Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TF anaelewa kila kitu muulize ni balaa haikufai ndugu
nimekuja karatu kuchukua mahindi ya manguree nikaingia mtandaoni kiaina mie mzima kabisa wewe vipi??
nini????
ni soo rafiki hiyo ngumu kabana ile mbaya hakufai kabisa mpaka .... Nitakupm baadae au kesho kuna bonge la issue halijakaa vyema kabisa
ndo hivyo yaani lakini ikiwa poa tu naruka hewani si unajua tena???
poa mie narudi kwenye mapipa ya pombe kesho basi
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
Nimekuja Karatu kuchukua mahindi ya manguree nikaingia mtandaoni kiaina mie mzima kabisa wewe vipi??
KK pole sana lakini nimesema niliyoshuhudia sio research ya nchi nzima tafadhali nielewe
Usishuhudie uongo
Habari yako WL??? Christmas njema bwana!!!
asante dena uwe na sikukuu ya baraka.
Cheers
hapa hapa