Wasanii wa kike wa Bongo Fleva ambao walitamba kisha wakatoweka

Kuna yule aliimba "nakuhitaji mpenzi wangu nakuhitaji" sijui cat b
 
Kuna yule aliimba "nakuhitaji mpenzi wangu nakuhitaji" sijui cat b
Anaitwa Sarah kama sijakosea, aliimba na Caz T mtoto wa Komba. Mara ya mwisho kumuona alikuwa ni mtangazaji wa ITV na Radio one katika vipindi vya nyimbo za injili
 
yule mwanadada alikua ni hatari. Alitisha sana kwenye mdundo wa nako2nako hawatuwezi, na ile aliyoshilikishwa na makamua (so baby please rudi nyumbani). sijui kwa nini aliamua kuacha mziki
Kuna sababu nyingi sana kwa wasanii wengi wazuri kujitoa kwenye muziki bongo,....
 
Aiseee Hardman na Fatma waliimba lile goma lao linaitwa TAMALA lilibamba kinoma noma. Hilo la Eno Mic nakumbuka mwaka 2003 kuna jamaa zangu Waingereza walinikutaga nasikiliza kwenye Walk-Man wakalipenda kinoma, wakaomba niwaandikiage mistari yake. Daah hata kiganda chenyewe nikawa sijui, nikaandikaga pumba tu. These moments were one among the Best times of my life.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…