenye Haki ni bimkubwa na Watoto wake.

Ndio maana Mimi Huwa Sina ratiba za kufunga ndoa na hao mapadre njaa walienda vipi msibani wakati Mke aliyeozeshwa na ana cheti hayupo?
 
Mkewe ni matatizo makubwa mlevi na mzinzi kitambo
Kweli Mungu anakupa wa kufanana nawe. Maana hata mumewe na yeye si alizaa watoto wengine wawili nje akamletea mkewe? Bado akahamia kwa house girl kabisa.

Na kwa nini hakumpa mkewe talaka, akaachana naye mazima? Angeishi na house girl wake kwa amani. Mwisho wa siku, ameacha mamlaka kubwa kwa mke wa ndoa.

Btw ahsante kwa taarifa za ziada; huwa nakuaminia sana kwa taarifa za ndani za watu wa Moshi/Arusha
 
Hata Sauli angekuwa wa Arusha,tungeshayasikia

BTW:Muhtasari wa kikao cha ukoo Wala haihitajiki idadi Fulani ya washiriki kwa hiyo siyo rahisi bimkubwa kususiwa na wote
 
Kama kweli basi msala. Ukiona mtu anakimbilia mahakamani kuzuia mtu uzikwe ujue kuna mengi nyumz ya pazia
Mwaka hajafika kwake wala kulala na mkewe....la ajabu anamtoto mchanga wa mwezi mmoja mpka marehemu alikua anatuuliza mtoto wa nani,smke alikua barmaid wa bar maarufu inaiywa songambele iko mirerani. Ilikua inasifika kwa wahudumu wazuri wajasiria mwili
 
Kweli Mungu anakupa wa kufanana nawe. Maana hata mumewe na yeye si alizaa watoto wengine wawili nje akamletea mkewe? Bado akahamia kwa house girl kabisa.

Na kwa nini hakumpa mkewe talaka, akaachana naye mazima? Angeishi na house girl wake kwa amani. Mwisho wa siku, ameacha mamlaka kubwa kwa mke wa ndoa.

Btw ahsante kwa taarifa za ziada; huwa nakuaminia sana kwa taarifa za ndani za watu wa Moshi/Arusha
Mume kazaa 7 nje na mke kazaa wawili hpo unapomuona anakichanga cha mwezi mmoja,na mume kahama nyumbani mwaka na mwezi...kazaa na bodaboda
 
Back
Top Bottom