Washauri wa Rais Samia ni akina nani?

Washauri wake nimiongoni mwao ni MIMI.
Sema kile kifanyika nje ya tamanio la genge fulani huonekana ukosefu.
1. Sabaya alipokamtwa ilikuwa oya oya neno MITANO TENA likaja.

2. Pinduapindua ya baraza la awamu ya tano ilikuwa oya oya neno Sukuma gang likaja

3. Safari nchi za nje ilikuwa oya oya neno Anafungua NCHI likaja.

4. Yapo mengi ANAFUTA LEGACY ya ..... Anaupiga MWINGI

5. Sasa KATIBA BAADAE imekuwa uwiiii uwiii neno DIKTETA limekuja

5. Mwenyechair Kamata. Imekuwa uwiii uwiii, na Maneno mengi.
Tutaendelea KUMSHAURI kwa "maslahi mapana ya Tz" by Mbatia voice. Magenge yote yataguswa wa kulia walie wa kucheka wacheke. PERIOD
 
Atavunja rekodi wanawake hawataaminika tena na tena ndio basi tena
 
Uko vizuri sana sana, good brain, umewasilisha vzr na rejea nzuri pia.
 
Mwisho wake 2025 apende asipende hapatakuwa na yeyote wa kumuwezesha kwa hilo ni never.
 
Nafikri mwanzoni alibadilisha sana watu ikulu na aliteua wasaidizi na washauri kila idara kuna siasa , uchumi na n,k
nafikiri tukitafuta press release za mwanzo kabisa anaingia basi utaona majina yao na nafasi zao
Ni kweli alichagua wasaidizi.. Lakini kumbuka Rais pia amezungukwa na watu wengine zaidi ya hao.. Ndani ya Ikulu kuna vitengo vingi.. Na wanaoviendesha ni hao hao waliotoka awamu ya 5 na bado wanafikra za JIWE.
Rais anatakiwa asikilize sana wananchi kisha awaite wasaidizi na kumshauri mbona kuna malalamiko haya...?
Mfano kuna watu hawajalipwa mazao yao Pamba.. Korosho nk.. Kuna watumishi walionewa makazini, kuna watu walibomolewa nyumba zao tena hazipo road reserve.. Kuna wafanyabiashara walipokwa mitaji yao.. Kuna watu wamebambikwa kesi., kodi za miamala.. Nk nk..
Hayo ndio mambo anayotakiwa yeye kama Rais awe na muongozo wake mwenyewe kichwani.. Kisha washauri wanaboresha.. Na sio washauri wanamletea kila kitu.. Kisha yeye anawajibu haya nendeni mkatekeleze mlichoniambia
 
Wakati mwingine unaweza kufikiri kwamba washauri wake anawaokotaga saloon
 
Ninachoona pro-mwendazake wanajua udhaifu wa huyu mama, ndio maana wanam-feed 'maujinga' na anakubali ili 2025 aonekane dhaifu na wamtoe ktk kinyanganyiro cha uraisi, beleave me, time will tell.
 
Kigogo siyo reliable hata kidogo! Anabahatishaga tu.


Kinachofanyika siku hizi sometimes wakijua kigogo ameshajua wao huwa wanagairi au kubadilisha kile alisema Kigogo ndio maana unazani siyo reliable .

Bimkubwa akijua jamaa kajua huwa anagairi au anabadilisha au ku delay kile alichoandika Kigogo .

Kwa hiyo wewe utaona mbona imekuwa tofauti kumbe awali ilikuwa kweli lakini ikagairishwa au kubadilishwa .
 
Wapo aliwateuwa kuna mkeka wake punde tu alipoingia tena hao ni wale wa ofisi yake binafsi sio wa kiprotocol wakiwemo VP na PM. Kuna wa uchumi, wa sheria, wa mahusiano ya kimataifa nk. Ngoja nichimbe mkekka nikutupie

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Iko hivi

 


So far inakuwa inawagharimu ambao wanaahirisha au kubalidilisha kile walichokuwa wamekusudia kufanya kwa wakati.

Yani uache kufanya jambo lako ulopanga kufanya kwa wakati fulani sababu tu ya kushindana au kumkoa mtu fulani?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…