Washington: John Mnyika aanza ziara kwa kishindo, atembelea VOICE OF WASHINGTON DC. Ailipua sheria ya Uchaguzi


Hapa kwenye kuhakikisha inarekebishwa Ndo napata mashaka, labda watawatumia wabunge wa COVID 19
 
Huyu katumia zaidi ya milioni 300 kwenye ziara hii, anaenda kupiga mdomo tu ili ale ruzuku ya Chadema,tangu akiwa kijana mdogo yeye ni kupiga mdomo tu, hana shamba, hana maradi wowote, ni mdomo tu
Formula
 
Jiuwe na ukife
 
Amesahau kuanika ukweli kuhusu ruzuku ya cdm inavyoliwa
 
Jiuwe na ukife
Nijiuwe nina shida gani kwenye maisha, wakati nina ndoto kibao bado nafukuzia.

Speak for yourself if you have suicidal thoughts.

CDM imeishiwa na inatafuta matatizo, hata hiyo michango ya kusaidia mafuriko sidhani kama chama cha siasa kinarihusiwa kuchangisha, wao sio NGO siku wakiitwa ofisi ya msajili kutoa maelezo utasikia wanalalamika wanaonewa.

Wangetoa hela bank kusaidia sawa, ila kuitisha harambee ya kusaidia kwenye maafa uhitaji kwanza kusoma sheria ya usajili wa vyama vya siasa kubaini hilo ni kosa la mipaka ya usajili.

By the way Mnyika msimamo wake ulikuwa wazi ni maneno yake kabla ya uchaguzi wa 2020 yeye siasa za mstari wa mbele kwake ilikuwa basi tena.
 
Huyu katumia zaidi ya milioni 300 kwenye ziara hii, anaenda kupiga mdomo tu ili ale ruzuku ya Chadema,tangu akiwa kijana mdogo yeye ni kupiga mdomo tu, hana shamba, hana maradi wowote, ni mdomo tu
Kwani kazi ya siasa si ni kupiga domo tu? Kingunge na wengine unaowajua hapo lumumba walishawahi kuwa na mashamba wapi tangu wakiwa wadogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…