johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alilewa kimpumuVoice of Washington DC = Voice of America? Wewe mfuasi wa Mbowe uliandika huu uzi ukiwa umelewa mataputapu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alilewa kimpumuVoice of Washington DC = Voice of America? Wewe mfuasi wa Mbowe uliandika huu uzi ukiwa umelewa mataputapu?
HayaEti Voice of Washington 🤣🤣
Inaitwa Voice of America, kifupi VoA.
Voice of Washington DC = Voice of America? Wewe mfuasi wa Mbowe uliandika huu uzi ukiwa umelewa mataputapu?
View attachment 2835142
Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.
Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.
Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
FormulaHuyu katumia zaidi ya milioni 300 kwenye ziara hii, anaenda kupiga mdomo tu ili ale ruzuku ya Chadema,tangu akiwa kijana mdogo yeye ni kupiga mdomo tu, hana shamba, hana maradi wowote, ni mdomo tu
Jiuwe na ukifeUkitaka kujua CDM imeishiwa basi mfano hai ni uteuzi wa John Mnyika kuwa katibu mkuu.
Sio kwamba Mnyika ni mwanasiasa mmbovu. La hasha Mnyika alishaweka wazi malengo yake baada ya 2020 hata gombea ubunge na wala hataki uongozi wa siasa, isipokuwa atabaki mwanachama mtiifu wa CDM.
Katika wanasiasa walioshiba na kutumia mshahara wao vizuri kwenye investment ni Mnyika na mtu anae ridhika haraka.
Hiyo nafasi ya katibu mkuu kapewa kwa sababu ya usaliti wa aliekuwa kaishika kuamia CCM.
Hila kwenye kichwa cha Mnyika alishastaafu siasa 2020 baada ya hapo aendelee na maisha mengine.
Kwa sasa kwenye hiyo nafasi analipa fadhila tu kwa kuombwa na Mbowe (mind you Mbowe ana amini loyalty ya watu wawili tu Mnyika na Salum Mwalimu huyu ni mtoto wake wa kufikiia ndio yupo comfortable kudhurula nae).
Ila Mnyika hana shida na hiyo nafasi, wala mshahara wake na marupurupu yake; anaonekana ana mbinu zingine za kutengeneza hela zinazorodhisha kwa maisha anayoyataka yeye sio lazima utajiri mkubwa.
Ndio maana umuoni Mnyika kushiriki kwenye mikutano yao huko mikoani kutafuta posho kama wenzake.
Mnyika kwa sasa yupo kwenye siasa kwa sababu ya loyalty kwa heshima ya god father wake Mbowe and nothing else; deep down angependa kuwa raia wa kawaida. na kuangaika na mikakati yake mengine ya kuingiza kipato nje ya siasa. Hans njaa ya mshahara wa million saba kuna sehemu kubwa anaona anaweza tengeneza zaidi ya hiyo akiachwa huru.
Hutaki acha
Ujinga zaidi ni kuamini Mnyika ni tumaini la kesho la CDM.
Amesahau kuanika ukweli kuhusu ruzuku ya cdm inavyoliwaView attachment 2835142
Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , aliye kwenye ziara ya kikazi Nchini Marekani, ameanza kutembelea vyombo vya habari vya Nchi hiyo na kuanika uozo unaoendelea nchini Tanzania.
Akihojiwa na Kituo cha TV cha Washington DC, amefichua kwamba Mchakato wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi umedorola kwa sababu ya njama za ccm kwa vile wana hofu ya kung'olewa madarakani.
Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba kwenye bunge la January Chadema itahakikisha miswada hiyo inarekebishwa.
Nijiuwe nina shida gani kwenye maisha, wakati nina ndoto kibao bado nafukuzia.Jiuwe na ukife
Kwani kazi ya siasa si ni kupiga domo tu? Kingunge na wengine unaowajua hapo lumumba walishawahi kuwa na mashamba wapi tangu wakiwa wadogo?Huyu katumia zaidi ya milioni 300 kwenye ziara hii, anaenda kupiga mdomo tu ili ale ruzuku ya Chadema,tangu akiwa kijana mdogo yeye ni kupiga mdomo tu, hana shamba, hana maradi wowote, ni mdomo tu