The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Kweli naona wikiendi imeanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli naona wikiendi imeanza
Dena naona umeamua kukaa pembeni tu leo...
nakuona hapo chini ...
mmmhh bibie usikimbie nyumba mapema hivyo
hahahah lol
week end njema woooote.Dena ameng'ang'aniwa hapo na De javu anahtji rescue
na wewe pia Wiselady wangu..
mmmhh we ngoja BE amwone Dena na De Javu pamoja..
hapo ndo kasheshe la mwaka litaanza lol
hi afrodenzi....how r u?
Kumbe mko huku?
Mi nimeoa kwa hiyo sihitaji wasichana ambao hawajaolewa, Especially wa JF.
Babu Narudi kitandani.
Jamani hamjambooooo wooooooooote????? AD na TF mnajua niko likizo Imboru so niko busy na upikaji wa busa na manguree sitakuwa hewani kwa muda kidogo nawamisss wajameni. WL upo dada??? Napita tu kuwasalimu nakuwatakia sikukuu njeam
haya Dena si tumesha kumiss..
hamna anayeosha vyombo, chakula ni drive thro kila siku, hakuna anaye vacuum,
yaani mpaka urudi hii nyumba ni balaa...
tunakusubiri kwa hamu sana mama mwenye nyumba..
na TF kahama nyumba harudi mpaka we urudi lol
WL na babu Aspirin ndo wanaojitahidi kuendeleza hii nyumba....
Merry X-mass dear ..and a very wonderful new year for u and ur lovely family ...
Kumbe mko huku?
Mi nimeoa kwa hiyo sihitaji wasichana ambao hawajaolewa, Especially wa JF.
Babu Narudi kitandani.
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
Kumbe mko huku?
Mi nimeoa kwa hiyo sihitaji wasichana ambao hawajaolewa, Especially wa JF.
Babu Narudi kitandani.
Gud Girl - See you next year and Enjoy all the Blessings from Allah
hahahaah lol BE wewe kumbe bado uko lol
nway nakutakia kila lakheri kwa mwaka mpya wa 2011...
na Mwezi Mungu akuongeze barake zake kwenye siku hiyo ya kuzaliwa mtoto Yesu..
My God Bless u and ur beautiful family...
You see, mama yahaya was right, you are sweet heart-ing every lady you see around.Where you at sweet heart???
you see, mama yahaya was right, you are sweet heart-ing every lady you see around.
You see, mama yahaya was right, you are sweet heart-ing every lady you see around.