Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Last time I heard about D. Knob ,, he had a baby girl.

Vp sasa.?
 
Ben Paul is my favourite currently... He has self respect.
 
huyo Adam demu wake Aisha na huyo B12 tayari ana kamwana
 
Nani anamla Salama,,? Au wale vinyozi wa mkasi.

Naskia Ambwene kashafumua nyuzi pale.

Mmh!! Wale akina muba na john wanaonekana mapoyoyo tu, salama hawez kuwavulia nguo hata bure, wale mi nawaonaga hamnazo , hata jinsi wanavyouliza maswali kama madinjiru..
 

Kama hawana wapenzi kwa umri wao basi kuna maswli yafuatayo;
1.labda ni mahanisi
2.wanapiga punyeto
3.wameachika
4.wanaogopa wanawake
5.wana ulemavu wa ndani
 
Kama hawana wapenzi kwa umri wao basi kuna maswli yafuatayo;
1.labda ni mahanisi
2.wanapiga punyeto
3.wameachika
4.wanaogopa wanawake
5.wana ulemavu wa ndani

Au hawapendi ku reveal relationship zao
 
Dah hata sijui ni kuambiaje maana nyimbo anazoimba ni ngumu alafu sio maarufu kiivyo aliimba wimbo kama mtoto wa kiume, Mimi aliowashirikisha jay mo, chid beenz na fid hizo alizitoa mwaka 2008/9 hv karibuni hana hata singo mpya

RIP Geez Mabovu
 
Mmh!! Wale akina muba na john wanaonekana mapoyoyo tu, salama hawez kuwavulia nguo hata bure, wale mi nawaonaga hamnazo , hata jinsi wanavyouliza maswali kama madinjiru..

Hahahaha binamu wewe sio mzima.Yani yule mwenye kisauti kama demu sijui ndio anaitwaje yani ananikeraga kwa kuingiza maswali wakati mtu bado hajamaliza kueleza lenyewe unakuta limeishadandia kuuliza swali jingine
 
Haha.! WHAT A THREAD. UZI HUU NDO NAUONA LEO.

EM NIANZIE 1ST TO LAST PAGE.

MAANA NINA HASIRA NA SALAMA JABIR., NA DJ FETTY.

bora huyo fetty angalau alishaonekanaga na mabovu, salama sasa, ndio anaeumiza vichwa vya watu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…