Wasanii 15 kutoka nje walikuja bongo kufanya show

Hao wasanii walikuwa wanatoa ofa kwa nchi masikini kufanya show kwa gharama ndogo mno, kwahiyo nyie mnabook ikitokea imetick ndio zali lenu. Wanakuwa wanaenda nchi zaidi ya moja
 
Kuna msanii mmoja wa kike alikuja akafanya shoo WetN Wild nimemsahau jina.
 
11.Chingy -2009

 
The era of these musicians ilikuwa ni fire! hakuna wakati American music imesumbua dunia kama zama za miamba hawa! (late 1990s and 2000s) Muziki wa amerika ya sasa nimeshindwa kuuelewa kbs, sijui mimi ndo nazeeka!
Ni sera ya nch ya sasa kuhusu burudan kwa kutoa asilimia 80 ya maudhui yawe ya tanzania na africa na sio ulaya
 
The next fnckin* year, I'll be in Tz for the greatest show ever.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…