Washauri wa Rais Samia ni akina nani?

Washauri wa Rais Samia ni akina nani?

Baraza alilolirithi kutoka kwa Jiwe mpendwa wako
 
Viongozi wa Chadema na wafuasi walimtizama kwa makengeza!!
kisha wakajidanganya!!

wakaona mteremko huu tusiuachie ukapita!! walidhani huu sasa ndio muda wa kufanya yao!!

nawashauri Chadema na wafuasi rudini palepale mlipobkuwa mara baada ya uchaguzi mkuu 2020, kamwe msithubutu kujaribu kuendelea kupima kina cha maji kwa miguu!!..........................................

Sisi wananchi wazalendo wa Tanzania ndio washauri wakuu wa Rais wetu.

Rais anasikiliza wananchi wenye nia ya dhati ya kulijenga Taifa sio wahuni wenye uchu wa madaraka na vyeo!!

Rais hawezi kusikiliza ushauri wa vibaraka!!
Rais hawezi kusikiliza wanafiki na wazandiki!!
Rais hawezi kusikiliza wenye nia ya kumkwamisha.

Viongozi wa Chadema kwa sasa wanatapatapa wamekosa pa kushika, kona zote zimedhibitiwa na Jemedari Mkuu, Amiri Jeshi Mkuu.
Sidhani kama unajua kinachojadiliwa humu
 
Wakuu wa taasisi mbalimbali Gavana wa BOT-uchumi, CDF/IGP/DGTIS-ulinzi
 
Watu kama kina mwigulu eti ndo washauri mtu ajui hata kanuni za kodi, ajui chochote kuhusu madhara ya kodi kubwa kwenye uchumi.
 
13 August 2021
Tarime, Mara
Tanzania

WATANZANIA HAWAJAKUBALI MAKATO KAMA RAIS ANAVYOSEMA TAFITI ZIFANYIKE

 
13 August 2021

Kamanda wa CHADEMA - Magufuli hakufikia hatua hii, Mh. Rais Samia Suluhu na awamu yake yakumbushwa kitabu cha Nyerere "tujisahihishe"

 
Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia anashauriwa vibaya.

Kila jambo linaloonekana kwenda mrama, lawama wanapewa hao washauri wake!

Yeye hakosei [kwa maneno yake mwenyewe aliwahi kunena kuwa Rais hakosei]. Ikitokea kuonekana kafanya makosa, wapenzi wake wanakimbilia kuwalaumu washauri wake.

Sasa Ngabu anauliza: hao washauri wa Rais Samia ni akina nani hasa?

Majina yao ni nani na nani?

Sura zao zikoje? Jinsia zao ni zipi?

Wana vyeo gani serikalini? Nani aliwafanya wawe washauri wa Samia?

Nataka kuwajua hao washauri wa Samia wanaomshauri vibaya.

Kubwa zaidi, Rais mstaafu Nyerere aliwahi kusema kwenye moja ya hotuba zake, hii nadhani ilikuwa ni ya mwaka 1995 akiwahutubia wafanyakazi huko Mbeya kwenye sherehe ya Mei Mosi, kuwa, mtu mwenye akili, anayejua kwamba na wewe una akili, akikupa mawazo/ ushauri wa kipumbavu na wewe ukaukubali, basi mtu huyo atakudharau kabisa.

Video yake hii hapa. Anzia dakika ya 1:00 mpaka 2:00.




Huyu Rais wetu mpya hana uwezo wa kuchuja ushauri ulio mzuri na ushauri ulio wa kipumbavu?

Mimi napenda kuwa na Rais ambaye yuko ‘engaged’. Sipendi kuwa na Rais anayeshauriwa tu bila ya yeye kuweka input yake.

Je, Rais wetu huyu mpya, yeye ni Rais wa aina gani? Kila anachoshauriwa kufanya yeye anaendanacho tu?
Wewe rais kakosea ni kwa mtazamo wa nani?, wengi wabahukumu watakavyo lakini kwa ushahidi, rais hakuna alipokosea

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Dogo huwa unachemka sana
Wewe si ndio ulisema wanawake wa CHADEMA wanaolalamika kunyimwa ped mahabusu watumie makaratasi?

Kama unafurahia matendo haya, hapa unahoji nini?

Acheni kuwa wanafiki! Hujui unachosimamia.

Endeleeni kumpa kichwa huyo Mama ataona matokeo yake.
 
Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia anashauriwa vibaya.

Kila jambo linaloonekana kwenda mrama, lawama wanapewa hao washauri wake!

Yeye hakosei [kwa maneno yake mwenyewe aliwahi kunena kuwa Rais hakosei]. Ikitokea kuonekana kafanya makosa, wapenzi wake wanakimbilia kuwalaumu washauri wake.

Sasa Ngabu anauliza: hao washauri wa Rais Samia ni akina nani hasa?

Majina yao ni nani na nani?

Sura zao zikoje? Jinsia zao ni zipi?

Wana vyeo gani serikalini? Nani aliwafanya wawe washauri wa Samia?

Nataka kuwajua hao washauri wa Samia wanaomshauri vibaya.

Kubwa zaidi, Rais mstaafu Nyerere aliwahi kusema kwenye moja ya hotuba zake, hii nadhani ilikuwa ni ya mwaka 1995 akiwahutubia wafanyakazi huko Mbeya kwenye sherehe ya Mei Mosi, kuwa, mtu mwenye akili, anayejua kwamba na wewe una akili, akikupa mawazo/ ushauri wa kipumbavu na wewe ukaukubali, basi mtu huyo atakudharau kabisa.

Video yake hii hapa. Anzia dakika ya 1:00 mpaka 2:00.




Huyu Rais wetu mpya hana uwezo wa kuchuja ushauri ulio mzuri na ushauri ulio wa kipumbavu?

Mimi napenda kuwa na Rais ambaye yuko ‘engaged’. Sipendi kuwa na Rais anayeshauriwa tu bila ya yeye kuweka input yake.

Je, Rais wetu huyu mpya, yeye ni Rais wa aina gani? Kila anachoshauriwa kufanya yeye anaendanacho tu?

Ushauri mbaya kwako ni upi?

Ukiwajua washauri wake itakusaidia nini wewe? Tutajie washauri japo 3 wa Marais waliopita unaowafahamu na ushauri mzuri walioupata.

Mataga na kikundi cha Mbowe mnahangaika sana yaani ingekuwa usalama umezorota, uchumi unashuka na miradi haiendi ungekuwa na point lakini upuuzi wako wa kutetea magaidi ni nonsense.
 
Back
Top Bottom