Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna mambo ni aidha umeandika uongo au haujui sababu.Nimekwambia Sudani kusini ndiyo nchi yenye watu warefu kuliko nchi yoyote Afrika lakini ndilo taifa masikini duniani.
Burundi wanapopatikana wahutu na watutsi kuna majitu marefu kweli kweli lakini ni taifa masikini kupindukia.
Africa magharibi unaposema kuna watu warefu mbona ni mataifa masikini kupindukia?
Ukianza na Burkina Faso, Chad, Gambia, Ghana nakadhalika. Wana uchumi na ubunifu gani kuwazidi Wajapani, Wachina na Wakorea walio wafupi chini ya futi 5?
Ina make senseMie nilidhani ni huku Dom tu, kumbe hata wa huku Dar ni wafupi?
Binafsi nahisi tatizo ni kwamba vitoto vya kike vya nchi hii vinawahi sana kuanza kupigwa miti unakuta kibinti cha form 2 kinabeba mdingi wa miaka 55 tena mnene mwenye kitambi na uzito wa kg 120 hapo lazima binti anadumaa hakui wala kurefuka zaidi!
Nadhani serikali yetu ni sikivu italitazama hili nalo.
ItakuaUrefu umehamia katikati apo ndio maana mnashindwa kwenda juu
Umeshasema Usukumani, asili ya wanawake wengi wa Tanzania ni wafupi na si wanawake tu, hata wanaume wa Tanzania wafupi. Ni jamii chache kama Wasukuma, Wamasai wana asili ya urefuNenda usukumani,huko ndio kuna mashangazi sasa,mbeya yote imejaa mishangazi,ila wanazaa vimbilikimo siku hizi
Jeshi lenye nidhamu na linaloheshimika Tanzania ni JWTZ na ili uingie huko urefu sio kigezo kabisa ila jeshi la ovyo linalodharauliwa na raia wengi linaloongoza kwa ujambazi na kesi za kubambikia ili uingie huko urefu ni kigezo kwahiyo chagua mwenyewe.Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Chuuuraaa?Nini chura bila sura?Jeshi lenye nidhamu na linaloheshimika Tanzania ni JWTZ na ili uingie huko urefu sio kigezo kabisa ila jeshi la ovyo linalodharauliwa na raia wengi linaloongoza kwa ujambazi na kesi za kubambikia ili uingie huko urefu ni kigezo kwahiyo chagua mwenyewe.
Alafu usichokijua ni kwamba uzuri wa mwanamke ni Chura hivyo vingine ni ziada tu
Umemaliza utetezi wako?ππππWe kama hupend wanawake wafupi,,utuache
High heels za kuzugia kimtindo.Ngoja ashuke sasa!Utaomba pooh!Hapo mlipatikana,hakuna ujanja wa kuongeza hata inchi moja
Nazingatia hapo kwenye "mfupi kawaida"!Hata hivyo demu anapendeza akiwa siyo mrefu sana wala mfupi sana awe mfupi kawaida