Sikuhizi swala la kazi ni mtihani, wanawake wengi wanataka mtu mwenye kazi rasmi. Ukiwa huna mishe au mbangaizaji ni ngumu sana ku engage nao sababu wengi ni walengaji unless awe amefikia kwenye dead-end (30 yrs and older).Sasa nyote musifanye kazi ndio kusudio lako au??
πππ hahah ukiwasema hivyo watakwambia unataka waishi kama bibi zao wa mwaka 47?Wanawake, mabinti wa sasa hawataki ugumu wa maisha, wanaogopa kuteseka.
kusaidiana mwaliongea humu tu ila wengi wenu mmejiwekea kuwa mwanaume lazma akuhudumie while unacho offer ni mbunye tu. Yani as long as unampa mbunye yeye ndio akufanyie kila kitu, alipe kodi, akufungulie biashara, akupe pocket money, akukojoze, akutoe outing n.k. wakati huo wewe ni jobless.Pole mkuu. Vijana wa hovyo humu JF hawapendi uhuru wa mwanamke. Hawapendi mwanamke ajieleze kile takacho bali kile watakacho,uzi wako umewachoma na kuwauma sana.
Tuvijana tuvivu tuvivu tunaona kama umetusimanga kwa vile unaishi london walitegemea utakua tiketi ya kuwavuta huko ulipo.
Tukikubali kupeana uhuru humu hizi judgements za ajabu ajabu zitapungua na kuisha. Anatokea mburura mmoja na kutoa mifano ya wazazi wake mara nyenyenyee eti yeye alilelewa na mke kabla hajapata kazi.
Maisha ya saiv ni kusaidiana na sio kutegemeana na kupunjana. Wakaka,wababa,wababu wanalalamika kuchunwa pesa kila leo ila hawapendi mwanamke mwenye pesa awe na uhuru wa pesa zake
Akipoteza kazi ni divorce tu maana mwanamke hawezi vumilia zaidi ya mwezi awe anatoa yeye hela tu π! Utasimangwa hadi utaiona dunia chungu. Kazi zenyewe ngumu labda kama una mtaji uanze kuendesha boda boda which is hard. Ulikuwa manager Boa bank ghafla uanze kuwa boda boda ni ngumu.Mfano huyo mwanaume akipoteza kazi, ndoa itaendelea kuwepo?
Sihitaji mwanaume aniumize kichwa i can pay my own bills ~ alisikika mrembo flani.Kitu gani kilichokufanya uchelewe kupata mume, ulikuwa hutongozwi au kuna tatizo gani? Miaka 41 ni mingi sana.
kibabe sana ,πππwee haiombwi hivyo....siku hizi unasema tuu nina laki mbili vipi naweza pata bao nne π
kwa huko London kazi inawezekana ikawa rahisi kuipata ila bongo ni shughuli ni rahisi kuhisi mtu ni mvivu ila fursa ya kazi hamna. Tulioko bongo ndio tunaelewa namna kazi ilivyo kazi kuipata. Ila ukiwa nayo mambo yanakuwa mukide mbaya wanawake utawakimbia wewe.Nimekuelewa mdogo wangu, unamtizama na mwanaume husika. Kuwa haya ni maisha, muhimu tu asiwe mvivu atatafuta kazi nyengine. Tatizo mdogo wangu akiwa mvivu.
Mtoto wa watu anajishtukia aisee πππPunguza munkari na kujishuku, hamna mtu ametukana mtu hapa, ni mawazo huru na maoni huru, maoni ya mtu yakiwa ni tofauti na uliyonayo kichwani usitafsiri kama tusi au kusakamwa.
Mfungua uzi kaleta mada yake huru, hajashinikizwa na mtu au hajaja kujibu uzi wa mtu mwingine,
Uzi za wanaotaka wenza ni nyingi hivyo basi huna haja ya kuhofia kila usomacho.
Naona sehemu nyingi unaandika watu wanatukana na kukashifu binafsi sijaona matusi wala kashfa sijui unatafsiri namna gani, inaonekana hujiamini kwa namna fulani, mtu asiyejiamini siku zote hudhani ni yeye tu anaonewa na kutukanwa na kusemwa, badili mtazamo wako sasa.
Mimi sio mwanamke ninaetegemea cha mtu na wala sitaki mume mvivu, sote tuwe na kazi.Sikuhizi swala la kazi ni mtihani, wanawake wengi wanataka mtu mwenye kazi rasmi. Ukiwa huna mishe au mbangaizaji ni ngumu sana ku engage nao sababu wengi ni walengaji unless awe amefikia kwenye dead-end (30 yrs and older).
Wanatafuta chimbo la kujichimbia ili walie kivulini bila kuhaso. Akute una kila kitu ili aanze kutambia mashosti zake kuwa baasha wake una hela na ndinga kali apartment kali.
Sitaki mume asiye zalisha.Akiwa na sifa zote ila hana uwezo wa kuzalisha, utampokea?
HamuchokiMtoto wa watu anajishtukia aisee πππ
Kwa kweliMALCOM LUMUMBA nakusalimia kwa upendo ule ule....
basi ni vyemaMimi sio mwanamke ninaetegemea cha mtu na wala sitaki mume mvivu, sote tuwe na kazi.
Hayo ni maoni yakoKizazi hiki Cha kudanga ni hatari Sana kwenye mustakabali wa ndoa..wanawake waelewa ktk hili wachache Sana..Sio Kila mwanaume anakuwa tayari amejikamilisha ndio aingie kuoa..Mwanaume akiwa na vision ya Nini anataka kufanya na anajibidisha inatosha.Mengine Mungu atafungua mbele ya safari .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vyema kabisabasi ni vyema
Mimi sina tatizo la uzazi.Sitaki mume asiye zalisha.
Sio kwa woteMabinti wa siku hizi vitonga sana ndio maana wahuni tunapiga na kusepa tu
Kuna mmoja alisema, awe na kucha zote
Kwa kwelindoa ni ajira
Nilikuja muelewane baadae nikajibu tena, ahsante saaana.Sidhani kama umemuelewa mtoa mada, hajamaanisha uolewe na marioo au kibenten hapana, alichomaanisha ni kuwa uolewe au kuoa kwa sababu ya upendo, mengine ni nyongeza.
Kweli kabisaKwa ndoa za sasa wanakimbiana vizuri tu.