Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.

Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?

Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?

Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?

Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.

Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.

Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.

Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.

Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Pole mkuu. Vijana wa hovyo humu JF hawapendi uhuru wa mwanamke. Hawapendi mwanamke ajieleze kile takacho bali kile watakacho,uzi wako umewachoma na kuwauma sana.

Tuvijana tuvivu tuvivu tunaona kama umetusimanga kwa vile unaishi london walitegemea utakua tiketi ya kuwavuta huko ulipo.

Tukikubali kupeana uhuru humu hizi judgements za ajabu ajabu zitapungua na kuisha. Anatokea mburura mmoja na kutoa mifano ya wazazi wake mara nyenyenyee eti yeye alilelewa na mke kabla hajapata kazi.


Maisha ya saiv ni kusaidiana na sio kutegemeana na kupunjana. Wakaka,wababa,wababu wanalalamika kuchunwa pesa kila leo ila hawapendi mwanamke mwenye pesa awe na uhuru wa pesa zake
Kumbe nawe huwa unaandika hoja kiurefu namna hii [emoji848][emoji1]

Ndiyo mara yangu ya kwanza kushuhudia sms yako ndefu tangu 2017 niingie JF kwa nguvu kuubwa ya kuhamasishwa na rafiki yangu mmoja kuwa JF ni mtandao wenye maadili tofauti na Facebook, Instagram, Badoo, Telegram, Twitter n.k ambayo pia niliapa kutoitumia kamwe maishani.
 
Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.

Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?

Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?

Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?

Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.

Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.

Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.

Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.

Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
Wazazi nao utawasikia ".......utuletee mtu wa maana.......",huyo mtu wa maana hawamaanishi mtu mwenye tabia nzuri, mcha Mungu bali wana maanisha mtu mwenye hela.
 
Samahani kama sikukuelewa vizuri, nisamehe.
Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.
Kwa vile umejitambulisha ID yako kuliko inavvyotakiwa mitandaoni basi usiwape faida watu wasiojua kama umeleta tangazo lenye vigezo kama vilivyokosolewa.
Naamini utapata mwenza wa hitaji lako kwa wakati sahihi na mtu sahihi.

Haya ni maoni yake tu anaweza kuwa siyo sahihi. Unaweza usiweke vigezo hivyo na ukakosa mume. Unaweza kutaja vigezo hivyo na ukapata mume.
 
Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.
Kwa vile umejitambulisha ID yako kuliko inavvyotakiwa mitandaoni basi usiwape faida watu wasiojua kama umeleta tangazo lenye vigezo kama vilivyokosolewa.
Naamini utapata mwenza wa hitaji lako kwa wakati sahihi na mtu sahihi.

Haya ni maoni yake tu anaweza kuwa siyo sahihi. Unaweza usiweke vigezo hivyo na ukakosa mume. Unaweza kutaja vigezo hivyo na ukapata mume.
Nakushauri kuweni wastarabu na acheni kuonea watu.
 
Aaaah, Prishaz wangu unaendeleaje jamani......
Upendo ukurudie mara dufu na zaidi......
Nakushauri ufute comments zote ulizo changia kwenye thread hii kisha kaa kimya. Najuwa maoni ya mleta mada na wachangiaji wengi ni kama yamekugusa na kukukera.
Kwa vile umejitambulisha ID yako kuliko inavvyotakiwa mitandaoni basi usiwape faida watu wasiojua kama umeleta tangazo lenye vigezo kama vilivyokosolewa.
Naamini utapata mwenza wa hitaji lako kwa wakati sahihi na mtu sahihi.

Haya ni maoni yake tu anaweza kuwa siyo sahihi. Unaweza usiweke vigezo hivyo na ukakosa mume. Unaweza kutaja vigezo hivyo na ukapata mume.
Sasa nimeisoma vizuri na kukuelewa, ahsante saana kwa ushauri wako.
 
Back
Top Bottom