Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Ulitala wanaume wajipake lipisticks midomoni na kuvaa nguo za kike ndiyo uwaonw wajanja?
Kwa tafsiri yako kuhusu ujanja ni bora waendelee kuwa washamba na mafala
Ninataka wanaume watoke kwenye ushamba mji ufunguke. Vurugu, ukoloni, ubabe wa kizamani, wivu, chuki sio maisha anayopaswa kuwa nayo kijana wa leo.
 
Yes, Iringa ni mji mdogo ila kuna watu wa maana sana. Tembea uone.
Nimekaa iringa japo kwa muda mchache miezi mitano, uo ustaarabu unaouzungumzia sijui ni upi! Kiuhalisia na kiukweli tanzania mikoa yenye ustaarabu ni ya ukanda wa pwani, ustaarabu unaanza ata kwa namna ya kuzungumza tu.. Tanga, dar es salaam, mtwara na kidogo morogoro inaingia
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Sio bure kuna kitu wamekufanya hebu kuwa muwazi tu fanya hip-hop kama Babu Tale alipotumegea yaliyowakuta kwa pdidy. Haya mambo yanaelezeka tu Mzee.
 

Attachments

  • 20240925_113914.jpg
    20240925_113914.jpg
    93.9 KB · Views: 5
Ninataka wanaume watoke kwenye ushamba mji ufunguke. Vurugu, ukoloni, ubabe wa kizamani, wivu, chuki sio maisha anayopaswa kuwa nayo kijana wa leo.
Maisha ni maamuzi tu, Bora wabaki kuwa vile walivyo, kuliko kubadilika ili waanze kufanywa mnayofanywa nyie 'wajanja'.
Maadam hawana wanachokudai so wewe kaa nao mbali kama ambavyo hawakuhitaji
 
Nimekaa iringa japo kwa muda mchache miezi mitano, uo ustaarabu unaouzungumzia sijui ni upi! Kiuhalisia na kiukweli tanzania mikoa yenye ustaarabu ni ya ukanda wa pwani, ustaarabu unaanza ata kwa namna ya kuzungumza tu.. Tanga, dar es salaam, mtwara na kidogo morogoro inaingia
Iringa ni moja ya mji uliojaa wajanja, nilivyofika pale nilishangaa sana kwa nini nilikuwa napachukulia poa before.
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Emotional emotional why emotional unakataza wasanii wasilete buluda mjini mby kisa chuki zako za kuachwa homie
 
Kwanza iache Mbeya yetu, afu huo mkoa unaoita Morogoro ina watu wahuni kinoma, watu kwenda kwenye mziki na panga kiunoni, disibisi ni jambo la kawaida.

Miziki yao mingi imejaa vurugu, mabangi na team za kimtaa mara hawa watoto wa top corner wana familia lao, hawa familia la Nguzo moja, hawa familia la Chamwino etc
 
Mbeya ni mji uliojaa watu wanaopenda vurugu ushamba ni mwingi sana Mbeya. Unyani bado ni mwingi sana Mbeya ndio maana watu wenye akili zao hawaendi kuwekeza Mbeya.
Wewe sema ndio huendi kuwekeza Mbeya city ,sababu huna cha kuwekeza , au unataka wawekezaji wawe wana ku consult wakiwa wanakuja kuwekeza Mbeya.

Tuacheni na Mbeya Yetu
 
Back
Top Bottom