Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mkuu,pole kwa kuwa karibu na ardhi!🙏Hapo umemtwanga nyundo ya utosi. Mark Zuckerberg ni mfupi lakini ana ukwasi wa kutisha.
Leo Messi ni Andunje ana ukwasi wa kutisha. Sasa sijui urefu unasaidiaje mtu kujikwamua kiuchumi.
Sudan Kusini ina watu warefu dunia hii hakuna lakini ndilo taifa masikini kuwahi kutokea ulimwenguni.
Urefu ama ufupi hauna nafasi kwenye masuala ya akili na ubunifu bali mtu mwenyewe alivyoji shape tangu akiwa mdogo.
Heri yangu mimi sijasema ufupi ni ugonjwa.Vibwengo kabisa
SubhanAllah 🙏Nyege ziko concetrated sehemu ndogo,lazima wawe watamu
Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoniHapo umemtwanga nyundo ya utosi. Mark Zuckerberg ni mfupi lakini ana ukwasi wa kutisha.
Leo Messi ni Andunje ana ukwasi wa kutisha. Sasa sijui urefu unasaidiaje mtu kujikwamua kiuchumi.
Sudan Kusini ina watu warefu dunia hii hakuna lakini ndilo taifa masikini kuwahi kutokea ulimwenguni.
Urefu ama ufupi hauna nafasi kwenye masuala ya akili na ubunifu bali mtu mwenyewe alivyoji shape tangu akiwa mdogo.
mama zenu wewe na nani?Malkia wa nyuki mkubwa sana
Mbona nchi jirani dada zao warefu,mbona mama zetu warefu,tatizo nini?
Pierre Liquid.Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoni
Ridhiwan Kikwete hana Lishe bora? Unakijua kimo chake?Nenda masaki na nenda Tandika
Hata ukiwa unafuga kuku ukitaka wakue haraka na kurefuka wape lishe bora
Asili Ya mtanzania sio ufupi,kuna tatizo la lishe,limeathiri miilo na ubongo wa kizazi hiki,hata hawa chawa nina wasi wasi nao ni matokeo ya kukosa kishe utotoniJaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Umepewa mfano wa watu kutoka Sudan Kusini ni warefu hizo akili ziko wapi?Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoni
Huyo rizwan mama yake itakuwa alikuwa mbilikimo,mbona miraji ana urefu wa kawaidaRidhiwan Kikwete hana Lishe bora? Unakijua kimo chake?
Yule kakulia ushuwani tena ikulu na kuna wadogo zake ni wafupi nawafahamu.
Suala la lishe halina ukweli wowote. Mimi kama ni lishe umejichanganya manake mimi mwenyewe sijakulia maisha ya uswazi na nilikula chochote nilichohitaji lakini sina urefu wowote.
Tafsiri ya akili sijakuelewa umeiweka kwenye muktadha gani.Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoni
Hutokea kwa nadra tu kwa cases kama za uliyemtaja.Ridhiwan Kikwete hana Lishe bora? Unakijua kimo chake?
Yule kakulia ushuwani tena ikulu na kuna wadogo zake ni wafupi nawafahamu.
Suala la lishe halina ukweli wowote. Mimi kama ni lishe umejichanganya manake mimi mwenyewe sijakulia maisha ya uswazi na nilikula chochote nilichohitaji lakini sina urefu wowote.
Noma sanaUrefu umehamia katikati apo ndio maana mnashindwa kwenda juu
Mo ana umbo dogo na ni mfupi lakini ndiye bilionea nambari moja Tanzania na Afrika Mashariki.Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoni
Njoo uchukueNaomba mbegu mshamba_mwingine 😂😂
Sijakuomba weweNjoo uchukue
Nimekwambia Sudani kusini ndiyo nchi yenye watu warefu kuliko nchi yoyote Afrika lakini ndilo taifa masikini duniani.Mtu mfupi africa hawezi kuwa na akili,nitajie mtanzani mfupi mwenye akili,ufupi wa africa ni utapia mlo,ukosefu wa lishe,lishe inaathiri ubongo,africa ufupi sio asili yetu ndio maana tuna vijana wa ovyo kwa sababu walikosa lishe utotoni
Mie nilidhani ni huku Dom tu, kumbe hata wa huku Dar ni wafupi?Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,
Asili ya mtanzania sio ufupi,kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe,dawa za kuzuia mimba,uzazi wa mpango,zinadumaza hawa mabinti,serikali ifanye utafiti
Kwa SIsi wanaume mbona hali sio mbaya
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake,huwezi kuwa na askari futi nne