Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Unaona sasa come oooon kukariri waachie form one banaMbunye za saluni laki moja kwani zinatofautiana nini? Uliona wapi daladala bongo likawa na kiyoyozi?
li demu li moja: chuma cha mjerumani kisicho pata kutu mambo jamani?
chuma cha mjerumani: poa mamii mzima?
li demu li 1: nimekumiss chuma?
chuma cha mjerumani: me to. juzi mbona nilikupigia hukupokea na tulipanga uje home siunakumbuka mama watoto kaenda seminar ya offce dar atarudi leo
li demu li 1:nilikuwa kwenye birthday ya evlyn salt
chuma cha mjerumani:kwaiyoo baada ya kukuta missd call ulichukua hatua gani unakuja kunitafuta leo. wee mwanamke umeshaanza kugegedwa hukuaga hivyoo. ndo unataka nimuache wife wangu nikuoe wewe kwa tabia zako iziii siutaniua kwa presha
li demu li1: sawa bby siwez kukufanyia hivyoo mwache uyoo mke wako kwanza kakeketwa
chuma cha mjerumani:tuheshiame wewe mwanamke kakeketwa lakini hachepuki kama wewe.
li demu li 1; basi chuma hutaniwi?
chuma cha mjerumani: sijui ilikuaje nikawa na wewe mpare kwanza mlevi. unapenda staree. sijiu ni ayoooo ma chachandu uko kiuononi ndo umeniloga nayo
li demu li 1:ha ha ha babu wewe umelikoroga lazima utalinywa mm mpare sio uyoo manka wako aliekeketwa.
chuma cha mjerumani:tuheshimiane wewe mwanamke.
li demu li1:sasa bby wangu nitumie basi ile laki tatu niongeze ya kodi basi
chuma cha mjerumani:kimya
li demu li1: bby unafanyaje mbona kimya
chuma cha mjerumani;mke wangu karudi tutawasiliana baadae.
Ndo manini sasa???
ndo mamizinga yenu nyie wanawake mkiwasiliana na wanaume haipiti lisaa bila kupiga mzinga mnakeraaaaaaaaa
Madesheee wenyewe kimya hawana makuu hata hawajioneshina nyie wanaume muachage mbwembwe za kujishebede nyie ndio mapedeshee...mtachunwa hadi damu shauri yenu....kuweni wa kawaida tu sio unajidai wewe ndio wewe mambo yako makubwa na nini....mnalo hiloooo hahahahahaaaaa kantangazeeeeeeeeeeeeeeeeeee
li demu li moja: chuma cha mjerumani kisicho pata kutu mambo jamani?
chuma cha mjerumani: poa mamii mzima?
li demu li 1: nimekumiss chuma?
chuma cha mjerumani: me to. juzi mbona nilikupigia hukupokea na tulipanga uje home siunakumbuka mama watoto kaenda seminar ya offce dar atarudi leo
li demu li 1:nilikuwa kwenye birthday ya evlyn salt
chuma cha mjerumani:kwaiyoo baada ya kukuta missd call ulichukua hatua gani unakuja kunitafuta leo. wee mwanamke umeshaanza kugegedwa hukuaga hivyoo. ndo unataka nimuache wife wangu nikuoe wewe kwa tabia zako iziii siutaniua kwa presha
li demu li1: sawa bby siwez kukufanyia hivyoo mwache uyoo mke wako kwanza kakeketwa
chuma cha mjerumani:tuheshiame wewe mwanamke kakeketwa lakini hachepuki kama wewe.
li demu li 1; basi chuma hutaniwi?
chuma cha mjerumani: sijui ilikuaje nikawa na wewe mpare kwanza mlevi. unapenda staree. sijiu ni ayoooo ma chachandu uko kiuononi ndo umeniloga nayo
li demu li 1:ha ha ha babu wewe umelikoroga lazima utalinywa mm mpare sio uyoo manka wako aliekeketwa.
chuma cha mjerumani:tuheshimiane wewe mwanamke.
li demu li1:sasa bby wangu nitumie basi ile laki tatu niongeze ya kodi basi
chuma cha mjerumani:kimya
li demu li1: bby unafanyaje mbona kimya
chuma cha mjerumani;mke wangu karudi tutawasiliana baadae.
Kama hutaki mizinga tulia kwa mkeo anaekupa wa bure
Hebu npishe mie na hela zako za ugolo....kwani nimewaita. umejipendekeza mwenyewe bado unapiga mzinga ..mbavuuuuuuuuu
kwani kutafuta wa kuoa ni starehe?
starehe gharama kama huna hela si uache usitonggoze? kwan lazima?
Na hadi tunajenga
Ni kweli kaka lakini kwa hizi za laki moja saluni zote sawa na daladala tu, kikubwa nauli yako. Mashine nzuri pioa zinajiheshimu lakini siyo hizo chakavu za kuhitaji overhaul zinazolazimisha ubabukubwa humu...ahaaa ndugu haya mavitu yanatofautiana bwana hata radha kabisaa nakuapiyaa