HahahahMtuwache!
View attachment 2443592
Hunishindi mimiHakika najivunia kuwa Msambaa. [emoji123]
Ningekuwa Mgogo, Msukuma, Mmasai, Mzaramo, au Mkojani; ningesikitika sana.
π€£π€£π€£Nyani haoni..............Ni lafudhi sio rafudhi. Hebu sahihisha hicho kichwa cha habari tafadhali.
Aache wachezea wagosingwaWee sanalii wewe unachowatafuta wagosi utakipata
Wayao vp wanachangamoto gani mkuu[emoji28] natamani kujuaHalafu kuna lafudhi kichekesho ya wangoni, wamatengo, wandendeuli, wayao, wamwera, wamanda hawa nao kituko
Sasa wewe una ujanja gani watu tunakuona kidampa tu,unakuja kukashifu mamilioni ya watu kwa kugombana na mtu mmoja tu huo ndiyo ushamba wenyewe.Ndo mana mmekaa kishamba shamba
Wameamua kumpuuza mleta madaHahahaaa. Naona Wasambaa wa Jf wamemuachia uzi Tate Mkuu. ππ
Ila mbona mnaongea vizuri tu jamani.
Kumbe wadigo wana sauti nzuri eeeh, sikujua!πMimi Mbena+ mmakonde niliepooza
Ni kweliKumbe wadigo wana sauti nzuri eeeh, sikujua!
ππππTunatamka kwa kisambaa, sio kwa Kiswahili.
Moroko = Mooko
Dar es salaam = Daisaama
Tanga = Nhanga
Muheza= Mheza
Korogwe = Kghoogwe
Lushoto= Usoto. N.k
Sophy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NiambieSophy