Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

duuhhh Dena bado upo ....
nilithani ulisema umesha enda Imboru kutengeneza Busa ya x-mass..
vipi lakini mtu wangu?


Nimekuja Karatu kuchukua mahindi ya manguree nikaingia mtandaoni kiaina mie mzima kabisa wewe vipi??
 
ni soo rafiki hiyo ngumu kabana ile mbaya hakufai kabisa mpaka .... Nitakupm baadae au kesho kuna bonge la issue halijakaa vyema kabisa

haina mbaya ndio maana nilikuwa naona network haisomi kama ya tigo vile
 

Dena Laway .orok. Ila binadamu wote si sawa. Kila mmoja na tabia za na huenda kweli chaguo lake la kwanza halikua sahihi hiyo si vibaya akapewa nafasi tena. Huenda alishinikizwa kumwoa hyo mwanamke so u just give him another chance.
 
Nimekuja Karatu kuchukua mahindi ya manguree nikaingia mtandaoni kiaina mie mzima kabisa wewe vipi??

hahahah lol hiyo safi sana..
mi mzima kabisa..
naona x-mass itakuwa fresh ile mbaya maana mahindi ya Karatu yanaoteshagwa kwenye mawe lol
take care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…