Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

ule mji una shida sana
 
Mbeya hawependi ujinga hasa baada ya kujua Pdiddy ni nabii wa mafuta...wasafi mnalo
Kama hawapendi ujinga wapambane na polisi wa ccm, sio kuleta hasira kwa wasanii watafutaji
 
Wapeleke Kilimanjaro na Arusha,kama watapata hata sentu Tano.
Matokeo yake utasikia wakifilisiwa na mabank
 
Yote haya yana uhusiano na wasafi na p didy hawezi kubaki nyuma.. Unataka uwapeleke watu wa Mbeya kikondoo ili washindwe kuja kuandika hadharani kama bosi wako?
 
Dah

We ni mshamba Sana aisee
 
Kosa sio la Wana mbeya kosa lina anzia zuchu alipo sema tulia mitano Tena na akamalizia kwa kusema Tena Samia mitano Tena

Hapo ndipo mtanange ulipo anzia
 
Wanamutaka mke wa P Diddy ( Diamond), baada ya agano la ushetani la kupitia mlango wa nyuma alifika Tanzania na kuanza kusema atakuwa tajiri mkubwa duniani, kumbe ni baada ya like agano la kupitia kwa mpalange na ndo maana anatembea kwa kuchechemea sana.


View: https://www.instagram.com/reel/DAMlPAOS4zv/?igsh=MWIxenV3d3AxeHVnag==
View: https://youtu.be/y4AWhKsile4?si=bK__4gBZES6RoT73
 

Attachments

  • VID-20240930-WA0004.mp4
    6.5 MB
  • VID-20240929-WA0018.mp4
    2.9 MB
Si mashoga hao wasaf akina sinza pazuri ndio wanakupatia ma bwana kwenye hizo international offices wazungu wa kuwa pididy
 
Wakati tuna kua, tuliaminishwa "wakinga" ni wachawi na hata utajiri wao ni wa kichawi.(ZILIKUA HISIA)
Ukikaa na wakinga ndio utakuja kujua namna walivyo wapambanaji, wanabebana, wanashikamana, wabana matumizi, wenye maono makubwa.(HUU NDIO UHALISIA)

Kuita watu wa mbeya ni washamba eti kwa sbb ya watu wachache,ni umechagua kuwa mjinga wewe mwenyewe!
Je ni kila tamasha la burudani wana Mbeya wanaleta fujo?
Kama ndio, wasanii wanakwenda kufanya nini huko?
kama sio, chanzo cha hizo vurugu juzi ni nini? (na hapa ndipo wengi wamejivika upofu wa akili!)

Kama wewe mwanamuziki wa ccm, waimbie wahusika
kama wewe ni msanii wa kikiristo kawaimbie wahusika
kama wewe msanii usiyefungamana na itikadi za vyama, Imani, rangi, jinsia basi wewe ni msanii wa wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…