Wasanii wa Tanzania wameshindwa kuhudhuria msiba wa mama yake Sugu kwa sababu za kiitikadi?

Wasanii wa Tanzania wameshindwa kuhudhuria msiba wa mama yake Sugu kwa sababu za kiitikadi?

Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache

My take

Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.

Sawa Steve Nyerere
 
Wadau.

Roho imeniuma sana yani kama imefika hatua mpaka watu wanaogopa kwenda kwenye misiba ya wapinzani eti kisa wanamuogopa mtu mmoja.

Ubaguzi wa kiitikadi unalitafuna taifa letu tusipokemea itafika mahali mtu atakuta mtu ambae sio wa chama chake kapata ajali atashindwa kumsaidia

Yani sugu pamoja na heshima aliyonayo kwenye mziki wa bongo flavor leo kafiwa na mzazi mmeshindwa hata kwenda msibani

Asante suma G, Kala Jeremiah, papi choka na Nguza Viking kwa kushiriki ibada ya kumuombea mama yetu

Nasema kuna maisha baada ya unafiki.

mr mkiki

View attachment 849586

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni nani unawasemea? Wamekwambia hivyo? Roma kaenda?
 
Wasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache

My take

Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
sugu alikuwa sahihi kuwajibu hivyo wasanii, yaani mnamtuma sugu akawatetee maslahi yenu dhidi ya serikali ya CCM mliyoipigia kampen nchi nzima na kuiweka madarakani?,
 
Wadau.

Roho imeniuma sana yani kama imefika hatua mpaka watu wanaogopa kwenda kwenye misiba ya wapinzani eti kisa wanamuogopa mtu mmoja.

Ubaguzi wa kiitikadi unalitafuna taifa letu tusipokemea itafika mahali mtu atakuta mtu ambae sio wa chama chake kapata ajali atashindwa kumsaidia

Yani sugu pamoja na heshima aliyonayo kwenye mziki wa bongo flavor leo kafiwa na mzazi mmeshindwa hata kwenda msibani

Asante suma G, Kala Jeremiah, papi choka na Nguza Viking kwa kushiriki ibada ya kumuombea mama yetu

Nasema kuna maisha baada ya unafiki.

mr mkiki

View attachment 849586

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sugu alienda kwenye msiba wa mtoto wa muna love
Huyo sugu alienda kwenye msiba wa sam wa ukwel
Jf ina vilaza aiseeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sugu alikuwa sahihi kuwajibu hivyo wasanii, yaani mnamtuma sugu akawatetee maslahi yenu dhidi ya serikali ya CCM mliyoipigia kampen nchi nzima na kuiweka madarakani?,
Sasa mnataka wasanii hao hao aliowakataa kuwatetea coz n ccm ndo leo waende msiban

Ukiamua kuwa kauz bas kuwa kauzu kwel yan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii wameacha kuhudhuria hayo mazishi ili kuunga mkono "Juhudi"


JIWEEEE...Weka mbali na mashangazi!
 
Kwa nini unawalaumu bongo flava peke yao?

Umewaona wabunge wote wa CHADEMA wameenda kwenye huo msiba achilia mbali wabunge wote wa Tanzania?

Ukiangalia hata viongozi wote wakuu wa CHADEMA hawakuepo kwenye msiba!

Unachofanya ni selective blaming kwa faida ambayo unaijua!

Tusipangie watu nini cha kufanya kwa sababu kufanya hivyo ni aina fulani ya udikteta.
Hujui unachoongea sadness

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom