Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ule mji una shida sanaNimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Kama hawapendi ujinga wapambane na polisi wa ccm, sio kuleta hasira kwa wasanii watafutajiMbeya hawependi ujinga hasa baada ya kujua Pdiddy ni nabii wa mafuta...wasafi mnalo
Hawapati hasara yeyote, ila ni ujinga kupambana na Zuchu wakati, wakina Nchimbi wanatamba mtaaniWatu wa mbeya watapata hasara gani kama hao Yo Yo wasipoenda...
DahBahati mbaya Tanzania Haina mji wa kijanja hata mmoja,nilitamani ianzishwe mji wenye vibe kama Dubai au Mexico watu wawe kama vichaa kwenye utafutaji, Airlines Kali achana na hayo mashimo ya DSM,hapo buda hamna kitu,hata ukienda Montreal au Zurich utagundua kuwa tunaoigwa bao na kelele za wanasia wakati hayo majengo marefu hapo DSM hayana watu yako matupu.Ni wakati wa kuisimamai Tanganyika na na sio Tanzania
Hana akili kabisa huyo dogoSasa unachowazidi cha maana ni kipi? Bila hiyo burudani unayoifikiria, unadhani watakufa??
Wanamutaka mke wa P Diddy ( Diamond), baada ya agano la ushetani la kupitia mlango wa nyuma alifika Tanzania na kuanza kusema atakuwa tajiri mkubwa duniani, kumbe ni baada ya like agano la kupitia kwa mpalange na ndo maana anatembea kwa kuchechemea sana.Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Baby johnson imeisha umeanza kulia maumivu makali. Tulia bi. PididyChildish!
Si mashoga hao wasaf akina sinza pazuri ndio wanakupatia ma bwana kwenye hizo international offices wazungu wa kuwa pididyWatu wengine mnakua kama magasho (I feel like kuna ulazima wa kuondoa hilo neno KAMA), I mean wewe binafsi unafaidika nini na majengo makubwa, international offices zilizopo hapo mkoani kwako?
Ubaya au uzuri wa sehemu inategemeana na kiasi cha pesa unachotengeneza na furaha unayopata.
Wengi wenu mnang'ang'ania huko mnakoita mijini ilhali hakuna chochote cha maana mnachofanya, no wonder mnaishia kuwa mario, kuuzishwa unga na kushikishwa kuta ili m fit in lakini moyoni mna depression mbaya mbovu!
Wanamutaka mke wa P Diddy ( Diamond), baada ya agano la ushetani la kupitia mlango wa nyuma alifika Tanzania na kuanza kusema atakuwa tajiri mkubwa duniani, kumbe ni baada ya like agano la kupitia kwa mpalange na ndo maana anatembea kwa kuchechemea sana.
View: https://www.instagram.com/reel/DAMlPAOS4zv/?igsh=MWIxenV3d3AxeHVnag==
View: https://youtu.be/y4AWhKsile4?si=bK__4gBZES6RoT73
ImenishangazaaToto la kiume linalilia burger point [emoji3064]