Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi, ni wale wabunge wa Ndioo, wanaopelekeshwa na mfumo tuYeye hana uzoefu wa ku-deal na wananchi moja kwa moja?
Si alishakuwa mbunge huyo? Alikuwa naibu waziri…
Sidhani kama unajua kinachojadiliwa humuViongozi wa Chadema na wafuasi walimtizama kwa makengeza!!
kisha wakajidanganya!!
wakaona mteremko huu tusiuachie ukapita!! walidhani huu sasa ndio muda wa kufanya yao!!
nawashauri Chadema na wafuasi rudini palepale mlipobkuwa mara baada ya uchaguzi mkuu 2020, kamwe msithubutu kujaribu kuendelea kupima kina cha maji kwa miguu!!..........................................
Sisi wananchi wazalendo wa Tanzania ndio washauri wakuu wa Rais wetu.
Rais anasikiliza wananchi wenye nia ya dhati ya kulijenga Taifa sio wahuni wenye uchu wa madaraka na vyeo!!
Rais hawezi kusikiliza ushauri wa vibaraka!!
Rais hawezi kusikiliza wanafiki na wazandiki!!
Rais hawezi kusikiliza wenye nia ya kumkwamisha.
Viongozi wa Chadema kwa sasa wanatapatapa wamekosa pa kushika, kona zote zimedhibitiwa na Jemedari Mkuu, Amiri Jeshi Mkuu.
Mkuu yaelekea abiria waliokuwa kwenye gari la SASHA wameshaingiwa na hofu kubwa. Wakati wowote gari litazimika Huku Pori bado ni Nene.
Ume mu define vizuri mnoAkiletewa ushauri mezani anawaambia "Haya nendeni mtekeleze hayo mlosema".
Yeye binafsi hawezi kuchakata taarifa na kuzidadavua.
Wazanzibari kutoka mjini magharibi,natumaini utaridhia majibu yangu kibaraka wa Joe BidenWashauri wake ni akina nani?
Wewe rais kakosea ni kwa mtazamo wa nani?, wengi wabahukumu watakavyo lakini kwa ushahidi, rais hakuna alipokoseaKuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia anashauriwa vibaya.
Kila jambo linaloonekana kwenda mrama, lawama wanapewa hao washauri wake!
Yeye hakosei [kwa maneno yake mwenyewe aliwahi kunena kuwa Rais hakosei]. Ikitokea kuonekana kafanya makosa, wapenzi wake wanakimbilia kuwalaumu washauri wake.
Sasa Ngabu anauliza: hao washauri wa Rais Samia ni akina nani hasa?
Majina yao ni nani na nani?
Sura zao zikoje? Jinsia zao ni zipi?
Wana vyeo gani serikalini? Nani aliwafanya wawe washauri wa Samia?
Nataka kuwajua hao washauri wa Samia wanaomshauri vibaya.
Kubwa zaidi, Rais mstaafu Nyerere aliwahi kusema kwenye moja ya hotuba zake, hii nadhani ilikuwa ni ya mwaka 1995 akiwahutubia wafanyakazi huko Mbeya kwenye sherehe ya Mei Mosi, kuwa, mtu mwenye akili, anayejua kwamba na wewe una akili, akikupa mawazo/ ushauri wa kipumbavu na wewe ukaukubali, basi mtu huyo atakudharau kabisa.
Video yake hii hapa. Anzia dakika ya 1:00 mpaka 2:00.
Huyu Rais wetu mpya hana uwezo wa kuchuja ushauri ulio mzuri na ushauri ulio wa kipumbavu?
Mimi napenda kuwa na Rais ambaye yuko ‘engaged’. Sipendi kuwa na Rais anayeshauriwa tu bila ya yeye kuweka input yake.
Je, Rais wetu huyu mpya, yeye ni Rais wa aina gani? Kila anachoshauriwa kufanya yeye anaendanacho tu?
Wewe si ndio ulisema wanawake wa CHADEMA wanaolalamika kunyimwa ped mahabusu watumie makaratasi?
Kama unafurahia matendo haya, hapa unahoji nini?
Acheni kuwa wanafiki! Hujui unachosimamia.
Endeleeni kumpa kichwa huyo Mama ataona matokeo yake.
Inaonekana ushungi inakukera mno na bado mitano tena
Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia anashauriwa vibaya.
Kila jambo linaloonekana kwenda mrama, lawama wanapewa hao washauri wake!
Yeye hakosei [kwa maneno yake mwenyewe aliwahi kunena kuwa Rais hakosei]. Ikitokea kuonekana kafanya makosa, wapenzi wake wanakimbilia kuwalaumu washauri wake.
Sasa Ngabu anauliza: hao washauri wa Rais Samia ni akina nani hasa?
Majina yao ni nani na nani?
Sura zao zikoje? Jinsia zao ni zipi?
Wana vyeo gani serikalini? Nani aliwafanya wawe washauri wa Samia?
Nataka kuwajua hao washauri wa Samia wanaomshauri vibaya.
Kubwa zaidi, Rais mstaafu Nyerere aliwahi kusema kwenye moja ya hotuba zake, hii nadhani ilikuwa ni ya mwaka 1995 akiwahutubia wafanyakazi huko Mbeya kwenye sherehe ya Mei Mosi, kuwa, mtu mwenye akili, anayejua kwamba na wewe una akili, akikupa mawazo/ ushauri wa kipumbavu na wewe ukaukubali, basi mtu huyo atakudharau kabisa.
Video yake hii hapa. Anzia dakika ya 1:00 mpaka 2:00.
Huyu Rais wetu mpya hana uwezo wa kuchuja ushauri ulio mzuri na ushauri ulio wa kipumbavu?
Mimi napenda kuwa na Rais ambaye yuko ‘engaged’. Sipendi kuwa na Rais anayeshauriwa tu bila ya yeye kuweka input yake.
Je, Rais wetu huyu mpya, yeye ni Rais wa aina gani? Kila anachoshauriwa kufanya yeye anaendanacho tu?
Ongezea, RAS shinyanga, waziri wa utawala Bora ( mkwe wake), JK, kuna MR wake ambaye ni afisa kilimo( huwa always anajificha), KMK ambaye naye anajificha chamwino, RC Tabora na NdugaiWashauri wake ni Mpango na Mwigulu Nchemba
Bila shaka amewanyooshaBibi-maushungi ni legevu mno. Hata washauri wake wanamjua jinsi alivyo goigoi.
Akiletewa ushauri mezani anawaambia "Haya nendeni mtekeleze hayo mlosema".
Yeye binafsi hawezi kuchakata taarifa na kuzidadavua.