Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Naona unaelekea kupanic sababu ya ukweli unaouchukia.Asubuhi njema mkuu
Hahahaha mie siwezi panic kama unategemea hilo sahau. Ukweli unatakiwa uanze kuupokea wewe kuwa unachowaza hakiwezekani labda kwa kina kabwili USA ila sio bongo hii!
 
Umepanic mpaka umemtaja mtu wako wa NMB

Bongo kimeshaanza zaman mno
Hahahaha mie siwezi panic kama unategemea hilo sahau. Ukweli unatakiwa uanze kuupokea wewe kuwa unachowaza hakiwezekani labda kwa kina kabwili USA ila sio bongo hii!
 
Kuzaa sio laana kama utachukuliwa kwenu kwa adabu na kuveshwa pete kwa utaratibu sahihi na kwa baraka za wazazi pamoja na kanisa au msikiti.

Kuzaa kama mbwa sio sifa japo wanawake wengi waliojifanyaga wajanja kama wewe wamenasa kwenye tundu bovu. Wanajifariji tu maskini.
 
Ndoa na mahusiano siku hizi kwa wanawake imekuwa ni ajila kwahyo lazima watafute sehemu watakayo lipwa vizuri
 
Umepanic mpaka umemtaja mtu wako wa NMB

Bongo kimeshaanza zaman mno
Huo ni mfano tu sina demu NMB wala sijawahi kuwa nae. Ila na refer aina ya wanawake wajuaji walioangukia pua ni design ya hao. Kiburi cha kishamba kinawakosti sana
 
Hakunaga kuzaa kama mbwa. Daah kumbe umeumia sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huo ndo ukweli kubali tu. Wajanja wengi waliojitambua kama mie tupo kwenye ndoa tamu saaafi na watoto saba shule bomba
 
Itakua alikutosa vibaya mno maana kukurupuka kuitaja taasisi isiyohusika na huu uzi ni jambo la kushangaza. Punguza ubabe sio kila mwanamke ni wa kutongoza ovyo mkuu
Huo ni mfano tu sina demu NMB wala sijawahi kuwa nae. Ila na refer aina ya wanawake wajuaji walioangukia pua ni design ya hao. Kiburi cha kishamba kinawakosti sana
 
Hakunaga kuzaa kama mbwa. Daah kumbe umeumia sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huo ndo ukweli kubali tu. Wajanja wengi waliojitambua kama mie tupo kwenye ndoa tamu saaafi na watoto saba shule bomba
Hahahahahah we endelea kujifariji tu na huyo ShebbyπŸ˜‚ kinyozi! Unahisi kila mtu mtoto humu...
 
Itakua alikutosa vibaya mno maana kukurupuka kuitaja taasisi isiyohusika na huu uzi ni jambo la kushangaza. Punguza ubabe sio kila mwanamke ni wa kutongoza ovyo mkuu
Hakuna demu ambaye ana guts za kunitosa πŸ˜‚ pole sana, mimi ndio navunja mkataba anytime nikitaka.
 
Ukimpata Ke mfanyakazi/mfanyabiashara wa kukujuza pesa zake huwa zinaenda wapi mara tu akiwa ktk ndoa na mumewe niite chap nikupe zawadi nono nimekaa pale...[emoji3]
Wapo wengi mno, ukute mwanamke ndiye kapenda zaidi halafu umuonyeshe kujali, atakuletea mshahara wake muupangie budget[emoji1].

Nikiwahi kuingia kwenye mahusiano na Mwalimu mmoja (alikuwa ni mkuu wa shule fulani ya msingi), nilimtongoza ila baadae alizama sana mpaka nikawa najua kabisa hachomoi, baada ya miezi minne ya kudate (SIO NDOA) niliujua mshahara wake na 40% ya fedha zake nilitumia mimi ( kwa makadirio) tena kwa kuletewa kabisa.

Wanawake wakipenda huwa wanaingia mazima sana mkuu, huwa hawaoni kabisa.
 
Hee mkuu mbona unageuka tena na shebby ni mtu wako daah nilidhani nachat na mkaka ila kila mara unapiga uturn mara nmb mara shebby.
Hahahahahah we endelea kujifariji tu na huyo ShebbyπŸ˜‚ kinyozi! Unahisi kila mtu mtoto humu...
 
Mzee ulikuwa afisa mipango πŸ˜‚ mwanamke akipenda anakuwa kama chizi. Wengi hawajawahi kuipata hii bahati
 
Hee mkuu mbona unageuka tena na shebby ni mtu wako daah nilidhani nachat na mkaka ila kila mara unapiga uturn mara nmb mara shebby.
We single maza huna sera bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unanichosha tu. Acha niwahi zangu job.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kumbe nachat na single mother uwiiii pole mkuu
We single maza huna sera bana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unanichosha tu. Acha niwahi zangu job.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…