Wasaidizi wa Rais Samia: Mkutano wa BRICS nyie Mnamwandalia Rais Hotuba ya North-South Geopolitics

Wasaidizi wa Rais Samia: Mkutano wa BRICS nyie Mnamwandalia Rais Hotuba ya North-South Geopolitics

busar

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,067
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
 

Attachments

  • Screenshot_20230826-152335_X.jpg
    Screenshot_20230826-152335_X.jpg
    93.7 KB · Views: 3
Nimeiweka hapo. Iangalie. Tuendako tutaomba kama inawezekana wawe wanatoa taarifa mapema ya mikutano atakayohudhuria President halafu JF tunawapa dondoo .
Yeye hakuipitia hiyo hotuba kabla ya kwenda huko Afrika kusini?

Addressing the north south divide at brics summit was appropriate. Sioni kama kuna tatizo.
 
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
Duuh, mwenye jukumu la kuandaa hotuba kaishia kufanya kazi ya kunakili zile za zamani.
 
Yeye hakuipitia hiyo hotuba kabla ya kwenda huko Afrika kusini?

Addressing the north south divide at brics summit was appropriate. Sioni kama kuna tatizo.
Utaona sawa kama.haujui tofauti zake na protocols za hizi miungano. Wenyewe wenye muungano wao wanakushangaa. Ni sawa na kutafuta spea za tractor kwenye duka la vipodozi.
 
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
Unamaanisha wamechomekea tena kama walivyochomekea kwenye ule mkataba wa bandari ya Dar es Salaam?
 
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
Suala kama hili pengine mahali pake pangekuwa Baraza Kuu la Umoja Wa Mataifa. Sababu ni moja. Kuleta mageuzi makubwa katika mifumo iliyoainishwa na Rais kutahitaji kuungwa mkono na dunia nzima. Ikumbukwe juhudi za Mwalimu Nyerere kujenga South-South Cooperation ziliishia kusikojulikana, tija yake haionekani.
 
Brics imeanzishwa ili kujinasua kutoka PETRODOLLAR yeye anazungumzia north south wapi na wapi!
Itakuwa wasaidizi wake hawajui hizi global international issues. Wanajirundikia tu maneno
 
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
Nafikiri tungeomba uanachama, huu ndio unaweza kuwa muungano wa Kidemokrasia na faida, win- win situation kwa wanachama wake wote.

Na huko mbeleni labda BRICS itakuwa na jeshi lake, benki zake, sheria zake, mbadala wa UN, G7, IMF, World bank, mahakama zake za usuluhishi migogoro, tofauti kwa haki.

Ni vizuri alishiriki, akapewa nafasi ya kuhutubia. South Afrika, India, China Brazil, Russia zinajua na kutambua mchango wa Tanzania UN, Afrika, duniani kupigania haki, ukweli. Tanzania ya Nyerere.
 
Nafikiri tungeomba uanachama, huu ndio unaweza kuwa muungano wa Kidemokrasia na faida, win- win situation kwa wanachama wake wote.

Na huko mbeleni labda BRICS itakuwa na jeshi lake, benki zake, sheria zake, mbadala wa UN, G7, IMF, World bank, mahakama zake za usuluhishi migogoro, tofauti kwa haki.

Ni vizuri alishiriki, akapewa nafasi ya kuhutubia. South Afrika, India, China Brazil, Russia zinajua na kutambua mchango wa Tanzania UN, Afrika, duniani kupigania haki, ukweli. Tanzania ya Nyerere.
Katika nchi zenye tamaa ya fisi ni hizi za brics! Uwezo wa kuwa na benki moja na sarafu moja hazina kwa kuwa kila mmoja anavutia kwake. Labda wakubali China awe kiongozi wao kitu ambacho India haiwezi kukubali!
 
Ni vizuri alishiriki, akapewa nafasi ya kuhutubia. South Afrika, India, China Brazil, Russia zinajua na kutambua mchango wa Tanzania UN, Afrika, duniani kupigania haki, ukweli. Tanzania ya Nyerere.
Tanzania ya leo si ile. Hii haijui hata inahitaji nini.
 
Uwezo wa kuwa na benki moja na sarafu moja hazina kwa kuwa kila mmoja anavutia kwake. Labda wakubali China awe kiongozi wao kitu ambacho India haiwezi kukubali!
Kwamba hawawezi kuwa na benki moja ya maendeleo?

You're not serious.
 
Kwenye nchi za BRICS umeisahau South Africa.
Kingine nchi zetu za Kiafrika zinatakiwa kuwa na viongozi inteligent sana na wenye maono, si hawa wavivu wa kusoma hata vitu vidogo wanaowategemea wasaidizi ktk kila kitu.
 
Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.

Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.

Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.

Johannesburg, Republic of South Africa

Remarks by H.E. Mrs Samia Suluhu President of the United Republic of Tanzania.


View: https://m.youtube.com/watch?v=eW9J9t0w2PQ
 
Back
Top Bottom