Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

You see, mama yahaya was right, you are sweet heart-ing every lady you see around.

Bigi babu anasema hapendi wanawake ambao hawajaolewa, hasa wa JF...au nayeye anataka kusema wake za watu ni watamu?
 
Bigi babu anasema hapendi wanawake ambao hawajaolewa, hasa wa JF...au nayeye anataka kusema wake za watu ni watamu?
kwa mujibu wa kaaannuniii shaaariaaa zaa npuuunge..............Tayari amemaanisha MIPANGO MIZIMA ya wenzake ni mitamu
 

Thanks nawe pia nakutakia sikukuu njema my dear
 
Wasichana wasioolewa wanazungumza hapa....wengine wote out!
 


Dada Rose wa mwaka '80 una akili pevu sana! Big UP!!
 
hujambo wewe? mbona kimyaa?

Mzima si unajua niko huku porini napika pombe kwa ajili ya sikukuu si unajua pombe zetu zinapikwa wiki nzima?? Mtandao uko down sana naingia kwa kubeep tu huku. Mzima lakini?? Christmas njema dear!!!!
 
Mzima si unajua niko huku porini napika pombe kwa ajili ya sikukuu si unajua pombe zetu zinapikwa wiki nzima?? Mtandao uko down sana naingia kwa kubeep tu huku. Mzima lakini?? Christmas njema dear!!!!
Haya bana Xmas njema na wewe!! kweli huko ulipo umeshikwa maana hata beep hakuna! Enjoy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…