Wasaidizi wa Rais Samia: Mkutano wa BRICS nyie Mnamwandalia Rais Hotuba ya North-South Geopolitics

Mambo ya North-South yalishapitwa na wakati zamani sana tokea enzi za ujamaa na kujitegemea. Hizo ni siasa za enzi ya Nyerere. Bora angekaa kimya kama alivyoamua kufanya nyumbani maana ni aibu. Nyumbani anauza rasilimali za nchi kwa kampuni za kiarabu bila ya ridhaa ya wananci au hata bunge, halafu kwenye mkutano wa kimataifa anapata ujasiri wa kuleta hadithi za North-South/nchi za kibepari dhidi ya nchi maskini?
 
Angestic kwenye hiyo theme adadavue namna gani italeta faida angeua sana. Ni namna gani Brics inaweza kabili changamoto za Sasa na zijazo kama katika biashara na uwekezaji.
 
Angestic kwenye hiyo theme adadavue namna gani italeta faida angeua sana. Ni namna gani Brics inaweza kabili changamoto za Sasa na zijazo kama katika biashara na uwekezaji.
Na ajikite kwa Tz. Ndio Foreign policy yetu. Economic Diplomacy, mfano Tanzania ina nini ambacho Brics wanaweza kupata pa kuwekeza, mfano Kilimo, gesi, chuma etc
 
Hao waandishi wa hotuba ni wazee wa 'Copy and paste' .
 
Brics imeanzishwa ili kujinasua kutoka PETRODOLLAR yeye anazungumzia north south wapi na wapi!
Kama hilo ndilo lengo la BRICS bora tu alizungumzia North South Cooperation.
 
Nafikiri tungeomba uanachama, huu ndio unaweza kuwa muungano wa Kidemokrasia na faida, win- win situation kwa
Demokrasia ipi unayomaanisha ?

Na huko mbeleni labda BRICS itakuwa na jeshi lake, benki zake, sheria zake, mbadala wa UN, G7, IMF, World bank, mahakama zake za usuluhishi migogoro, tofauti kwa haki.
Benki tayari ipo, ila hayo mengine zitabaki kuwa ndoto tu.
 
Sasa na yeye kwanini anakubali kulishwa tangopori? Hajui hadhira anayoenda kuihutubia?. Aipitie kabla hajaenda jukwaani.
Nimeiweka hapo. Iangalie. Tuendako tutaomba kama inawezekana wawe wanatoa taarifa mapema ya mikutano atakayohudhuria President halafu JF tunawapa dondoo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaona sawa kama.haujui tofauti zake na protocols za hizi miungano. Wenyewe wenye muungano wao wanakushangaa. Ni sawa na kutafuta spea za tractor kwenye duka la vipodozi.
Hii tunaita #BothTeams Not to Score🤣
 
Yeye mwenyewe je alikua anajua anachokizugumza.
Hahahaha umenichekesha sana iyo kuna siku nitawapa lecture wanafunzi wangu, Tanzania nchi ngumu sana nimekubaliana na wewe,shida nafasi seriously wanapeana kiukoo unaweza ukakuta Nape ñdyo aliandaa
 
Huyu mama mara nyingi nasemaga hua asomi kabisa vitu kabla ya siku y mwisho YY anasoma palepale siku ya tukio.
Rejelea makataba wa bandari watu wamempeleka chaka.ndio matokeo yake haya ss..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…