Wasichana Warefu ni wazuri sana

Wanasema uzuri wa mtu upo machining mwa yule anayemtazama mkuu, huenda wewe ulioona hawavutiii kwa Fundi manyumba au kwa Django doer wakawa wanavutia mpaka jamaa wanachanganyikiwaaaaa
 
Mwanamke kufika 6 ni mara chache sana. Nenda sehemu yoyote kanisani, ofisini, darasani, uwanjani halafu angalia vimo vya wanawake waliofika 6 wanahesabika, mara nyingi wanaishia 5.7 hivi
Kweli kabisa.
Kuzunguka kote hapa Dsm, nishona wanawake wawili tu ambao labda wanafika 6 ft.
Mmoja anafanya kazi cafe ya kahawa pale Mlimani City na mwingine ni sex worker hapo Sinza.
 
Kipindi unaangalia ulikuwa na notebook kabisa ?🤔
 
Majuzi j3 nilimuona dada mmoja mrefu kama 5.8. Ana rangi pendwa ya chocolate, guu la bia, tumbo kama la nyoka, hana komwemwe kajaaliwa shape na wezere la uchokozi lipo mashallah alinivutia hadi nikaachwa na bajaji niliyotaka kupanda.

Kuna wale warefu alafu wembamba kama mishale/dada wa taifa, hao hapana
 
Kwa hiyo tusioe
wafupi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…