Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Tatizo lilianzia pale mlipochanganya burudani na siasa hapo ndipo wakazi wa mbeya wakawapididy
 
Wasafi festival jana ilikuwa na vurugu sana mbosso kavamiwa na kibaka stejini zuchu kashindwa kumaliza show watu wanarusha chupa za mikojo mpk mademu vurugu zile zingeweza kuleta maafa
 
Unajitambua kweli wewe au mfuasi wa pdiddy!
 
Mbeya hswataki mchawa nasikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…