sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #41
Ninataka wanaume watoke kwenye ushamba mji ufunguke. Vurugu, ukoloni, ubabe wa kizamani, wivu, chuki sio maisha anayopaswa kuwa nayo kijana wa leo.Ulitala wanaume wajipake lipisticks midomoni na kuvaa nguo za kike ndiyo uwaonw wajanja?
Kwa tafsiri yako kuhusu ujanja ni bora waendelee kuwa washamba na mafala
Yes, Iringa ni mji mdogo ila kuna watu wa maana sana. Tembea uone.IRINGA?????
Nalazimika kukuangalia tu, sababu tafsiri yako juu ya mambo mengi ni tofauti kabisaMbeya huwezi kukuta a nice restaurant, kwa nini? Mji umejaa washamba.
Kwani pizza ni chakula cha mademu?Unachuki binafsi na mji wa mbeyaβ¦β¦β¦.mtoto wakiume unalilia pizza
Hizo junk food ndio zinawafanya mna washwa makalioYes ni ujanja.
Nimekaa iringa japo kwa muda mchache miezi mitano, uo ustaarabu unaouzungumzia sijui ni upi! Kiuhalisia na kiukweli tanzania mikoa yenye ustaarabu ni ya ukanda wa pwani, ustaarabu unaanza ata kwa namna ya kuzungumza tu.. Tanga, dar es salaam, mtwara na kidogo morogoro inaingiaYes, Iringa ni mji mdogo ila kuna watu wa maana sana. Tembea uone.
Sio bure kuna kitu wamekufanya hebu kuwa muwazi tu fanya hip-hop kama Babu Tale alipotumegea yaliyowakuta kwa pdidy. Haya mambo yanaelezeka tu Mzee.Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Maisha ni maamuzi tu, Bora wabaki kuwa vile walivyo, kuliko kubadilika ili waanze kufanywa mnayofanywa nyie 'wajanja'.Ninataka wanaume watoke kwenye ushamba mji ufunguke. Vurugu, ukoloni, ubabe wa kizamani, wivu, chuki sio maisha anayopaswa kuwa nayo kijana wa leo.
Sawa kula maviazi na maparachichi usiwashwe makalioHizo junk food ndio zinawafanya mna washwa makalio
Iringa ni moja ya mji uliojaa wajanja, nilivyofika pale nilishangaa sana kwa nini nilikuwa napachukulia poa before.Nimekaa iringa japo kwa muda mchache miezi mitano, uo ustaarabu unaouzungumzia sijui ni upi! Kiuhalisia na kiukweli tanzania mikoa yenye ustaarabu ni ya ukanda wa pwani, ustaarabu unaanza ata kwa namna ya kuzungumza tu.. Tanga, dar es salaam, mtwara na kidogo morogoro inaingia
UtotoSio bure kuna kitu wamekufanya hebu kuwa muwazi tu fanya hip-hop kama Babu Tale alipotumegea yaliyowakuta kwa pdidy. Haya mambo yanaelezeka tu Mzee.
Emotional emotional why emotional unakataza wasanii wasilete buluda mjini mby kisa chuki zako za kuachwa homieNimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Wewe sema ndio huendi kuwekeza Mbeya city ,sababu huna cha kuwekeza , au unataka wawekezaji wawe wana ku consult wakiwa wanakuja kuwekeza Mbeya.Mbeya ni mji uliojaa watu wanaopenda vurugu ushamba ni mwingi sana Mbeya. Unyani bado ni mwingi sana Mbeya ndio maana watu wenye akili zao hawaendi kuwekeza Mbeya.