sorry nilimanisha kuwa kuna baadhi ya watu wamefanikiwa na wanajulikana na hata huduma zao zinaeleweka na kuwa na wateja wengi bila kufanya uchafu unaofanywa na baadhi ya wehu!Freemason wanahusika vipi na hawa vijana kuliwa gololi?
Kumbe waliuza roho for material gainboss wake anasemaje si yupo chamani? lazima wafanye hayo kufuata masharti ya waliko uza roho.
Valisha mtoto wako wa kiume nguo za rainbow,'atapendeza Sana' na atakua Kijana wa 'mfano' kwny jamii.Ushoga mnao nyie kwenye vichwa vyenu, sasa hivi kila rangi ni ushoga,
Mtapata wazimu sababu watu wanapenda nguo za rangi rangi siku hizi
Ipo form3 ndugu siyo4Kuna btopic form 4 cha physics kinaitwa dispersion of light by glass prism ,kama ikiwezekana nayo ifutwe maana wamezizungumiza hizi rangi zote saba na mpangilio wake ,may nayo itakuwa inahamasisha haya maswala au watoto wanafundishwa Umason.
UJINGA MZIGO.
Kwahiyo ndo umeona ni njia sahihi ya kuwaepusha? Je wanapokuwa shule huoni wanasimuliana na wenzao, kikubwa wape elimu ya kijinsia wafahamu yapi mabaya na yapi mazuri ya kufanya.Wtt wangu hawaangalii miziki kwa sasa ni marufuku. Bora wasikie tuu huko kwny maredio video zimekua za uchi uchi tuu na ujinga ujinga
Sasa hici karibu shule nyingi za chekechea za english media NADRA SANA KUKOSA PICHA YA UPINDE WA MVUA kwenye kuta za fensi au kuta za madarasaWtt wangu hawaangalii miziki kwa sasa ni marufuku. Bora wasikie tuu huko kwny maredio video zimekua za uchi uchi tuu na ujinga ujinga
Nakosaje sasa mie Katibu mwenezi wa chama? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nlitaka kushangaa usiwepo kwenye huu uzii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan shogaa angu anavopostiwa ndo mnampa mileage mnooo.Huyu ndio designer wa wasafi..unategemea niniView attachment 2289749View attachment 2289750View attachment 2289751View attachment 2289752View attachment 2289753
freemason, wanahamasisha ndoa za jinsia moja ili watu wasiweze kuza watoto. hawataki idadi ya watu iongezeke.Wewe ushawahi kuwa freemasons?? Maana kwa ushuhuda unaotoa utasema na wewe ni mwanachama mstaafu, acha kusimulia ulichosimuliwa kwa watu ambao nao wamesimuliwa
Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.Kinachofanyika hao wasanii hawajui,,,, Kuna mastermind wapo nyuma Yao ndiyo wanao direct hizo mambo
Ndivyo ilivyo... Umemaliza kilakitu👊👊👊👊👊Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.