King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahaha Inspector mwenyewe anazimia na yeye 😀 😀 😀 😀 😀 😀 akimuona tu oh Miss Kigamboni."We ndo uliyejigonga... da jo halfcast la kimanga, ukikataa nitajinyonga... leo unaniponda?"
Si ulileta nyodo?!!
Long live Da Jo popote ulipo.
-Kaveli-
Umewasahau HOT GALZ walitamba na nyimbo yao Raha ya Tunda ft Dully Sykes
Yule Dada anavutia mno na macho yake!😍Kuna mmoja ana jicho kama la Nandy kwenye Hallelluja.
Besta alikua Noma!! Nyimbo yake ya Baby Boy mpaka leo hii ni Moto🔥
Hata RayC sijamuona, maua katambala, Lady Luu RIP (huyu alikuwa first lady wa Wateule)Uishi milele EYCE,
Uishi milele wewe mtaalam.
Nadhani kuna nyimbo zao hao wanamama ni timeless.
Ila wooooote naona mmemsahau dada yetu kipenzi Saida Karoli.
Dah nilikuwa naupenda sana huu wimboUmewasahau HOT GALZ walitamba na nyimbo yao Raha ya Tunda ft Dully Sykes
Bibi Cheka amefariki muda mrefu.
Besta alianza kutamba na ngoma aliyomshirikisha Dully inaitwa Kama Ulivyo.
Unique Sisters
Mimi pia😄Dah nilikuwa naupenda sana huu wimbo
Mkuu,
Kuna jackie marie yule dada aliimba "tulia"..niliupenda sana ule wimbo still bado naupenda
"Wamepania kututenga mimi nawe lalaazizi tena wametuonya mm nawe hatudu"
"Utulie mpenzi wangu mimi chaguo lako, wasikutishe kwa maneno mimi ni wako mahabuba"
Yuko wapi huyu dada?
Yule dd mweupe mwenye jicho alifariki mda mrefu kdg.Umewasahau HOT GALZ walitamba na nyimbo yao Raha ya Tunda ft Dully Sykes
Classic[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Nyie Bata mnawezaje mpaka Sahivi hamjamtaja huyu dada V2 na kibao chake Cha Nasonga mbele!
Alishaded mkuu, mi nataka kujua alipo v2 aliyeimba nasonga mbeleHivi bibi cheka bado yupo?
Besta, Maunda Zorro na Hafsa Kazinja walikuwa na mabalaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wakazibeba pumba kama pumba zilivo au walistukia wakaedit?Aiseee Hardman na Fatma waliimba lile goma lao linaitwa TAMALA lilibamba kinoma noma. Hilo la Eno Mic nakumbuka mwaka 2003 kuna jamaa zangu Waingereza walinikutaga nasikiliza kwenye Walk-Man wakalipenda kinoma, wakaomba niwaandikiage mistari yake. Daah hata kiganda chenyewe nikawa sijui, nikaandikaga pumba tu. These moments were one among the Best times of my life.......
Walijua ni Kiswahili kumbe ni luganda bwana, na mimi kuvimba mbele ya totoz za mambele nikawalisha pumba tupu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wakazibeba pumba kama pumba zilivo au walistukia wakaedit?