Wasichana Warefu ni wazuri sana

Wasichana Warefu ni wazuri sana

Anyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.

Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.

Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.

60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.

72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.

50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.

36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.

40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.

Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)

NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.

Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
Wanasema uzuri wa mtu upo machining mwa yule anayemtazama mkuu, huenda wewe ulioona hawavutiii kwa Fundi manyumba au kwa Django doer wakawa wanavutia mpaka jamaa wanachanganyikiwaaaaa
 
Mwanamke kufika 6 ni mara chache sana. Nenda sehemu yoyote kanisani, ofisini, darasani, uwanjani halafu angalia vimo vya wanawake waliofika 6 wanahesabika, mara nyingi wanaishia 5.7 hivi
Kweli kabisa.
Kuzunguka kote hapa Dsm, nishona wanawake wawili tu ambao labda wanafika 6 ft.
Mmoja anafanya kazi cafe ya kahawa pale Mlimani City na mwingine ni sex worker hapo Sinza.
 
Anyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.

Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.

Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.

60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.

72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.

50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.

36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.

40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.

Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)

NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.

Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
Kipindi unaangalia ulikuwa na notebook kabisa ?🤔
 
Majuzi j3 nilimuona dada mmoja mrefu kama 5.8. Ana rangi pendwa ya chocolate, guu la bia, tumbo kama la nyoka, hana komwemwe kajaaliwa shape na wezere la uchokozi lipo mashallah alinivutia hadi nikaachwa na bajaji niliyotaka kupanda.

Kuna wale warefu alafu wembamba kama mishale/dada wa taifa, hao hapana
 
Kwa hiyo tusioe
Anyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.

Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.

Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.

60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.

72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.

50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.

36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.

40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.

Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)

NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.

Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
wafupi!
 
Back
Top Bottom