Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi ni kweli mnawashwa makalio kwa sababu ya kula burger/pizza?🤔Sawa kula maviazi na maparachichi usiwashwe makalio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli mnawashwa makalio kwa sababu ya kula burger/pizza?🤔Sawa kula maviazi na maparachichi usiwashwe makalio
naona ulipeleka show kule wakakuona huna maana wakakuachia show.Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Chakula anakula mzungu aliyekufundisha ustaarabu na ubinadamu kutoka kwenye unyani, niache kula sababu ya ushamba wako.Hivi ni kweli mnawashwa makalio kwa sababu ya kula burger/pizza?🤔
Wakulima wa kokoa baada ya kuvuna ni vurugu Sana.Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Mbeya ni mji uliojaa binadamu washamba kupindukia, fullstop.Wakulima wa kokoa baada ya kuvuna ni vurugu Sana.
Eti mwaisa
Zuchu amekula chupa akapaniki wakamtimua stejini na wanenguaji wake kama magasho wamevaa vibwaya. Kila sehemu na utamaduni wake mbona mkienda Zanzibar mnafuata ya kwao au laa unakula viboko mchana kweupe?? Kwanza kalianza kufokea mashabiki as if anaongea na watoto mwenzie Mbosso chupuchupu avuliwe mzula stejini mwamba aliruka nae sio poa. Ndio wakomae. Busta rhymes mwenyewe alijichanganya south Africa wakamlamba simu last week. So kawaida hiyo.Utoto
Nimekuelewa aisee!Kumbe ndiyo maana huwa mnaacha makalio wazi yapigwe na upepo kwa kuwasha!🤔Chakula anakula mzungu aliyekufundisha ustaarabu na ubinadamu kutoka kwenye unyani, niache kula sababu ya ushamba wako.
Wewe kula makande na viazi vitamu vya kuchemsha uwe ngangari.
Naichukia mbeya mji wa kishamba,watu wake wana usela wa kijinga,Wana chuki na watu wake ni matapeli! Natamani mji wa mbeya ungesbaratishwa na mafuriko.Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Anayo hela ya kupanga hotel ya hivyo?Mbona inasemekana Hotel Desderia ni nyota 3?
Disibisi ndio nini mkuu??Kwanza iache Mbeya yetu, afu huo mkoa unaoita Morogoro ina watu wahuni kinoma, watu kwenda kwenye mziki na panga kiunoni, disibisi ni jambo la kawaida.
Miziki yao mingi imejaa vurugu, mabangi na team za kimtaa mara hawa watoto wa top corner wana familia lao, hawa familia la Nguzo moja, hawa familia la Chamwino etc
Trust me, una akili nyingi sana wewe. Great mind readerNaichukia mbeya mji wa kishamba,watu wake wana usela wa kijinga,Wana chuki na watu wake ni matapeli! Natamani mji wa mbeya ungesbaratishwa na mafuriko.
Nani kapanga?Desderia si hoteli ya Sugu.Anayo hela ya kupanga hotel ya hivyo?
Mleta uzi anaweza kulala hapo?Ana hela au ulalamishi tu?Nani kapanga?Desderia si hoteli ya Sugu.
Hakuna hotel ya nyota 3 utachemshiwa viazi asubuhi na chai rangi as BnB. Ile sio hotel ni guest house iliyochangamka.Mbona inasemekana Hotel Desderia ni nyota 3?
Kwa hiyo Mbeya ushamba ndio utamaduni wao?Zuchu amekula chupa akapaniki wakamtimua stejini na wanenguaji wake kama magasho wamevaa vibwaya. Kila sehemu na utamaduni wake mbona mkienda Zanzibar mnafuata ya kwao au laa unakula viboko mchana kweupe?? Kwanza kalianza kufokea mashabiki as if anaongea na watoto mwenzie Mbosso chupuchupu avuliwe mzula stejini mwamba aliruka nae sio poa. Ndio wakomae. Busta rhymes mwenyewe alijichanganya south Africa wakamlamba simu last week. So kawaida hiyo.
Okay hapo nakupataHakuna hotel ya nyota 3 utachemshiwa viazi asubuhi na chai rangi as BnB. Ile sio hotel ni guest house iliyochangamka.
naomba niwatetee. kwa Mbeya wanyakyusa hawana shida. wapumbavu ni wasafwa. hao jamaa wasafwa wana uhuni wa kipumbavu, wauaji, kwa ufupi ile michezo ya kuchuna ngozi miaka ya 90 watendaji wa hizo kazi ni wao. ni wapumbavu sana wasafwa. na ndio kabila kubwa Mbeya.Hizi ni hasira mwaisa, acheni uhalifu mji wenu umejaa watu masela mavi hamfai kupewa vitu vya kistaarabu.
Unasema uhoni vina maana gani na mkiona jengo lenye lift mnamwita spika azindue lift
Mimi nipo Tabora mkuu na njia rahisi isiyokuwa na gharama ni mbeya to mtwara ila kwasababu naichukia mbeya bora nipite manyoni,Dodoma, morogoro,dar,lindi to mtwara! Naichukia mbeyaTrust me, una akili nyingi sana wewe. Great mind reader