Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
naona ulipeleka show kule wakakuona huna maana wakakuachia show.
 
Hivi ni kweli mnawashwa makalio kwa sababu ya kula burger/pizza?🤔
Chakula anakula mzungu aliyekufundisha ustaarabu na ubinadamu kutoka kwenye unyani, niache kula sababu ya ushamba wako.

Wewe kula makande na viazi vitamu vya kuchemsha uwe ngangari.
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Wakulima wa kokoa baada ya kuvuna ni vurugu Sana.
Eti mwaisa
 
Zuchu amekula chupa akapaniki wakamtimua stejini na wanenguaji wake kama magasho wamevaa vibwaya. Kila sehemu na utamaduni wake mbona mkienda Zanzibar mnafuata ya kwao au laa unakula viboko mchana kweupe?? Kwanza kalianza kufokea mashabiki as if anaongea na watoto mwenzie Mbosso chupuchupu avuliwe mzula stejini mwamba aliruka nae sio poa. Ndio wakomae. Busta rhymes mwenyewe alijichanganya south Africa wakamlamba simu last week. So kawaida hiyo.
 
Chakula anakula mzungu aliyekufundisha ustaarabu na ubinadamu kutoka kwenye unyani, niache kula sababu ya ushamba wako.

Wewe kula makande na viazi vitamu vya kuchemsha uwe ngangari.
Nimekuelewa aisee!Kumbe ndiyo maana huwa mnaacha makalio wazi yapigwe na upepo kwa kuwasha!🤔
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Naichukia mbeya mji wa kishamba,watu wake wana usela wa kijinga,Wana chuki na watu wake ni matapeli! Natamani mji wa mbeya ungesbaratishwa na mafuriko.
 
Kwanza iache Mbeya yetu, afu huo mkoa unaoita Morogoro ina watu wahuni kinoma, watu kwenda kwenye mziki na panga kiunoni, disibisi ni jambo la kawaida.

Miziki yao mingi imejaa vurugu, mabangi na team za kimtaa mara hawa watoto wa top corner wana familia lao, hawa familia la Nguzo moja, hawa familia la Chamwino etc
Disibisi ndio nini mkuu??
 
Naichukia mbeya mji wa kishamba,watu wake wana usela wa kijinga,Wana chuki na watu wake ni matapeli! Natamani mji wa mbeya ungesbaratishwa na mafuriko.
Trust me, una akili nyingi sana wewe. Great mind reader
 
Zuchu amekula chupa akapaniki wakamtimua stejini na wanenguaji wake kama magasho wamevaa vibwaya. Kila sehemu na utamaduni wake mbona mkienda Zanzibar mnafuata ya kwao au laa unakula viboko mchana kweupe?? Kwanza kalianza kufokea mashabiki as if anaongea na watoto mwenzie Mbosso chupuchupu avuliwe mzula stejini mwamba aliruka nae sio poa. Ndio wakomae. Busta rhymes mwenyewe alijichanganya south Africa wakamlamba simu last week. So kawaida hiyo.
Kwa hiyo Mbeya ushamba ndio utamaduni wao?
 
Hizi ni hasira mwaisa, acheni uhalifu mji wenu umejaa watu masela mavi hamfai kupewa vitu vya kistaarabu.

Unasema uhoni vina maana gani na mkiona jengo lenye lift mnamwita spika azindue lift
naomba niwatetee. kwa Mbeya wanyakyusa hawana shida. wapumbavu ni wasafwa. hao jamaa wasafwa wana uhuni wa kipumbavu, wauaji, kwa ufupi ile michezo ya kuchuna ngozi miaka ya 90 watendaji wa hizo kazi ni wao. ni wapumbavu sana wasafwa. na ndio kabila kubwa Mbeya.
 
Nilijua utashauri wasanii gani waende kule badala ya kutoa huo unaoita ushauri,
Mbeya wanaonekana hawapendi miziki laini laini, wale wanapenda hip hop a hivyo watu wa burudani huenda hawajafanya tathmini ya kutosha
 
Trust me, una akili nyingi sana wewe. Great mind reader
Mimi nipo Tabora mkuu na njia rahisi isiyokuwa na gharama ni mbeya to mtwara ila kwasababu naichukia mbeya bora nipite manyoni,Dodoma, morogoro,dar,lindi to mtwara! Naichukia mbeya
 
Back
Top Bottom