Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,172
Wanawake wanafokewa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.
Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?
Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?
Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?
Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.
Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.
Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.
Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.
Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
Ukimpata Ke mfanyakazi/mfanyabiashara wa kukujuza pesa zake huwa zinaenda wapi mara tu akiwa ktk ndoa na mumewe niite chap nikupe zawadi nono nimekaa pale...[emoji3]Kama hawataki ugumu wa maisha,wanaogopa kuteseke wanatakiwa kuongeza bidii katika kufanya kazi ili maisha yawe rahisi
Si useme tu kuwa huyo Zanzibar2014 ni wewe mwenyewe kupitia ID nyingine [emoji848][emoji3526]Zanzibar2014 ni member mpya Jamani mkaribisheni basi amejoin jana ila mshaanza kumchangamsha pia muelekezeni na ku reply.
Sawa ahsante sanaKusema la ukweli ulizemi mujibiwe. Sio sawa kabisa kunijaji au kunitukana pia.
umeshapata mume malkia?Kusema la ukweli ulizemi mujibiwe. Sio sawa kabisa kunijaji au kunitukana pia.
Kumbe nawe huwa unaandika hoja kiurefu namna hii [emoji848][emoji1]Pole mkuu. Vijana wa hovyo humu JF hawapendi uhuru wa mwanamke. Hawapendi mwanamke ajieleze kile takacho bali kile watakacho,uzi wako umewachoma na kuwauma sana.
Tuvijana tuvivu tuvivu tunaona kama umetusimanga kwa vile unaishi london walitegemea utakua tiketi ya kuwavuta huko ulipo.
Tukikubali kupeana uhuru humu hizi judgements za ajabu ajabu zitapungua na kuisha. Anatokea mburura mmoja na kutoa mifano ya wazazi wake mara nyenyenyee eti yeye alilelewa na mke kabla hajapata kazi.
Maisha ya saiv ni kusaidiana na sio kutegemeana na kupunjana. Wakaka,wababa,wababu wanalalamika kuchunwa pesa kila leo ila hawapendi mwanamke mwenye pesa awe na uhuru wa pesa zake
Kama nikiwa Mimi itanisaidia kufanya maigizo?Si useme tu kuwa huyo Zanzibar2014 ni wewe mwenyewe kupitia ID nyingine [emoji848][emoji3526]
Wazazi nao utawasikia ".......utuletee mtu wa maana.......",huyo mtu wa maana hawamaanishi mtu mwenye tabia nzuri, mcha Mungu bali wana maanisha mtu mwenye hela.Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.
Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?
Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?
Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?
Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.
Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.
Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.
Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.
Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.Samahani kama sikukuelewa vizuri, nisamehe.
Aaaah, Prishaz wangu unaendeleaje jamani......MALCOM LUMUMBA nakusalimia kwa upendo ule ule....
Kama nikiwa Mimi itanisaidia kufanya maigizo?
Tafadhali mimi ni mimi tu sio mtu mwengine. Kama nimekufahamu kuna watu wana ID 2.Kama nikiwa Mimi itanisaidia kufanya maigizo?
🙏🙏Aaaah, Prishaz wangu unaendeleaje jamani......
Upendo ukurudie mara dufu na zaidi......
Nakushauri kuweni wastarabu na acheni kuonea watu.Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.
Kwa vile umejitambulisha ID yako kuliko inavvyotakiwa mitandaoni basi usiwape faida watu wasiojua kama umeleta tangazo lenye vigezo kama vilivyokosolewa.
Naamini utapata mwenza wa hitaji lako kwa wakati sahihi na mtu sahihi.
Haya ni maoni yake tu anaweza kuwa siyo sahihi. Unaweza usiweke vigezo hivyo na ukakosa mume. Unaweza kutaja vigezo hivyo na ukapata mume.
Aaaah, Prishaz wangu unaendeleaje jamani......
Upendo ukurudie mara dufu na zaidi......
Sasa nimeisoma vizuri na kukuelewa, ahsante saana kwa ushauri wako.Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.
Kwa vile umejitambulisha ID yako kuliko inavvyotakiwa mitandaoni basi usiwape faida watu wasiojua kama umeleta tangazo lenye vigezo kama vilivyokosolewa.
Naamini utapata mwenza wa hitaji lako kwa wakati sahihi na mtu sahihi.
Haya ni maoni yake tu anaweza kuwa siyo sahihi. Unaweza usiweke vigezo hivyo na ukakosa mume. Unaweza kutaja vigezo hivyo na ukapata mume.
Hayaobwa wala kuzalimishwa mtuTunasubr umri uende waaanze kutuomb tuwaoe wawe wake wadogo[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama umesoma vizuri profile yangu, sitaki kuwa mke wa 2 wala 12Hayaobwa wala kuzalimishwa mtu
Sina harakaumeshapata mume malkia?